Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Usidharau hiyo hali, muone daktari si kwa kukutisha lakini inaweza kuwa dalili za saratani ya utumbo mkubwa.
Kula matunda na kunywa maji litre mbili au zaidi kwa siku.
Kula chakula chenye fibre kama makande, mharage, mchicha kisamvu wali wa brown au mkate huo wa brown.
Kula matunda na kunywa maji litre mbili au zaidi kwa siku.
Kula chakula chenye fibre kama makande, mharage, mchicha kisamvu wali wa brown au mkate huo wa brown.