Watalaam naomba mnisaidie nina tatizo la kutokwa na damu sehemu ya haja kubwa. Damu huanza kutoka sekunde chache baada ya kuanza kujisaidi, huendelea hata nikimaliza kujisaidia ...huchukua dakika chache ndipo hukata.
Hii hutokea baada ya kipindi fulani, inaweza tokea Leo ikajirudia tena baada ya miezi miwili au mitatu..
Kilichinifanya niombe ushauri kwenu ni leo imetoka lkn nyingi sana mpaka nimegopa..naomba ushauri, huu ni ugonjwa gani na nini tiba yake.
Nimeficha sana lkn nimeona niseme ili nisaidiwe...
Naomba wataalum mnisaidie tafadhali.