Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana ChidyB Daktari ulisha muonyesha huo uvimbe wako? Jaribu nenda tena kaonane na Daktari isije ikawa una Maradhi yanayoitwa BAWASIRI (HEMORRHOIDS) Na Je Choo kikubwa unapata kwa wepesi? yaani unakwenda haja kubwa kila baada ya siku ngapi? hebu nipe feedback.jaman nnaomba kujuzwa kuhusu uvimbe sehemu za siri, ni kama vijipu ila havina usaha vinatuna kwa ndani na kutokeza nje kidogo, mwakajana nlipima syphilis nkaambiwa cna wakanipa madawa hayajasaidia kwa anayejua dawa au ushauri. NB: Vilianza kunitokea kabla cjaanza kushirik sex, na kiujumla mimi cna hzo tabia japo nlishawah kusex na nlitumia kinga.
MziziMkavu
Bawasiri ni mojawapo ya tatizo ambalo mara nyingi linapotokea humfanya mtu kuwa na aibu kuelezea au kwenda hospitali ili kupata tiba sahihi. Bawasiri au hemorrhoids husababishwa na kuvimba kwa mishipa ya damu aina ya vena katika eneo la mfereji wa haja kubwa.
MziziMkavu Msome vizuri ChidyB sidhani kama anaongelea hemorrhoids cheif complainet yake ni vipele sehemu za siri mimi kitambo nilishawahi kupata mgonjwa wa aina hiyo nadhani mkuu anamaanisha bumpy pimples in pubic area na maranyingi hizi huwa ni HSV type 2 ndio huwa zinashambulia sehemu za siri, HSV type 1 effect yake huwa kwenye lips , Both types of HSV can produce sores (lesions) around the vaginal area .. penis .. anus ... thigh etcl ..
siwezi kuweka conclusion sababu mkuu ahajasema hivo vijiuvimbe vinakuja na maumivu, au muwasho.. etcl.. ambazo ni tabia za Herpes simplex virus
yap upo sawa mkuu ila mimi kwangu havina maumivu mpaka ukiminye ndo utajihsi pain kwa mbaali na pia hata panapo pona panabakia uvimbe kwa ndani kama kijinyama hivi
sasa mbona ulikuwa wa zunguka mbuyu mkuu! pole sana then fata maelezo ya MziziMkavu
hapana mzizi mkavu amezungu mzia bawasiri kwani kuna bawasiri sehemu za juu ya uume ktk pubic hair? Tafadhali mnijuze
ndo maana nikasema hujaeleweka vizuri.. mimi nilivyokuelewa una viuvimbe kwenye pubic hair .. mzizimkavu akakupa explanations za bawaziri ndio maana nikamwambia sidhani kama hilo ndilo tatizo lako sikuona main cheif complaint ya bawaziri ukiitaja .. anyways .....
so una viuvimbe kwenye pubic hair .. iight..??!
yap ni kwenye pubic hair
Inatakiwa ukisema basi sema wazi usimuogope mtu hapa Waswahili wanasema kila mficha uchi huwa hazai sasa wewe sema wazi usifiche fiche kitu. Kwani ukisema sehemu za siri inaamanisha sehemu za uchi Tigohapana mzizi mkavu amezungu mzia bawasiri kwani kuna bawasiri sehemu za juu ya uume ktk pubic hair? Tafadhali mnijuze
Hilo tatizo ni la kawaida sana muone dr samson kibona au dr Aizaki ndodi wana dawa hizo,wana ofisi dar.watafute.
Habari zenu wote.
Mwenye uelewa wa haya mambo kwenye topic apo juu atujuze,chanzo,na tiba zake
binafsi naelewa kidogo ni nyama zinazotokeza nje mwanzon zikiambatana na maumivu au hata damu kutokana na kupata choo kigumu sana na pia kwa wamama wajawazito,ikizidi hubii vinyama hivo kukatwa.
Sasa nauliza je vinaweza kurudi na kuwa hali ya kawaida bila dawa?kama ndio kwa muda gani?
Kuna vitu asilia vya kurudisha?
Na dawa za hospital je?na zitumikavyo.
Asante
Mtafute MziziMkavu
Unaweza kutueleza huyu Udaktari alisomea wapi?Hilo tatizo ni la kawaida sana muone dr samson kibona au dr Aizaki ndodi wana dawa hizo,wana ofisi dar.watafute.
Habari zenu wote.
Mwenye uelewa wa haya mambo kwenye topic apo juu atujuze,chanzo,na tiba zake
binafsi naelewa kidogo ni nyama zinazotokeza nje mwanzon zikiambatana na maumivu au hata damu kutokana na kupata choo kigumu sana na pia kwa wamama wajawazito,ikizidi hubii vinyama hivo kukatwa.
Sasa nauliza je vinaweza kurudi na kuwa hali ya kawaida bila dawa?kama ndio kwa muda gani?
Kuna vitu asilia vya kurudisha?
Na dawa za hospital je?na zitumikavyo.
Asante
Habari zenu wote.
Mwenye uelewa wa haya mambo kwenye topic apo juu atujuze,chanzo,na tiba zake
binafsi naelewa kidogo ni nyama zinazotokeza nje mwanzon zikiambatana na maumivu au hata damu kutokana na kupata choo kigumu sana na pia kwa wamama wajawazito,ikizidi hubii vinyama hivo kukatwa.
Sasa nauliza je vinaweza kurudi na kuwa hali ya kawaida bila dawa?kama ndio kwa muda gani?
Kuna vitu asilia vya kurudisha?
Na dawa za hospital je?na zitumikavyo.
Asante