Ugonjwa wa Kuota Vinyama Sehemu za Siri (Bawasiri/ Hemorrhoids): Chanzo, Dalili, Tiba na Kinga


Nitafute utapona kuna baadhi ya members wa humu wamepona nimewapatia dawa na ipo siku wataleta ushuhuda wao ,bawasir ni ugonjwa mbaya Sana na unaua
 
Kuna jamaa amefanyiwa upasuaji juzi tu and he is good now.Acha kuogopa kwn mficha maradhi kifo humuumbua.Nenda hospital kaka

Tatizo ukifanyiwa upasuaji vinyama vinaota tena ,sisi tuko na tiba lishe inayoviondoa kabisa na tatzo halirudi tena
 

Moja ya athari za bawasiri(piles) ni kushindwa kumudu tendo la ndoa,watu wengine ukiwambia tiba ya bawasiri wengine wanaona ni gharama lakin kimbuka bila afya njema huwezi kufanya kaz yoyote,pia huu ugonjwa kadiri unavyoishi nao ipo siku utashindwa kukaa kabisa kutokana na maumivu saa nyingine kinyesi kinaweza kutoka bila utaratibu na ukiwa mbele za watu kitu ambacho ni aibu,ambaye yuko sereous anaitaji tiba ya uhakika dhidi ya maradhi haya anitafute kwa njia ya whats app ,akishatumia dawa yetu yeye atakuwa ushuhuda kwa kuwapa wengine nambar yangu ambayo ni 0714267658 tusifanye masihara na ugonjwa na kadiri mtu anavyochelewa kupata tiba bawasir inaweza kugeuka na kuwa kansa ,chukua hatua mapema,tuna ofsi dar,Dodoma,mwanza,na mbeya,unapewa utaratibu unafanya malipo kwa njia ya bank ,baada ya hapo unakuja na payslip ofsin unapewa ushauri na kuchukua dawa na ndan ya mda mfupi tatzo lako linaondoka kabisa na halirudi tena,hatufanyi upasuaji
 
Ili usipate bawasiri unatakiwa ule vyakula vyenye fibers nyingi,matunda na mbogamboga na uwe unakunywa maji yakutosha,mazoezi na epuka kukaa muda mrefu sehem moja,,,!
 
Ili usipate bawasiri unatakiwa ule vyakula vyenye fibers nyingi,matunda na mbogamboga na uwe unakunywa maji yakutosha,mazoezi na epuka kukaa muda mrefu sehem moja,,,!

Ukila mlo kamili na maji yakutosha Itakusaidia upate choo kilain nasio kukaa muda mrefu kujikamua mpaka mishipa inakuletea madhara.
 
Brother. Uliponaje bawasiri?
Namie nateseka ndugu, naogopa kufanyiwa operation.
Wewe uliponaje. Nisaidie ushauri
kama unataka Dawa ndugu yngu katika Imani njoo Pm nitakusaidia in shaa allah
 
Mkuu are you serious?

Na gharama zenu ni ngapi? Na je kwa yule ambaye ugonjwa ume develop kwa kiasi fulani anapona?Aisee kuna ndugu yangu anateseka sn na anaficha
 
Bawasiri ni moja ya tatizo linalosumbua sana na sababu kubwa n kutokana na mfumo wetu wa maisha kuanzia chakula tunachotumia hadi kazi tunazofanya .
Zijue njia tano bora ya kuzuia hili tatzo 5 ways to prevent hemorrhoids
 
Mkuu are you serious?

Na gharama zenu ni ngapi? Na je kwa yule ambaye ugonjwa ume develop kwa kiasi fulani anapona?Aisee kuna ndugu yangu anateseka sn na anaficha
Jamaa alinambia gharama ya dawa yake ni 250,000/=. Sijui alitaka kunipiga!
 
Mkuu yaani nakwambia kwamba sasa hivi napitia maumivu makubwa sana. Hivi hizi bawasili hazina tiba ya asili inayoweza kuziondosha moja kwa moja mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…