Mnyonyo ni kitu gani?..ni maji ya mgomba yalioandaliwa kwa kuchanganywa na mafuta ya mnyonyo...
Tueleze vizuri huu mgomba una sehem nyingi kuna magome na majani yake...kipi unachosema wewe majani au majimaji ya mgome ya mgomba?Wakuu kwa muda mrefu nimekuwa nikisumbuliwa na hizi vimbe za sehemu ya haja kubwa ambazo zimekuwa zikiniletea maumivu makali kwa kipindi cha miaka mitatu.
Nilijaribu dawa mbali mbali zikiwemo anusol ya cream na suppositories lakini hazikuwahi kunisaidia hadi ikafikia kipindi nikashauriwa kufanyiwa upasuaji lakini nilikataa kutokana na wengi wanaofanyiwa upasuaji huu ugonjwa umekuwa ukiwarudia baada ya miaka kadhaa
Nilijaribu na baadhi ya dawa za mitishamba lakini bado hazikufua dafu bali vimbe ziliendelea kunitesa hadi ikafika kipindi nikakata tamaa
Lakini mwezi uliopita nililetewa na shangazi yangu dawa iliyo kwenye kichupa kidogo iliyo katika mfano wa maji maji
Nilipouliza nikaambiwa ni maji ya mgomba yalioandaliwa kwa kuchanganywa na mafuta ya mnyonyo kiasi.
Wakuu nimetumia ndani ya wiki vimbe zote zimepotea kabisaa.
Kama kwenu kuna migomba usikate aisee huwezi jua kesho yako
Nawasilisha
aende hospital....wajue..ni.nin.kwanza...haya maswala ya kutulia na uvimbe mda mrefu sio dili.....ushauri...tu... Coz wagonjwa weng wanakuja hospital baada ya miti shamba kugomaHii issue ni serious case.
Kuna ndugu yangu hawezi kukaa kwa zaidi ya dakika tatu,miezi kadhaa sasa. Analalamika kuna uvimbe mkubwa sana so akikaa unapasuka na kutoa damu. Hizo enusol zote kamaliza, aloevera nayo katumia sana.
Naomba mtoa mada atoe ufafanuzi vizuri jinsi ya kutengeneza hii dawa.
Mimi mwenyewe naona dalili kama kauvimbe kanaanza anza hivi.
Kweli?Wakuu kwa muda mrefu nimekuwa nikisumbuliwa na hizi vimbe za sehemu ya haja kubwa ambazo zimekuwa zikiniletea maumivu makali kwa kipindi cha miaka mitatu.
Nilijaribu dawa mbali mbali zikiwemo anusol ya cream na suppositories lakini hazikuwahi kunisaidia hadi ikafikia kipindi nikashauriwa kufanyiwa upasuaji lakini nilikataa kutokana na wengi wanaofanyiwa upasuaji huu ugonjwa umekuwa ukiwarudia baada ya miaka kadhaa
Nilijaribu na baadhi ya dawa za mitishamba lakini bado hazikufua dafu bali vimbe ziliendelea kunitesa hadi ikafika kipindi nikakata tamaa
Lakini mwezi uliopita nililetewa na shangazi yangu dawa iliyo kwenye kichupa kidogo iliyo katika mfano wa maji maji
Nilipouliza nikaambiwa ni maji ya mgomba yalioandaliwa kwa kuchanganywa na mafuta ya mnyonyo kiasi.
Wakuu nimetumia ndani ya wiki vimbe zote zimepotea kabisaa.
Kama kwenu kuna migomba usikate aisee huwezi jua kesho yako
Nawasilisha
Duhh[emoji15] mgomba unamagome?Tueleze vizuri huu mgomba una sehem nyingi kuna magome na majani yake...kipi unachosema wewe majani au majimaji ya mgome ya mgomba?
Kuna jamaa alienda kwenye interview likampasukia huko huko suti yote nyuma damu kama hedhi.Hii issue ni serious case.
Kuna ndugu yangu hawezi kukaa kwa zaidi ya dakika tatu,miezi kadhaa sasa. Analalamika kuna uvimbe mkubwa sana so akikaa unapasuka na kutoa damu. Hizo enusol zote kamaliza, aloevera nayo katumia sana.
Naomba mtoa mada atoe ufafanuzi vizuri jinsi ya kutengeneza hii dawa.
Mimi mwenyewe naona dalili kama kauvimbe kanaanza anza hivi.