mimi43
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 410
- 422
asante mkuuBawasili hiyo nenda Hospitali upate tiba.
NB: wale wa kuomba picha huu uzi hautaki picha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
asante mkuuBawasili hiyo nenda Hospitali upate tiba.
NB: wale wa kuomba picha huu uzi hautaki picha.
Pole sana, ni bawasili, google it.ahaa poa nimemuambia aende hospital ila uchumi wako hauko gud but nimemuambia this week ajitahidi kwendaa
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu mm nipo job saiv niko fit labda mafua ndo yananisumbua [emoji1] [emoji1] [emoji1]
ahaa poa nimemuambia aende hospital ila uchumi wako hauko gud but nimemuambia this week ajitahidi kwendaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo ni bawasirHabari zenu wakuu
kuna rafiki yangu amepata na jambo la kushangaza ameniambia kuna kinyama kimetokeza kwenye anus ambacho akikigusa kinaumaa. Ila kutembea na kukaa hakuna maumivu yoyote
Nimemuuliza maswali machache amesema ameshindwa kwenda kupata choo kwa sababu panauma.
Ila nimemshauri kwenda hospita this week
Swali langu kwenu ni tatizo litakuwa ni nini.!?
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Bawasili hiyo nenda Hospitali upate tiba.
NB: wale wa kuomba picha huu uzi hautaki picha.
Kopeni hela hiyo ni emergency caseahaa poa nimemuambia aende hospital ila uchumi wako hauko gud but nimemuambia this week ajitahidi kwendaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakazia na ugali wa Mtama kisha aone mziki kwenye kupupuu (Utani)Hizo ni dalili za colon cancer, awahi hospitali hicho kinya kikatwe kifanyiwe uchungiz zaidi(biopsy)
Ajenge utaratibu wa kula vyakula vyenye fibre kama ugali wa dona, mchicha, machungwa nk
Kiswahili kizuri cha hiyo bidhaa ni Puru huwenda mtoa mada kaona kutumia Anus atakuwa kapunguza ukali wa maneno.Hivi anus ni tafsida au lugha mbadala mzungu nae akisoma inakuwaje?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Aisee nimecheka Hovyo.Yani mshikaji anakueleza habari za mkund.u wake au ni wewe mkuu[emoji1][emoji16][emoji16][emoji16]
Nifanyeje nikupe Like mbili? [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Yani mshikaji anakueleza habari za mkund.u wake au ni wewe mkuu[emoji1][emoji16][emoji16][emoji16]
Ndugu mjumbe, naona leo umeamua kufungua roho....tehteehh [emoji12] [emoji12] [emoji12]Nakazia na ugali wa Mtama kisha aone mziki kwenye kupupuu (Utani)