Ugonjwa wa Kuota Vinyama Sehemu za Siri (Bawasiri/ Hemorrhoids): Chanzo, Dalili, Tiba na Kinga

Ugonjwa wa Kuota Vinyama Sehemu za Siri (Bawasiri/ Hemorrhoids): Chanzo, Dalili, Tiba na Kinga

mdogo wako ana external hemorrhoids au piles,.aende hospitali atapatiwa dawa,,,ila abadili diet ale vyakula vyenye fiber sana eg matunda na mbogamboga na maji mengi ili asijikakamue aendapo chooni,,,maumivu yakimzidi mwambie aweke maji ya moto kwenye karahi then ayakalie kwa dakika 15 akiweza mara tatu kwa siku....then anaweza kuweka kibaraku kwenye nailoni then akawekea kwa juu ya uvimbe ili uvimbe upungue...onyo: asinyanyue vitu vizito,asile pilipili au vyakula vigumu......akifuata hayo maelekezo ninahakika atakuwa safi within few days...lakini mpeleke hospitali coz atakuwa na tatizo jingine zaidi ya piles coz piles hazisababishi kuumwa tumbo.....ukitaka maelezo zaid kuwa huru..
kukalia maji ya moto: Hebu tupe data yawe na moto/joto kiasi gani mkuu?
 
huo ugonjwa unaitwa hemoroid unatibika dawa au upasuaji. mpeleke hospital

haemorrhoid...sijui tuuite ugonjwa au condition, siyo kitu cha kutisha sana , mpeleke hospitali atapata matibabu tu. Mshauri huyo mdogo wako na hata wewe pia uwe na tabia ya kunywa maji mengi na vyakula vyenye roughage au fibre...ukienda chooni unatakiwa ustarehe bila kutumia maguvu ya kujikamua...utumiaji wa maguvu ya kujikamua mara nyingi ndiyo huwa unasababisha hii hali...
 
BAWASIRI (HEMORRHOIDS)

hemorrhoid-1-300x212.jpg


Bawasiri ni mojawapo ya tatizo ambalo mara nyingi linapotokea humfanya mtu kuwa na aibu kuelezea au kwenda hospitali ili kupata tiba sahihi. Bawasiri au hemorrhoids husababishwa na kuvimba kwa mishipa ya damu aina ya vena katika eneo la mfereji wa haja kubwa.

Kuna aina mbili za Bawasiri

Nje: Aina hii ya bawasiri hutokea katika eneo la mwisho kabisa la mfereji wa haja kubwa, na huweza kuambatana na maumivu, pamoja na kuwashwa kwa ngozi katika eneo hilo. Mara nyingine mishipa hiyo ya damu (vena) hupasuka na damu huganda na kusababisha aina kitaalamu inaitwa Thrombosed hemorrhoid.


Ndani
: Aina hii ya bawasiri hutokea ndani ya mfereji wa haja kubwa. Na huwa haimbatani na maumivu na wengi huwa hawatambui kuwa wanatatizo hili.
Aina hii imegawanyika katika mainisho yafuatayo:
Daraja I- Bawasiri kutotoka katika mahali pake pa kawaida
Daraja II- Bawasiri kutoka wakati wa haja kubwa na kurudi yenyewe baada ya tukio hilo.
Daraja III- Bawasiri kutoka wakati wa haja kubwa na mtu kuweza kuirudisha mwenyewe baada ya tukio hilo.
Daraja IV- Bawasiri kutoka wakati wa haja kubwa na vigumu mtu kuirudisha baada ya tukio hilo.


Je bawasiri husababishwa na nini?


Bawasiri husababishwa na;


  • Tatizo sugu la kuharisha
  • Kupata kinyesi kigumu
  • Ujauzito
  • Uzito kupita kiasi (obesity)
  • Kupenda kufanya ngono ya njia ya haja kubwa (anal sex)
  • Kwa ujumla mambo yanayo ongeza shiniko katika tumbo.
  • Umri mkubwa

Dalili za bawasiri


  • Damu kunuka kinyesi wakati wa kujisaidia (hematochezia)
  • Maumivu au usumbufu
  • Kinyesi kuvuja
  • Kijiuvimbe katika eneo la tundu la haja kubwa
  • Ngozi kuwasha katika eneo la tundu la haja kubwa
  • Kujitokeza kwa kinyama (bawasiri) wakati wa haja kubwa

Matatizo yanayoweza kutokana na Bawasiri


  • Upungufu wa damu mwilini (Anemia)
  • Strangulated hemorrhoids
786813_f260.jpg


Vipimo na uchunguzi


  • Digital rectal examination
  • Kipimo cha njia ya haja kubwa (Proctoscope)
  • Kipimo cha utumbo mpana (Sigmoidoscope)

Matibabu


Matibabu hutegemea na hali na aina ya Bawasiri


  • Rubber band ligation - Hapa mishipa hufungwa na rubber band ili kuzuia damu kwenda kwenye eneo liloathirika, na hutumika kwenye aina ya ndani ya bawasiri.
  • Sclerotherapy- Hapa kemikali huwekwa kwa njia ya sindano
  • Coagulation (infrared, laser and bipolar)
  • Upasuaji;​
Bawasiri (Hemorrhoids)
 
  • Thanks
Reactions: rom
Rex pamoja na wote mlionipa ushauri pamoja na maelekezo, nawashukuru sana, Pia na mshukuru Mungu mgonjwa amepona kabisa na anaendelea vema na shughuli zake za kila siku, DAWA alipewa dawa ya unga unga kukalia kwenye kigoda na maji ya moto mda wa siku 3.
 
Kuna dawa ya kienyeji ya kuchanganya miti kama 3 hivi unaichanganya na kuitwanga kisha kukaria mchanganyiko huo kwenye kiti cha kienyeji tatizo hilo linakwisha kabisaa ndani ya siku 2, bahati mbaya sana naukumba mti 1 tuu.
 
msaada,,,,nikijisaidia nikimaliza nikiwa najiosha nakuta kijinyama kinatoka nje,,,je ni ugonjwa gani?nakirudisha kwa kukisukuma ,,,dawa yake ni nini?matibabu jeeee msaada jamani
 
Kwa kufahamu kwangu hiyo itakuwa ni Dalili ya maradhi ya Bawasiri (HEMORRHOIDS) ninakushauri nenda hospitali kamuone Daktari huenda ukafanyiwa Operesheni ya upasuaji.

BAWASIRI (HEMORRHOIDS)






Bawasiri ni mojawapo ya tatizo ambalo mara nyingi linapotokea humfanya mtu kuwa na aibu kuelezea au kwenda hospitali ili kupata tiba sahihi. Bawasiri au hemorrhoids husababishwa na kuvimba kwa mishipa ya damu aina ya vena katika eneo la mfereji wa haja kubwa.

Kuna aina mbili za Bawasiri

Nje: Aina hii ya bawasiri hutokea katika eneo la mwisho kabisa la mfereji wa haja kubwa, na huweza kuambatana na maumivu, pamoja na kuwashwa kwa ngozi katika eneo hilo. Mara nyingine mishipa hiyo ya damu (vena) hupasuka na damu huganda na kusababisha aina kitaalamu inaitwa Thrombosed hemorrhoid.

Ndani: Aina hii ya bawasiri hutokea ndani ya mfereji wa haja kubwa. Na huwa haimbatani na maumivu na wengi huwa hawatambui kuwa wanatatizo hili.

Aina hii imegawanyika katika mainisho yafuatayo:
Daraja I- Bawasiri kutotoka katika mahali pake pa kawaida
Daraja II- Bawasiri kutoka wakati wa haja kubwa na kurudi yenyewe baada ya tukio hilo.
Daraja III- Bawasiri kutoka wakati wa haja kubwa na mtu kuweza kuirudisha mwenyewe baada ya tukio hilo.
Daraja IV- Bawasiri kutoka wakati wa haja kubwa na vigumu mtu kuirudisha baada ya tukio hilo.

Je bawasiri husababishwa na nini?

Bawasiri husababishwa na;


  • Tatizo sugu la kuharisha
  • Kupata kinyesi kigumu
  • Ujauzito
  • Uzito kupita kiasi (obesity)
  • Kupenda kufanya ngono ya njia ya haja kubwa (anal sex)
  • Kwa ujumla mambo yanayo ongeza shiniko katika tumbo.
  • Umri mkubwa

Dalili za bawasiri


  • Damu kunuka kinyesi wakati wa kujisaidia (hematochezia)
  • Maumivu au usumbufu
  • Kinyesi kuvuja
  • Kijiuvimbe katika eneo la tundu la haja kubwa
  • Ngozi kuwasha katika eneo la tundu la haja kubwa
  • Kujitokeza kwa kinyama (bawasiri) wakati wa haja kubwa

Matatizo yanayoweza kutokana na Bawasiri


  • Upungufu wa damu mwilini (Anemia)
  • Strangulated hemorrhoids
786813_f260.jpg





Vipimo na uchunguzi

  • Digital rectal examination
  • Kipimo cha njia ya haja kubwa (Proctoscope)
  • Kipimo cha utumbo mpana (Sigmoidoscope)

Matibabu


Matibabu hutegemea na hali na aina ya Bawasiri


  • Rubber band ligation - Hapa mishipa hufungwa na rubber band ili kuzuia damu kwenda kwenye eneo liloathirika, na hutumika kwenye aina ya ndani ya bawasiri.
  • Sclerotherapy- Hapa kemikali huwekwa kwa njia ya sindano
  • Coagulation (infrared, laser and bipolar)
  • Upasuaji;
    • Hemorrhoidectomy
    • Stapled hemorrhoidopexy

Njia za kuzuia Bawasiri


  • High fibre diet, kula mboga za majani, matunda, na nafaka kwa wingi.
  • Kunywa maji mengi kwa siku (glasi sita had nane kwa siku)
  • Punguza kukaa kwa muda mrefu sana hasa ukiwa chooni, kwa sababu unaweza kuongeza shinikizo katika mfereji wa haja kubwa. Bawasiri (Hemorrhoids).@Chuck j


 
msaada,,,,nikijisaidia nikimaliza nikiwa najiosha nakuta kijinyama kinatoka nje,,,je ni ugonjwa gani?nakirudisha kwa kukisukuma ,,,dawa yake ni nini?matibabu jeeee msaada jamani

Most likely ni Hemorrhoids, . Nenda hospital ukamuone General Surgeon. Inatibika. Utapona.
 
Kwa kufahamu kwangu hiyo itakuwa ni Dalili ya maradhi ya Bawasiri (HEMORRHOIDS) ninakushauri nenda hospitali kamuone Daktari huenda ukafanyiwa Operesheni ya upasuaji.

BAWASIRI (HEMORRHOIDS)






Bawasiri ni mojawapo ya tatizo ambalo mara nyingi linapotokea humfanya mtu kuwa na aibu kuelezea au kwenda hospitali ili kupata tiba sahihi. Bawasiri au hemorrhoids husababishwa na kuvimba kwa mishipa ya damu aina ya vena katika eneo la mfereji wa haja kubwa.

Kuna aina mbili za Bawasiri

Nje: Aina hii ya bawasiri hutokea katika eneo la mwisho kabisa la mfereji wa haja kubwa, na huweza kuambatana na maumivu, pamoja na kuwashwa kwa ngozi katika eneo hilo. Mara nyingine mishipa hiyo ya damu (vena) hupasuka na damu huganda na kusababisha aina kitaalamu inaitwa Thrombosed hemorrhoid.

Ndani: Aina hii ya bawasiri hutokea ndani ya mfereji wa haja kubwa. Na huwa haimbatani na maumivu na wengi huwa hawatambui kuwa wanatatizo hili.

Aina hii imegawanyika katika mainisho yafuatayo:
Daraja I- Bawasiri kutotoka katika mahali pake pa kawaida
Daraja II- Bawasiri kutoka wakati wa haja kubwa na kurudi yenyewe baada ya tukio hilo.
Daraja III- Bawasiri kutoka wakati wa haja kubwa na mtu kuweza kuirudisha mwenyewe baada ya tukio hilo.
Daraja IV- Bawasiri kutoka wakati wa haja kubwa na vigumu mtu kuirudisha baada ya tukio hilo.

Je bawasiri husababishwa na nini?

Bawasiri husababishwa na;


  • Tatizo sugu la kuharisha
  • Kupata kinyesi kigumu
  • Ujauzito
  • Uzito kupita kiasi (obesity)
  • Kupenda kufanya ngono ya njia ya haja kubwa (anal sex)
  • Kwa ujumla mambo yanayo ongeza shiniko katika tumbo.
  • Umri mkubwa

Dalili za bawasiri


  • Damu kunuka kinyesi wakati wa kujisaidia (hematochezia)
  • Maumivu au usumbufu
  • Kinyesi kuvuja
  • Kijiuvimbe katika eneo la tundu la haja kubwa
  • Ngozi kuwasha katika eneo la tundu la haja kubwa
  • Kujitokeza kwa kinyama (bawasiri) wakati wa haja kubwa

Matatizo yanayoweza kutokana na Bawasiri


  • Upungufu wa damu mwilini (Anemia)
  • Strangulated hemorrhoids
786813_f260.jpg





Vipimo na uchunguzi

  • Digital rectal examination
  • Kipimo cha njia ya haja kubwa (Proctoscope)
  • Kipimo cha utumbo mpana (Sigmoidoscope)

Matibabu


Matibabu hutegemea na hali na aina ya Bawasiri


  • Rubber band ligation - Hapa mishipa hufungwa na rubber band ili kuzuia damu kwenda kwenye eneo liloathirika, na hutumika kwenye aina ya ndani ya bawasiri.
  • Sclerotherapy- Hapa kemikali huwekwa kwa njia ya sindano
  • Coagulation (infrared, laser and bipolar)
  • Upasuaji;
    • Hemorrhoidectomy
    • Stapled hemorrhoidopexy

Njia za kuzuia Bawasiri


  • High fibre diet, kula mboga za majani, matunda, na nafaka kwa wingi.
  • Kunywa maji mengi kwa siku (glasi sita had nane kwa siku)
  • Punguza kukaa kwa muda mrefu sana hasa ukiwa chooni, kwa sababu unaweza kuongeza shinikizo katika mfereji wa haja kubwa. Bawasiri (Hemorrhoids).@Chuck j



Dah! Kweli tunajifunza mengi huku. Asante kwa maelezo hayo ya kitaalam zaidi.
 
Mkuu mzizimkavu, nashukuru sana kwa maelezo yako. Mimi pia tatizo hili limenipjta na nimejisikia aibu kwenda kwa daktari kueleza. Nimeamua kuingia huku kwa id nyingine tofauti na iliyozoeleka ili kuficha aibu hii ila sasa umenipa ahueni. Ubarikiwe sana mkuu na wewe uliyeleta uzi huu.
 
Mkuu mzizimkavu, nashukuru sana kwa maelezo yako. Mimi pia tatizo hili limenipjta na nimejisikia aibu kwenda kwa daktari kueleza. Nimeamua kuingia huku kwa id nyingine tofauti na iliyozoeleka ili kuficha aibu hii ila sasa umenipa ahueni. Ubarikiwe sana mkuu na wewe uliyeleta uzi huu.
Ukiumwa hakuna cha aibu mimi mbona nilisha wahi kuumwa haya maradhi wakati wa ujana wangu miaka 24 iliyopita na nimekwenda hospitali nikafanyiwa Operesheni na nimepona usione aibu maradhi hayana aibu mkuu Mbepo yamba
 
Wadau nawasalimu wote...nina mtu wangu wa karibu sana anasumbuliwa na tatizo hili la bawasiri (external hemorhoids) kama mwaka 1, na ametumia dawa za hospitali hazijamsaidia kabisa,,anacholalamika ni maumivu na muwasho,natanguliza shukrani
 
BAWASIRI (HEMORRHOIDS)


Bawasiri ni mojawapo ya tatizo ambalo mara nyingi linapotokea humfanya mtu kuwa na aibu kuelezea au kwenda hospitali ili kupata tiba sahihi. Bawasiri au hemorrhoids husababishwa na kuvimba kwa mishipa ya damu aina ya vena katika eneo la mfereji wa haja kubwa.
Kuna aina mbili za Bawasiri
Nje: Aina hii ya bawasiri hutokea katika eneo la mwisho kabisa la mfereji wa haja kubwa, na huweza kuambatana na maumivu, pamoja na kuwashwa kwa ngozi katika eneo hilo. Mara nyingine mishipa hiyo ya damu (vena) hupasuka na damu huganda na kusababisha aina kitaalamu inaitwa Thrombosed hemorrhoid.

Ndani: Aina hii ya bawasiri hutokea ndani ya mfereji wa haja kubwa. Na huwa haimbatani na maumivu na wengi huwa hawatambui kuwa wanatatizo hili.
Aina hii imegawanyika katika mainisho yafuatayo:
Daraja I- Bawasiri kutotoka katika mahali pake pa kawaida
Daraja II- Bawasiri kutoka wakati wa haja kubwa na kurudi yenyewe baada ya tukio hilo.
Daraja III- Bawasiri kutoka wakati wa haja kubwa na mtu kuweza kuirudisha mwenyewe baada ya tukio hilo.
Daraja IV- Bawasiri kutoka wakati wa haja kubwa na vigumu mtu kuirudisha baada ya tukio hilo.

Je bawasiri husababishwa na nini?
Bawasiri husababishwa na;

  • Tatizo sugu la kuharisha
  • Kupata kinyesi kigumu
  • Ujauzito
  • Uzito kupita kiasi (obesity)
  • Kupenda kufanya ngono ya njia ya haja kubwa (anal sex)
  • Kwa ujumla mambo yanayo ongeza shiniko katika tumbo.
  • Umri mkubwa
Dalili za bawasiri

  • Damu kunuka kinyesi wakati wa kujisaidia (hematochezia)
  • Maumivu au usumbufu
  • Kinyesi kuvuja
  • Kijiuvimbe katika eneo la tundu la haja kubwa
  • Ngozi kuwasha katika eneo la tundu la haja kubwa
  • Kujitokeza kwa kinyama (bawasiri) wakati wa haja kubwa
Matatizo yanayoweza kutokana na Bawasiri

  • Upungufu wa damu mwilini (Anemia)
  • Strangulated hemorrhoids

786813_f260.jpg
Vipimo na uchunguzi


  • Digital rectal examination
  • Kipimo cha njia ya haja kubwa (Proctoscope)
  • Kipimo cha utumbo mpana (Sigmoidoscope)
Matibabu
Matibabu hutegemea na hali na aina ya Bawasiri

  • Rubber band ligation - Hapa mishipa hufungwa na rubber band ili kuzuia damu kwenda kwenye eneo liloathirika, na hutumika kwenye aina ya ndani ya bawasiri.
  • Sclerotherapy- Hapa kemikali huwekwa kwa njia ya sindano
  • Coagulation (infrared, laser and bipolar)
  • Upasuaji;
    • Hemorrhoidectomy
    • Stapled hemorrhoidopexy
Njia za kuzuia Bawasiri

  • High fibre diet, kula mboga za majani, matunda, na nafaka kwa wingi.
  • Kunywa maji mengi kwa siku (glasi sita had nane kwa siku)
  • Punguza kukaa kwa muda mrefu sana hasa ukiwa chooni, kwa sababu unaweza kuongeza shinikizo katika mfereji wa haja kubwa.Dr.Henry Mayala


 
Kutibu kwa kutumia njia Mbadala Maradhi ya BAWASIRI:

Kila Tiba kati ya zifuatazo ni yenye kujitegemea.Chagua iliyo rahisi kwako.Isipokufaa ndipo uchague nyengine

TIBA 1: MAKAL-ARZAK
Chukua 100grm kwa kila lita moja na robo ya maji (1250ml).
Chemsha mpaka ibakie lita moja kamili.
Kunywa ujazo wa kikombe kimoja cha kahawa (50ml) kutwa mara tatu (1×3) mpaka dawa imalizike.

MWIKO : Mgonjwa asitumie nyama nyekundu aina yoyote,asile pili pili na wala asitumie vitu vikali.Badala yake atumie kwa wingi mboga za majani,matunda,maziwa na samaki.


TIBA 2:
Jipake mafuta ya Mbarika kwenye utupu wa nyuma ambapo ndipo bawasiri hutokea.Fanya hivyo mara kwa mara, kwa sababu huirudisha hiyo bawasiri ndani.
Mbarika hujulikana vile vile kwa majina ya mbono,nyonyo au "castor oil". Tumia kisha unipe Feedback.@
E52

 
jaman nnaomba kujuzwa kuhusu uvimbe sehemu za siri, ni kama vijipu ila havina usaha vinatuna kwa ndani na kutokeza nje kidogo, mwakajana nlipima syphilis nkaambiwa cna wakanipa madawa hayajasaidia kwa anayejua dawa au ushauri. NB: Vilianza kunitokea kabla cjaanza kushirik sex, na kiujumla mimi cna hzo tabia japo nlishawah kusex na nlitumia kinga.

MziziMkavu
 
Last edited by a moderator:
Rudi kwa daktari mpe maelezo hayo, atajua akupime nini na atakupatia ushauri wa kitaalam zaidi.
 
sehemu ya siri wapi? Embu jidadavue kuna sehemu za siri mbili mbele au nyuma?
 
Back
Top Bottom