Ugonjwa wa Kuota Vinyama Sehemu za Siri (Bawasiri/ Hemorrhoids): Chanzo, Dalili, Tiba na Kinga

shortly nenda tu hospital usikae na tatizo muda mrefu ivyo
 
Au ni kinyama cha njia ya haja kubwa??? Sjui utaalam unakiitaje but itakua hyo. Na je...haupat vimaumiv kdogo?
 
Majibu uliyopewa ni mengi na huenda ndo sahihi
Lakin kitaalam kuna sababu nyingi zinazosababisha hayo.
Ushaur wangu ni mmoja tu nenda hospital kesho mama
Jibu sahihi litapatikana utakapopimwa maabara
NAKUOMBA NENDA HOSPITAL najua nini ninachokuambia
 
Hizo ni dalili za bawasiri au kwa lugha nyingine mgolo au kikundu kuna bawasiri ya ndani na nje hiyo yako nahisi ni ya ndani ya nje ni ile ukienda kunya mkundu unafutuka
 
wacha huo mchezo unaofanya
 
Nenda hospitali
Wahi sana
Mambo hayo sio ya kuficha
Mbwa wangu ilianza kimzaamzaa hvyo adi akafa
 
cha kwanza kufikiria ni kansa kwenye utumbo mkubwa ( locorectal carcinoma ), cha pili hemorrhoids, .... japo bado kuna vitu vingi vinaweza kusababisha such kind of GI bleeding...
na kama uliishawahi kufanyiwa operation iliyohusisha tumbo huenda hiyo ni complication...
Cha kwanza kuhofia sio hiyo damu inayotoka ila ni wewe kupata upungufu wa damu, na ikiwa sababu ni kansa.

Hakuna haja ya kuendelea kupoteza muda, ni kuwahi hospitali ujieleze vizuri, toa ushirikiano kwa daktari na ufanyiwe vipimo.

Pole
 
Inasikia maumivu au kuwashwa eneo husika wakati wa kujisaidia?

Kama ndiyo basi hiyo ni constipation inayopelekea internal hemorrhoids.

Tiba yake ni kuongeza vyakula vya nyuzi nyuzi kama papai na tikiki pamoja na mboga za majani kwa wingi. Kunywa maji ya kutosha na kama unapenda ubwabwa basi uwe unatumia brown rice.

Pia waweza kutumia suppositories kama anusol na preparation H.

Kwa usalama zaidi kamcheki daktari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…