Ugonjwa wa Kuota Vinyama Sehemu za Siri (Bawasiri/ Hemorrhoids): Chanzo, Dalili, Tiba na Kinga

Ugonjwa wa Kuota Vinyama Sehemu za Siri (Bawasiri/ Hemorrhoids): Chanzo, Dalili, Tiba na Kinga

Wadada wengi wanasumbuliwa kimyakimya na tatizo la constipation kwa sababu ya kula vyakula ovyo kama vile chips,sembe,wali,burgers e.t.c!!
kama choo anachopata ni kigumua jitahidi kunywa maji sana matunda kama mapapai au maembe ale kwa wingi mboga mboga pia ale kwa wingi

nakubaliana na wewe
 
-Je damu ni fresh nyekundu (haematochezia) au rangi kama "damu ya mzee" au nyeusi (melaena).
-Je hiyo damu imechanganyika na kinyesi au ipo juu juu?
-Kama unatumia "toilet paper" je kuna damu inabaki ukijisafisha.
-Damu nyekundu uwezekano inatoka kwenye lower GI tract(rectum - piles, saratani ya colon nk, kama rangi ni "damu ya mzee" au nyeusi ya mgando basi inatoka upper GI (kwenye tumbo) bacteria na acid za kwenye tumbo wameshaishughulikia.
-Je unapata maumivu wakati wa haja kubwa?- Annal fissure etc.
-Je unamaumivu ya tumbo?
-Je tumbo lako huwa linafura? hususan baada ya chakula?
-Choo unapata kama kawaida?- Google "Bristol stool chart" halafu ufananishe na choo unachopata.
-Je choo kinatoka na vitu kama "makamasi"(mucus)?
-Je umepungua uzito bila kupanga? (unintentional weight loss).
-Damka kesho ukamuone Daktari.
 
Yawezekana ukawa na internal hemorrhoids zimepasuka hivyo kuvuja damu unapo-strain kutoa haja. Hemorrhoids Mara nyingi utaona damu unayotoa ni fresh blood ikiwa katika colour yake ya bright-red, lakini kama damu inayotoka imeganda au ni nyeusi then unaweza kusema huenda imtoka kenye stomach au duodenum suggestive of peptic/ duodenal ulcer. Nikushauri uende Hosp umuone daktari.
fata huu ushauri ni mzuri saana. Kwanza angalia na dalili( clinical sign) je ukiwa chooni
Ukiwa una jisaidia huwa una skia maumivu makali..!? Au damu ina toka bila maumivu..!?? @leah2
 
Watalaam naomba mnisaidie, nina tatizo la kutokwa na damu sehemu ya haja kubwa. Damu huanza kutoka sekunde chache baada ya kuanza kujisaidia, huendelea hata nikimaliza kujisaidia ...huchukua dakika chache ndipo hukata.

Hii hutokea baada ya kipindi fulani, inaweza kutokea Leo ikajirudia tena baada ya miezi miwili au mitatu..

Kilichonifanya niombe ushauri kwenu ni leo imetoka lakini nyingi sana mpaka nimegopa, naomba ushauri huu ni ugonjwa gani na nini tiba yake.

Nimeficha sana lakini nimeona niseme ili nisaidiwe...

Naomba wataalum mnisaidie tafadhali.


Watalaam naomba mnisaidie, nina tatizo la kutokwa na damu sehemu ya haja kubwa. Damu huanza kutoka sekunde chache baada ya kuanza kujisaidia, huendelea hata nikimaliza kujisaidia ...huchukua dakika chache ndipo hukata.

Hii hutokea baada ya kipindi fulani, inaweza kutokea Leo ikajirudia tena baada ya miezi miwili au mitatu..

Kilichonifanya niombe ushauri kwenu ni leo imetoka lakini nyingi sana mpaka nimegopa, naomba ushauri huu ni ugonjwa gani na nini tiba yake.

Nimeficha sana lakini nimeona niseme ili nisaidiwe...

Naomba wataalum mnisaidie tafadhali.


Pole Lea2 !
Inawezekana una Tatizo la Piles (Bawasiri) au Vidonda vya tumbo !!
Hii in a long run inaweza sababisha hata upungufu wa damu au Cancer !!
Ni vizuri uende hospital mapema ili kujua tatizo na kupata tiba sahihi !!
 
Watalaam naomba mnisaidie, nina tatizo la kutokwa na damu sehemu ya haja kubwa. Damu huanza kutoka sekunde chache baada ya kuanza kujisaidia, huendelea hata nikimaliza kujisaidia ...huchukua dakika chache ndipo hukata.

Hii hutokea baada ya kipindi fulani, inaweza kutokea Leo ikajirudia tena baada ya miezi miwili au mitatu..

Kilichonifanya niombe ushauri kwenu ni leo imetoka lakini nyingi sana mpaka nimegopa, naomba ushauri huu ni ugonjwa gani na nini tiba yake.

Nimeficha sana lakini nimeona niseme ili nisaidiwe...

Naomba wataalum mnisaidie tafadhali.
Daa..pole sana mkuu ila kwa ushauri zaidi nenda kwa doctor
 
Inasikia maumivu au kuwashwa eneo husika wakati wa kujisaidia?

Kama ndiyo basi hiyo ni constipation inayopelekea internal hemorrhoids.

Tiba yake ni kuongeza vyakula vya nyuzi nyuzi kama papai na tikiki pamoja na mboga za majani kwa wingi. Kunywa maji ya kutosha na kama unapenda ubwabwa basi uwe unatumia brown rice.

Pia waweza kutumia suppositories kama anusol na preparation H.

Kwa usalama zaidi kamcheki daktari
tupo pamoja mkuu iyo hata mimi nahs ni internal hemorrhoids kikubwa hyo preparation H na anusol zitamsadia lasivyo aende hospital
 
kunywa maji mengi
kula matunda
tumia mbogamboga
tumia unga wa dona kwa ugali
upuka/kula kwa kiasi kidogo vyakula vigumu
 
constipation

zingatia maji
kula matunda kwa wingi hasa yenye nyuz kama maembe hata mapapai
kula mboga mboga mkuu

hali ikizidi nenda kamuone dokta kwa msaada zaidi
Pole sana Dada hilo tatizo lilishanisumbua muda mrefu baadae kitaota kinyama!

Nilienda hospatali nilishauliwa nibadili mfumo wa ulaji wangu hasa niachane na Sembe.
Badala yake nitumie DONA na matunda na mboga mboga nasitumie Nyama nyekundu!!

Ilinisaidia japo kile kinyama kilitokea nikafanya upasuaji lakini kimejirudia tena ila cpati maumivu kama ilivyokuwa mwanzo!!
 
Pole sana Dada hilo tatizo lilishanisumbua muda mrefu baadae kitaota kinyama!

Nilienda hospatali nilishauliwa nibadili mfumo wa ulaji wangu hasa niachane na Sembe.
Badala yake nitumie DONA na matunda na mboga mboga nasitumie Nyama nyekundu!!

Ilinisaidia japo kile kinyama kilitokea nikafanya upasuaji lakini kimejirudia tena ila cpati maumivu kama ilivyokuwa mwanzo!!
mimi sijasema naumwa mkuu
 
Pole sana mkuu,

Kuna ndugu yangu alipata hilo tatizo ila alikuwa na Bawasili(uvimbe), nae alikuwa akijisaidia vijidamu vilikuwa vinamtoka kwa vipindi fulani fulani lakini alimuona jamaa mmoja yupo geita alimpa dawa ya kupaka na ya kuchemsha unakunywa KAPONA KABISAA.....na alimtoza sh. 20,000/= kama utahitaji ni PM, yupo Geita.

Ahsante.
 
Back
Top Bottom