Mkuu hata mm hiyo ndani nahc nnayo mwezi wa 4 maumivu yanakuja na kupotea ukipata dawa na mm nchekdawa yake ni nini? mimi nina internal hemorrhoids,kuna wakati zinanisumbua nikitumia anusol zinapoa kama miezi 9 baadae zinarudi,nataka dawa ya kuzimaliza kabisa