Theodore Bagwell
JF-Expert Member
- Jan 13, 2014
- 940
- 225
leo siku yatatu namaumivu makali sana sehemu yahaja kubwa kwandani kidogo,naogopa hata kujisaidia ndio balaa hata kukaa nakaa kwashida.kwenda hospitali naona aibu,nimegoogle nimeona anal fissure inalingalingana maelezo yake na ninavyo umwa mimi naomba msaada wenu wamaelezo nadawa!
Pole sana mkuu. Tafuta magadi yachangaye na tangawizi. Sugua polepole halafu weka huo mchanganyo. Inauma sana lakini jikaze. Baada ya siku mbili itakuwa tayari. Pole sana nayajua maumivu yake. Mungu akutangulie upone haraka