Ugonjwa wa Kuota Vinyama Sehemu za Siri (Bawasiri/ Hemorrhoids): Chanzo, Dalili, Tiba na Kinga

Ugonjwa wa Kuota Vinyama Sehemu za Siri (Bawasiri/ Hemorrhoids): Chanzo, Dalili, Tiba na Kinga

Ana mda gani na hilo tatizo?
Hiyo ni bawa sili, inasababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na choo kua kigumu, kutokula vyakula vya nyuzi, kutokula mboga za majani kwa wingi, pia kukaa mda mrefu chooni, nk
Husababisha uvimbe mdogo ambao usipopata tiba inaweza kuwa kubwa , wengine huwa wanafanyiwa upasuaji.
Na zipo za aina mbili..ya ndani na nnje.
Ungeleeza vizuri, ningejuwa jinsi ya kukusaidia , kwani huu Uzi ni hatari uliwahi nipata

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari zenu wakuu

kuna rafiki yangu amepata na jambo la kushangaza ameniambia kuna kinyama kimetokeza kwenye anus ambacho akikigusa kinaumaa. Ila kutembea na kukaa hakuna maumivu yoyote

Nimemuuliza maswali machache amesema ameshindwa kwenda kupata choo kwa sababu panauma.

Ila nimemshauri kwenda hospita this week

Swali langu kwenu ni tatizo litakuwa ni nini.!?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo ni bawasir

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahah et kinyama iyo ni Hemorrhoids aisee a.k.a Bawasir

Mwambie aende hosp wajue ni ya aina gani ? ..

Tiba yake sana huwa nidawa za kupunguza maumiv ai sana ashauriwe vyakula na matunda zaid au Surgery ikiwa imefika hatua kubwa.
 
Back
Top Bottom