Hivi karbuni kumekuwepo na changamoto za magonjwa mbali mbali.
Hii yote ni kutokana na mtindo wa maisha yunaoishi Leo naenda kuangazia ugonjwa wa bawasri au mgoro! Bawasri ni nini?
Huu ni ugonjwa unaotokakana na kuota kinyama kwenye njia ya haja kubwa. NI NINI HASA CHANZO CHA BAWASRI?! Chanzo kikubwa cha bawasri ni kukaa kitako kwa mda mrefu.
Hapa walengwa ni watu wanaofanya kazi za u dreva ,watu wanaofanya kazi maofsini n.k
UTAJUAJE KAMA UNABAWASRI?
Moja wapo ya dalili za bawasri ni pamoja na
1. Kupata maumivu na miwasho kwenye njia ya haja kubwa
2. Kupata choo kgumu sana mda mwingne kinatoka kama cha mbuzi
Hii ni kwa ufupi tu.
Ukitaka kujifunza zaidi nimekusogezea video ambayo utaenda kuisikiliza na kujifunza kwa undan zaidi,chanzo, dalili na njia za kuepukana na tatzo la bawasri.
Video hii ni mhimu sana kwa watu wenye kusumbuliwa na changamoto ya bawasri. Nakukaribisha kuangalia itakusaidia kujua undan wa tatzo la bawasri,Chanzo,dalili, stage, madhara pamoja na njia za kuepukana na bawasri.
KARBU UKAJIFUNZE[emoji120]