ni kwa sababu unakunywa damu za watu, acha u-vampire (nakutania,lol)
hemorrhoids (hivyo vinyama, kwa kiswahili vinaitwa bawaziri kama sikosei) vinatokana na presha inayojijenga kwenye mishipa ya damu kwenye utumbo mnene kwa sababu mbalimbali. mojawapo ikiwa kuwa na choo kigumu. kula mapapai kwa wingi na mboga za majani, lakini ni muhimu sana uonane na daktari mapema. ni tatizo linalotibika, na huenda ukahitaji upasuaji mdogo. the earlier,the better
pole sana
mkuu nakushauri haraka uwaone wataalamu kwa ushauri zaidi