Ugonjwa wa Kuota Vinyama Sehemu za Siri (Bawasiri/ Hemorrhoids): Chanzo, Dalili, Tiba na Kinga

Wengine wanasema kikitolewa kinarud kuna ukweli juu hili
Usipofuata masharti utarudi,ila mimi nina mwaka wa 6 nilifanyiwa operation hakijarudi,pia kama kuna natural ways jaribu hizo kwanza kabla hujafikia kwenye operation,maana kuna usumbufu sana kabla kidonda hakijapona which takes about 2 months to be healed completely.
 
Asante sana kwa kunipa nini maana halisi ya ugonjwa huu na athari zake,kuna sehemu umesema kuna vidonge je hivyo vidonge vinapatina wapi ni hospitar tuu au vinauzwa hata katika maduka ya madawa muhimu yale makubwa.
 
Kiongozi FIBA nzuri ya bawasiri ni Aloe vela, chukua jani kata kata vipande then saga, usichemshe. Then kunywa juice yake nusu glass Mara mbili kutwa kwa siku tano mfululizo. Leta mrejesho.
Asante sana kwa ushauri.
 
hiyo lugha ya malkia wengine atujui hebu tafsiri hapa
 
mbona bawasiri tiba zimejaa sana..
instagram kuna mtu ana tiba mbadala yake!
mimi nilidhani genital warts hizi ndo sumbufu
 
Wengi wanaoenda hospital kutoka, hali hiyo huwa inajirudia tena, coz huwa wanakata nje na siyo ndani
Ushaur nimewapa product or kirutubisho aina ya Novel depile ambayo huondoa uvimbe huo bila upasuaji wowote,
Na ijulikane kuwa hiyo bawasili au kwa kitaalamu hemorrhoid hutokana na ukosefu wa virutubisho ambavyo Mtu anavikosa kwenye balance diet.
Kama unataka ufafanuz contact me 0656872332
 
Wadau naomba maelekezo ya namna ya kutumia hiyo dawa ya anusol!!!
 
Mke wangu ni mjamzito ametokewa na uvimbe kwenye eneo la kutolea haja kuwa (kwenye anus). Msaada wenu wa mawazo tafadhali.
 
Pole sana. Ugonjwa unaitwa Bawasiri. Ni mishipa ambayo inakuwa eneo la haja kubwa inavimba.

Kuna aina mbili za Bawasiri
1: Bawasiri ya nje
2: Bawasiri ya ndani

Sababu za Bawasiri
1. Choo kigumu
2. Kuharisha sana
3. Kutumia nguvu nyingi wakati wa kujisaidia haja kubwa.
4. Kuingiliwa kinyume na maumbile

Dalili za Bawasiri
1. Kujitokeza kinyama nje ya eneo la haja kubwa
2. Damu katika kinyesi

Tiba
1. Kula vyakula laiini ili upate choo laini
2. Kunywa maji ya kutosha na vyakula vyenye fibre (nyuzi nyuzi)
3. Chukua barafu na ujikande au uweke eneo la haja kubwa
4. Kaa kwenye maji ya mvuke

Soma zaidi:
Pata elimu kuhusu ugonjwa wa kuota vinyama sehemu za siri (Bawasiri, Hemorrhoids)

Asanteni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…