Ugonjwa wa Kuota Vinyama Sehemu za Siri (Bawasiri/ Hemorrhoids): Chanzo, Dalili, Tiba na Kinga

Ugonjwa wa Kuota Vinyama Sehemu za Siri (Bawasiri/ Hemorrhoids): Chanzo, Dalili, Tiba na Kinga

Habari wanajukwaa,
Kama heading inavyojieleza, nilikuwa nasumbuliwa na ugonjwa wa bawasiri :nilijaribu kutumia dawa mbalix2 za kienyeji bila mafanikio ndio ikabidi niende hospital ya Nkinga iliopo tabora na nilifanyiwa operation ambayo ilienda vzur tu kwan tatzo lilikwisha kabisa.
Baada ya miezi miwili (2) tangu operation hiyo damu imeanza kutoka kila nikienda kujisaidia haja kubwa. Ingawa sisikii maumivu ya aina yoyote.
Nilienda hospital ya wilaya wakasema sina tatzo lakn damu inatoka.
Naomba msaada wenu wanajukwaa


Sent using Jamii Forums mobile app
Bangi husaidia kupunguza maumivu kwa wagonjwa wa bawasiri. Ungekuwa hujafanya upasuaji ningeikushauri...
 
HABARI NJEMA UGONJWA WA BAWASIRI UNAOWATESA WENGI SASA UMEPATA TIBA YA UHAKIKA

~watu wengi wanasumbuliwa na tatizo hili ambalo huwafanya kuwa na uoga na aibu wa kuelezea na kushindwa hata kwenda hospital kupata tiba

BAWASIRI AU KUOTA KINYAMA SEHEMU YA HAJA KUBWA (HEMORRHOIDS)

~ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu ya ndani au nnje ya haja kubwa wakati mwingine mishipa hiyo inaweza kupasuka /kuteleza na kuvuja damu kwenye njia ya haja kubwa na kasababisha kinyama au uvimbe

~ugonjwa huu wa bawasiri kwa lugha ya kitaalamu tunauita hemorrhoids ilhali katika lugha ya kingereza unajulikana kama piles,

~tatizo hili huwaathiri zaidi watu wazima kuliko watoto na makadirio kuwa karibia 50%ya watu wote wako hatarini kupata tatizo hili katika umri wa miaka 30_50

AINA ZA BAWASIRI

{1}BAWASIRI YA NDANI

~hii hutokea ndani ya mfereji wa haja kubwa na huwa haiambatani na maumivu na wengi huwa hawajitambui kuwa Wana tatizo hili

~Aina hii hutokana na kuvimba na kuharibika kwa mshipa wa artery za ndani ya mfereji wa haja kubwa

Aina hii ya bawasiri imegawanyika katika madaraja manne

DARAJA LA KWANZA ~Hii ni bawasiri ambayo haitoki mahali pake pa kawaida.

DARAJA LA PILI ~hii hutokea wakati wa haja kubwa na kurudi yenyewe baada ya kujisaidia

DARAHA LA TATU ~hii hutokea wakati wa haja kubwa na mtu kuweza kurudisha ndani yeye mwenywe

DARAJA LA NNE ~hii ni bawasiri inayotoka na huwa ngumu kurudi

[2}BAWASIRI YA NNJE

~Aina hii ya bawasiri hutokea katika eneo la mwisho kabisa la mfereji wa haja kubwa na huambatana na maumivu makali na kuwashwa kwa ngozi katika eneo la tundu Hilo pia husababisha mishipa ya damu (vena) kupasuka na damu kuganda na kasababisha Aina ya bawasiri iitwayo THROMBOSED HEMORRHOIDS

CHANZO CHA TATIZO LA BAWASIRI

~Ugonjwa huu wa bawasiri mpaka sasa chanzo chake hasa hakijapatikana ila Kuna vitu ambavyo huwa chanzo na hukuweka katika hatari ya kupata tatizo hili

~KUFANYA MAPENZI KINYUME NA MAUMBILE

~TATIZO SUGU LA KUHARISHA

~UJAUZITO

~UZITO MKUBWA

~MATUMIZI YA VYOO VYA KUKAA KWA MUDA MREFU

~KUPATA KINYESI KIGUMU KWA MUDA MREFU

~DALILI ZA BAWASIRI

kupata muwasho mkali katika eneo la juu la haja kubwa

kujitokeza kwa kinyama eneo la haja kubwa

kutokewa na kiuvimbe katika tundu ya haja kubwa

kupata kinyesi chenye damu

kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia

MATIBABU NA JINSI YA KUEPUKA UGONJWA WA BAWASIRI

MATIBABU NA JINSI YA KUEPUKA UGONJWA WA BAWASIRI

Matibabu ya bawasiri hutegemea na Aina ya bawasiri, mara nyingi wagonjwa wa bawasiri hupatiwa tiba ya kukatwa kinyama na kushauriwa kuendelea na tiba ya vyakula Lakini tiba huwa haina matokeo mazuri kwasababu baada ya Muda tatizo hujirudia kutokana na kwamba hawajatibu chanzo cha tatizo hivyo tiba nzuri ya bawasiri ni kutumia dawa itakayotibu chanzo cha tatizo huku ukiendelea na tiba ya chakula, MFANO MZURI WA DAWA NI ALO SNACA NA ANION hizo zinatibu na kuondoa tatizo moja kwa moja hivyo ni vizuri kutumia dawa hizo ili kumaliza tatizo pamoja na hayo ni vyema ukazingatia mambo yafuatayo ili KUEPUKANA na ugonjwa wa bawasiri.

ZINGATIA KANUNI YA CHAKULA BORA KWA KUPENDELEA KULA MBOGAMBOGA ZA MAJANI, MATUNDA NA NAFAKA ZISIZOKOBOLEWA

KUNYWA MAJI MENGI ANGALAU GLASI SITA HADI 12 KWA SIKU

EPUKA KUTUMIA MUDA MREFU CHOONI

MADHARA YA BAWASIRI
~Ugonjwa wa bawasiri una madhara makubwa iwapo hautapatiwa tiba ya uhakika haya ni baadhi ya madhara ya bawasiri

KUPATA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME

KUPATA TATIZO LA KUSHINDWA KUHIMILI KINYESI

HUPUNGUZA MORAL YA KUFANYA KAZI KUTOKANA NA MAUMIVU

HUATHIRI KISAIKOLOJIA

MWANAMKE HUKOSA HAMU YA TENDO LA NDOA

Prepared by Dr Salim Amour
Cardio_thoracic surgeon
 
BAWASIRI NI UGONJWA WA KUVIMBA SEHEMU ZA HAJA KUBWA NA NYAMA NYAMA KATIKA SEHEMU YA HAJA KUBWA.

TATIZO LA BAWASILI HUSABABISHA KUZIBA KWA SEHEMU YA HAJA KUBWA NA KUTOKWA NA DAMU NYINGI WAKATI WA KUJISAIDIA.

USABABISHA UPUNGUFU WA DAMU MWILINI
(ANEMIA) STRANGULATED HERMORRHODS.



KUPUNGUZA NGUVU ZA KIUME NA KUONDOA HAMU YA TENDO KWA WANAWAKE.

KUATHIRIKA KISAIKOLOJIA.

KUKOSA MORAL YA KUFANYA KAZI KUTOKANA NA MAUMIVU.

NI HATARI KAMA UKICHELEWA KUPATA TIBA YA BAWASIRI.

KWA MAITAJI YA DAWA NA USHAURI
CALL +255 7 55 26 35 20
WHTSP +255 7 55 26 35 20


PIA UNAWEZA KUWAFOLLOW ILI KUJIONEA DAWA ZAIDI.
@NATURAL__MEDICAL
@NATURAL_MEDICAL
@NATURAL__MEDICAL
@NATURAL_MEDICAL

Sent using Jamii Forums mobile app
71709450ad5bd35ed38e162fa532c9b3.jpg
 
HABARI NJEMA UGONJWA WA BAWASIRI UNAOWATESA WENGI SASA UMEPATA TIBA YA UHAKIKA

~watu wengi wanasumbuliwa na tatizo hili ambalo huwafanya kuwa na uoga na aibu wa kuelezea na kushindwa hata kwenda hospital kupata tiba

BAWASIRI AU KUOTA KINYAMA SEHEMU YA HAJA KUBWA (HEMORRHOIDS)

~ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu ya ndani au nnje ya haja kubwa wakati mwingine mishipa hiyo inaweza kupasuka /kuteleza na kuvuja damu kwenye njia ya haja kubwa na kasababisha kinyama au uvimbe

~ugonjwa huu wa bawasiri kwa lugha ya kitaalamu tunauita hemorrhoids ilhali katika lugha ya kingereza unajulikana kama piles,

~tatizo hili huwaathiri zaidi watu wazima kuliko watoto na makadirio kuwa karibia 50%ya watu wote wako hatarini kupata tatizo hili katika umri wa miaka 30_50

AINA ZA BAWASIRI

{1}BAWASIRI YA NDANI

~hii hutokea ndani ya mfereji wa haja kubwa na huwa haiambatani na maumivu na wengi huwa hawajitambui kuwa Wana tatizo hili

~Aina hii hutokana na kuvimba na kuharibika kwa mshipa wa artery za ndani ya mfereji wa haja kubwa

Aina hii ya bawasiri imegawanyika katika madaraja manne

DARAJA LA KWANZA ~Hii ni bawasiri ambayo haitoki mahali pake pa kawaida.

DARAJA LA PILI ~hii hutokea wakati wa haja kubwa na kurudi yenyewe baada ya kujisaidia

DARAHA LA TATU ~hii hutokea wakati wa haja kubwa na mtu kuweza kurudisha ndani yeye mwenywe

DARAJA LA NNE ~hii ni bawasiri inayotoka na huwa ngumu kurudi

[2}BAWASIRI YA NNJE

~Aina hii ya bawasiri hutokea katika eneo la mwisho kabisa la mfereji wa haja kubwa na huambatana na maumivu makali na kuwashwa kwa ngozi katika eneo la tundu Hilo pia husababisha mishipa ya damu (vena) kupasuka na damu kuganda na kasababisha Aina ya bawasiri iitwayo THROMBOSED HEMORRHOIDS

CHANZO CHA TATIZO LA BAWASIRI

~Ugonjwa huu wa bawasiri mpaka sasa chanzo chake hasa hakijapatikana ila Kuna vitu ambavyo huwa chanzo na hukuweka katika hatari ya kupata tatizo hili

~KUFANYA MAPENZI KINYUME NA MAUMBILE

~TATIZO SUGU LA KUHARISHA

~UJAUZITO

~UZITO MKUBWA

~MATUMIZI YA VYOO VYA KUKAA KWA MUDA MREFU

~KUPATA KINYESI KIGUMU KWA MUDA MREFU

~DALILI ZA BAWASIRI

kupata muwasho mkali katika eneo la juu la haja kubwa

kujitokeza kwa kinyama eneo la haja kubwa

kutokewa na kiuvimbe katika tundu ya haja kubwa

kupata kinyesi chenye damu

kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia

MATIBABU NA JINSI YA KUEPUKA UGONJWA WA BAWASIRI

MATIBABU NA JINSI YA KUEPUKA UGONJWA WA BAWASIRI

Matibabu ya bawasiri hutegemea na Aina ya bawasiri, mara nyingi wagonjwa wa bawasiri hupatiwa tiba ya kukatwa kinyama na kushauriwa kuendelea na tiba ya vyakula Lakini tiba huwa haina matokeo mazuri kwasababu baada ya Muda tatizo hujirudia kutokana na kwamba hawajatibu chanzo cha tatizo hivyo tiba nzuri ya bawasiri ni kutumia dawa itakayotibu chanzo cha tatizo huku ukiendelea na tiba ya chakula, MFANO MZURI WA DAWA NI ALO SNACA NA ANION hizo zinatibu na kuondoa tatizo moja kwa moja hivyo ni vizuri kutumia dawa hizo ili kumaliza tatizo pamoja na hayo ni vyema ukazingatia mambo yafuatayo ili KUEPUKANA na ugonjwa wa bawasiri.

ZINGATIA KANUNI YA CHAKULA BORA KWA KUPENDELEA KULA MBOGAMBOGA ZA MAJANI, MATUNDA NA NAFAKA ZISIZOKOBOLEWA

KUNYWA MAJI MENGI ANGALAU GLASI SITA HADI 12 KWA SIKU

EPUKA KUTUMIA MUDA MREFU CHOONI

MADHARA YA BAWASIRI
~Ugonjwa wa bawasiri una madhara makubwa iwapo hautapatiwa tiba ya uhakika haya ni baadhi ya madhara ya bawasiri

KUPATA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME

KUPATA TATIZO LA KUSHINDWA KUHIMILI KINYESI

HUPUNGUZA MORAL YA KUFANYA KAZI KUTOKANA NA MAUMIVU

HUATHIRI KISAIKOLOJIA

MWANAMKE HUKOSA HAMU YA TENDO LA NDOA

Prepared by Dr Salim Amour
Cardio_thoracic surgeon
Hzo dawa zinapatikana wapi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom