Ugonjwa wa Kuota Vinyama Sehemu za Siri (Bawasiri/ Hemorrhoids): Chanzo, Dalili, Tiba na Kinga

Ugonjwa wa Kuota Vinyama Sehemu za Siri (Bawasiri/ Hemorrhoids): Chanzo, Dalili, Tiba na Kinga

Habari wapendwa. Nakosa hata nguvu za kuandika huu uzi kwani nateswa sana na huu ugonjwa unaitwa Bawasiri ambao unasababisha kuota kinyama kuzunguka mkunduni.

Nimetumia dawa za hospitali pamoja na kienyeji lakini inatulia kwa miez 3 mwisho inarudI taratibu. Pamoja na hilo nina shida ya tumbo kujaa gesi sasa sielewi hili nalo linasababishwa na hii Bawasiri au laaah. Pamoja na hilo hata performance yangu kimapenzi imeshuka sijisikii tena mhemuko wa kufanya mapenzi, hili nalo nahisi linaweza likawa limechangiwa na tatizo hili.

Ombi langu kwenu mwenye uwezo wa kunisaidia nikapata dawa ya asili ya gonjwa hili la aibu sana naomba anisaidie, nateseka kwel.
 
Tafuna sana Tangawizi, tafuna mno tangawizi, tafuna tangawizi tena tena bila kuchoka.
 
Kuna jamaa amefanyiwa upasuaji juzi tu and he is good now.Acha kuogopa kwn mficha maradhi kifo humuumbua.Nenda hospital kaka
 
Back
Top Bottom