Ugonjwa wa Kuota Vinyama Sehemu za Siri (Bawasiri/ Hemorrhoids): Chanzo, Dalili, Tiba na Kinga

dawa yake ni nini? mimi nina internal hemorrhoids,kuna wakati zinanisumbua nikitumia anusol zinapoa kama miezi 9 baadae zinarudi,nataka dawa ya kuzimaliza kabisa
Mkuu hata mm hiyo ndani nahc nnayo mwezi wa 4 maumivu yanakuja na kupotea ukipata dawa na mm nchek
 
TATIZO LA BAWASIRI KWA BLACK SEED OIL HAIWEZI KUKATIZA. WAPO WATU WENGI TU HUMU WALIOPONA KWA MAFUTA HAYA YA BLACK SEED NIKIWEMO MIMI.SEMA TU KWA UGONJWA WENYEWE UNASHIKA SEHEMU MBVAYA MBAYA WATU WANAOGOPA KUTOA USHUHUDA.
Kweli bana,kuna mtu namfahamu kashikwa na hiyo kitu,nikasikia kalazwa nampigia simu kumuuliza unaumwa nini,ananiambia operation ya tumbo ila ni sehemu kidogo tu huna haja ya kuja natoka jioni,aliwaficha mpaka watoto wake,alipotoka ndio ananiambia,anasema alifanya siri,aliekuwa anajuwa ni mkewe peke yake...
 
sasa kwamtu mwenye dalili kama kupata maumivu siku mojamoja na kutokwa na damu siku mojaja na hasa kwenye kili kipindi unachofululiza kula maharagwe au nyama ya ng'ombe. Lakini huhisi dalili yoyote ya uvimbe. je yeye vipi huyu?
huyo anakuwa na mazalia ya bawasili ya ndani ambayo inaweza kutibika kwa kula vyakula laini na vya kamba kamba mkuu
 
daea yakr hayo madude ni mgaagani au jani lililoota juu ya nyumba amabalo halijagusa chini unachua
 
Dawa ipo ya kutumia siku 3 tuu hadi 5 tatizo linaisha, unapaka unga wake kwenye sehemu ya haja kubwa na nyingine kijiko kimoja unakoroga kwenye maji na kunywa mara mbili kwa siku na tatizo litatoweka
 
Dawa ipo ya kutumia siku 3 tuu hadi 5 tatizo linaisha, unapaka unga wake kwenye sehemu ya haja kubwa na nyingine kijiko kimoja unakoroga kwenye maji na kunywa mara mbili kwa siku na tatizo litatoweka
asante kwa kuchangia mawazo
 
Dawa ya ugonjwa huu ni kubadilisha style ya mlo wako tu. Kula vegie sana, matunda, in short vyakula vya asili, hutajua limepotelea wapi
 
Khaa vitu vingine mnavikuza
mbona Mzizi mkavu alishaelezea ugonjwa huu na tiba zake
kifupi habari 50% ni kweli na iliyobaki i fix tupu
Dawa ni kunawa na maji ya uvuguvugu yaliyochanganywa na chumvi baadaye unamalizia na Dettol
kweli chanjo ni choo kigumu au kujisaidia maporini kwenye vumbi na Bakteria. kuingiza vitu vigumu kwenye njia hiyo ya haja kubwa km gunzi chupa nk
 
Elimu bahari akhy
 
Habari zenu wakuu

kuna rafiki yangu amepata na jambo la kushangaza ameniambia kuna kinyama kimetokeza kwenye anus ambacho akikigusa kinaumaa. Ila kutembea na kukaa hakuna maumivu yoyote

Nimemuuliza maswali machache amesema ameshindwa kwenda kupata choo kwa sababu panauma.

Ila nimemshauri kwenda hospita this week

Swali langu kwenu ni tatizo litakuwa ni nini.!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…