Kwa hali ya sasa naweza pona nikianza tiba mapema?Usidharau hiyo hali, muone daktari si kwa kukutisha lakini inaweza kuwa dalili za saratani ya utumbo mkubwa.
Kula matunda na kunywa maji litre mbili au zaidi kwa siku.
Kula chakula chenye fibre kama makande, mharage, mchicha kisamvu wali wa brown au mkate huo wa brown.
Kabisa na kula hivyo vyakula vyenye fibre husafisha utumbo pia kumbuka kunywa maji.Kwa hali ya sasa naweza pona nikianza tiba mapema?
Vipi kuhusu huo uvimbe?,kwa mfano nispokunya kwa masaa 48 hauumi kabisa na unaanza kupungua ukubwa ,kosa nikinya tuInaweza kuwa
Rectal/Anal Fissure hii inatokana na tabia mbaya,chronic constipation, anal injury
Ambayo remedies zake zipo natural na artificial
Natural:
kupaka mafuta ya mzeituni kwenye eneo linalotoa maumivu
Kukalia dishi lenye maji ya vugu vugu kwa dkika 10.
Kupaka mafuta ya Nazi kwenye eneo linalo toa maumivu yale burning.
Tiba zote hizo unazifanya ndani ya wiki 2 hadi 3.
Hivi hata pilipili inasababisha hii haliKabisa na kula hivyo vyakula vyenye fibre husafisha utumbo pia kumbuka kunywa maji.
Ila huo uvimbe Sawa yake ni kisu. Sikutishi ila ndio tiba ya kudumu. Hayo mengine yote ni FIBA baada ya hiyo procedure.Inaweza kuwa
Rectal/Anal Fissure hii inatokana na tabia mbaya,chronic constipation, anal injury
Ambayo remedies zake zipo natural na artificial
Natural:
kupaka mafuta ya mzeituni kwenye eneo linalotoa maumivu
Kukalia dishi lenye maji ya vugu vugu kwa dkika 10.
Kupaka mafuta ya Nazi kwenye eneo linalo toa maumivu yale burning.
Tiba zote hizo unazifanya ndani ya wiki 2 hadi 3.
HapanaHivi hata pilipili inasababisha hii hali
Kabisa na kula hivyo vyakula vyenye fibre husafisha utumbo pia kumbuka kunywa maji.
Mkuu kuna pressure ambayo unaipeleka kwenye misuli ya haja kubwa ndio inapelekea kupata maumivu kila uki under go defecation.Vipi kuhusu huo uvimbe?,kwa mfano nispokunya kwa masaa 48 hauumi kabisa na unaanza kupungua ukubwa ,kosa nikinya tu
Ila huo uvimbe Sawa yake ni kisu. Sikutishi ila ndio tiba ya kudumu. Hayo mengine yote ni FIBA baada ya hiyo procedure.
Ukienda hospitali watakufanyia kipimo kinaitwa colonoscopy.Maji na matunda najitahidi sana na kwa sasa kinyesi hakina damu ispokua ule uvimbe,na nisipokunya kwa saa 48 hali inatulia kama vile hakuna tatizo na uvimbe unaanza kusinyaa,kosa nikinya,baada ya nusu saa yanaanza maumivu taratibu theni yana poa,ila ni kwa ndani ya tundu.
Nashukuru kwa msaada wa maoni yako
Nashukuru,asante sanaMkuu kuna pressure ambayo unaipeleka kwenye misuli ya haja kubwa ndio inapelekea kupata maumivu kila uki under go defecation.
Kwa case yako muone daktari mkuu.
Pia kama haupo Karibu na daktari unaweza anza na pottasium permanganate unaichanganya kwenye maji kisha unazamisha battocks hadi kiunoni kwa dakk 10 twice daily.
Pia pombe nasikia haitakiwi,sijui ni kweliKikiwa kirefu kinafungwa uzi ili kuzuia blood circulation inayokiwezesha kiendelee kukua,kisha kinadondoka chenyewe.
Walaji wa Pili pili wanakuwa affected a lot,japo sina tafiti ya uhakika kuwa pilipili inapelekea shida kwa anus.
Ndugu hii kitu inaninyima raha sana kwenye maisha yangu,pia nasikia aibu kuwaambia baadhi ya watuJinsi ulivyoiweka sentensi yako kuwakilisha iyo shida, ...nakupa kongole..mwingine angesema ..ashakum..mk...