Ugonjwa wa Kuota Vinyama Sehemu za Siri (Bawasiri/ Hemorrhoids): Chanzo, Dalili, Tiba na Kinga

Ugonjwa wa Kuota Vinyama Sehemu za Siri (Bawasiri/ Hemorrhoids): Chanzo, Dalili, Tiba na Kinga

Wakuu..bi mkubwa wangu anasumbuliwa sana hili tatizo,ashatumia sana hizi dawa za akina dokta mwaka..lakini hamna nafuu kabisa.sasa kama kuna mtu ashawahi kupona kwa njia nyingine tofauti tofauti msaada wenu wakuu..nipo tayari kupokea maoni yenu..tumekwama

1.ni hatari kiasi mpaka anajisaidia damu.
Tunahitaji maoni yenu wadau
Mkuu njoo PM
 
Wakuu..bi mkubwa wangu anasumbuliwa sana hili tatizo,ashatumia sana hizi dawa za akina dokta mwaka..lakini hamna nafuu kabisa.sasa kama kuna mtu ashawahi kupona kwa njia nyingine tofauti tofauti msaada wenu wakuu..nipo tayari kupokea maoni yenu..tumekwama

1.ni hatari kiasi mpaka anajisaidia damu.
Tunahitaji maoni yenu wadau
Mkuu huyo mama yako anayo bawasiri ya ndani inayo sababishwa na upepo mbaya wa shetani aliye mkumba ndio maana akipata choo kinachanganyika na damu.

Anatakiwa atibiwe kutolewa huyo shetani aka pepo mchafu aliyeko tumboni mwake mama yako ndipo atakapo weza kupona maradhi yake.

Pasipo na hivyo utamaliza dawa zote kupona itakuwa ni hadithi kwa mama yako.Ukihitaji dawa toka kwangu utanitafuta kwa wakati wako.
 
basi hapa kila mtu atajifanyaaa doktaa kama una dawa si umsaidiee mtu khaaa njaa imezidi hapa mjini daslam kilaa mtu mtaalamu wa tibaa
 
Wakuu, Bi mkubwa wangu anasumbuliwa sana hili tatizo, ashatumia sana hizi dawa za akina dokta mwaka..lakini hamna nafuu kabisa.sasa kama kuna mtu ashawahi kupona kwa njia nyingine tofauti tofauti msaada wenu wakuu..nipo tayari kupokea maoni yenu..tumekwama

1.ni hatari kiasi mpaka anajisaidia damu.
Tunahitaji maoni yenu wadau
Vp lkn miko anafuata?
 
Mkuu huyo mama yako anayo bawasiri ya ndani inayo sababishwa na upepo mbaya wa shetani aliye mkumba ndio maana akipata choo kinachanganyika na damu.

Anatakiwa atibiwe kutolewa huyo shetani aka pepo mchafu aliyeko tumboni mwake mama yako ndipo atakapo weza kupona maradhi yake.

Pasipo na hivyo utamaliza dawa zote kupona itakuwa ni hadithi kwa mama yako.Ukihitaji dawa toka kwangu utanitafuta kwa wakati wako.
Duh
 
Habari wakuu..
Nasumbuliwa na Bawasiri Mwaka wa 3 sasa. Je, ni Dawa au Tiba ipi ya Bawasiri?

Msaada Please!
 
Ndugu wapendwa kwa pamoja, nawashukuruni sana wote mlioweza kutumia mda wenu kunisaidia katika hili tatizo. Nawaombeeni kwa Mungu awazidishie afaya na nguvu muendelee na miyoyo hiyo hiyo.
Penny mambo vp ivi ulipona ilo tatizo la bawasili kwa matibabu gani?
 
Msaada
hivi karibuni nilikua najiskia mwili kuchoka,kichwa kinauma,tumbo linaunguruma na kutokupata haja ndani ya siku mbili mpaka tatu,nilikwenda kupima typhoid,malaria,na haja zote

haja kubwa kulikua na dam dam zimeambatana na haja ila vipimo vikaja kuwa sina infection ya bacteria yeyote ki ujumla hakuna tatizo lililo onekana.

leo nimepata haja kubwa ngumu na dam dam juu,zaidi ya yote njia ya haja kubwa inauma sana hadi kukaa napata tabu

mwenye ujuzi na hivi vitu anaisaidie please....
 
Pole sana..nitafute kuanzia kesho kutwa kuna sawa nilitumia hakika ilisaidia sana ...0784426055
Msaada
hivi karibuni nilikua najiskia mwili kuchoka,kichwa kinauma,tumbo linaunguruma na kutokupata haja ndani ya siku mbili mpaka tatu,nilikwenda kupima typhoid,malaria,na haja zote...
 
Huo sio (desease) ugonjwa ni hali(condition). Ungekuwa ni ugonjwa ungekuwa na dawa but kwa sababu ni condition then unahitaji marekebisho....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
GT naomba msaada kupata ripoti mbalimbali juu ya ugonjwa huu kutoka Shirika la Afya (WHO), Wizara ya Afya Tanzania na mashirika mbalimbali.
 
Wahi Hospital hiyo ni kansa sema ukiiwahi hatua za, mwanzo unapona kabisa.

Zipo aina mbili
Ipo ya ndani na ipo ya nje

Angalau hii ya nje kuna baadhi ya dawa za asili hua inapona kabisa, lakini ya ndani ni upasuaji tu!
 
Hello habari ya wakati huu kwasasa TUJIFUNZE JUU YA BAWASIRI JITAHIDI UKIPATA MUDA PITIA HILI SOMO NI MUHIMU SANAA!!

Sasa nikukaribishe tujifunze
Kwanza tufahamu maana ya Bawasili

BAWASILI AU MGOLO (HEMORRHOID) ? ni nini?
Ni ni kinyama au vinyama vinavyoota ktk njia ya haja kubwa, au kuathirika kwa mishipa ya haja kubwa.

Tatizo hili linaonekana kuwasumbua watu wengi na hukaa kimia na kuhisi aibu kusema kana kwamba ni ugonjwa wa aibu sana kumbe tatzo huzidi kuwa kubwa.

VYANZO VYA BAWASILI/ MGOLO (HOMORRHOID )
1. Kukaa kitako muda mrefu
2. Uzito wa kupindukua au kupita kiasi, hii husababisha mishipa ya haja kubwa kupata presha na kushindwa kufanya kazi yake vizuri ambapo hupelekea kinyama kushuka
3. Kupata choo kigumu kwa muda mrefu.
4. Kufanya tendo la ndoa kinyume na maumbile
5. Ujauzito( hasa wakati wa kujifungua)
6. Kuharisha kwa muda mrefu husababisha mishipa kushuka
7. Kubeba vitu vizito./ kufanya mazoezi ya kupindukia bila kupata ushauri wa daktari kama vile kuinua vyuma vizito na diet zisizo na mpangilio.

DALILI ZA BAWASILI /MGOLO/(HEMORRHOID
1. Ni sababu ya kupata Saratani ya utumbo mkubwa
2. Kukosa au kupoteza kabisa nguvu za kiume 3.kukosa hamu ya tendo la ndoa kwa mwanamke
4. Hormonal imbalance
5. Kukosa furaha/ kutojiamini
6. Kufanyiwa upasuaji

KUZUIA BAWASILI/MGOLO(HERRHOID)
1. Kunywa maji mengi
2. Kula vyakula vya aina ya nyuzi nyuzi mboga mboga za majani
 
Back
Top Bottom