Uhaba wa Condom za msaada - Corner Bar Afrika Sana

Uhaba wa Condom za msaada - Corner Bar Afrika Sana

and 300

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2012
Posts
26,398
Reaction score
36,406
1. Kumekua na uhaba wa Kondom za Msaada (toka kwa wafadhili) hapa mashine ya kutolea Kondom (Condom Vending machine) Kona baa Sinza.

2. Inabid watu wapige mbichi ku-kutembelea rim.

3. Tafadhali Mheshimiwa Dr Waziri tukumbuke wapiga Kura wenu.
 

Attachments

  • images (15).jpeg
    images (15).jpeg
    34.7 KB · Views: 1
Duuu kwa mssada wa watu wa USA.....wame block pesa xote za TB na HiV....twafwaa ndugu zangu tujipange sasa ......dunia imefunguka sana tutajua tutakunywa nn sasa sio zame zile 1985 to 1995 hali ilikuwa mbayaa sana nilipoteza Aunties uncle's kibaooo sanaa kwa Aids
 
1. Kumekua na uhaba wa Kondom za Msaada (toka kwa wafadhili) hapa mashine ya kutolea Kondom (Condom Vending machine) Kona baa Sinza.

2. Inabid watu wapige mbichi tu.

3. Tafadhali Mheshimiwa Dr Waziri tukumbuke wapiga Kura wenu.
Haujui kwamba Trump kaondoa mzigo kwenda PEPFAR?

Endeleeni "Kutembelea rim" aka "Kuuza mechi" , Tanesco Dry Kisiwa Chama.
 
Maamuzi ya Trump nayaunga mkono kwa asilimia miamoja (100%), Wiki ya wanawake ng'ombe waliochinjwa Ausha thamani yake inakadiriwa kuwa shilingi Milioni 360, tunashindwaje kununua condom, we are not serious. Garama ya sherehe kwa vitenge peke yake ni mabilioni. Bado tupo gizani
 
Maamuzi ya Trump nayaunga mkono kwa asilimia miamoja (100%), Wiki ya wanawake ng'ombe waliochinjwa Ausha thamani yake inakadiriwa kuwa shilingi Milioni 360, tunashindwaje kununua condom, we are not serious. Garama ya sherehe kwa vitenge peke yake ni mabilioni. Bado tupo gizani
Kawatukane Chama Cha Maboga sasa
 
Maamuzi ya Trump nayaunga mkono kwa asilimia miamoja (100%), Wiki ya wanawake ng'ombe waliochinjwa Ausha thamani yake inakadiriwa kuwa shilingi Milioni 360, tunashindwaje kununua condom, we are not serious. Garama ya sherehe kwa vitenge peke yake ni mabilioni. Bado tupo gizani
Bajeti ya kununua magari kila mwaka ni zaidi ya Bilioni 580 na sasa nasikia inakimbilia Bilioni 900 ,then tunashindwa kujenga Choo na kununua mosquito nets mpaka msaada wa wamarekani.
 
Bajeti ya kununua magari kila mwaka ni zaidi ya Bilioni 580 na sasa nasikia inakimbilia Bilioni 900 ,then tunashindwa kujenga Choo na kununua mosquito nets mpaka msaada wa wamarekani.
Hizo zinafanyiwa kazi zifuatazo:

Kufugia kuku zinafanywa uzio hii ni mikoa yote

Kuzungushia bustani ya maua na mbogamboga

Kuvulia samaki hii niliona mkoa wa Simiyu
Wizara ilete Kondomu Kona baa
Huu uzi upelekwe Wizara ya Hoja Mchanganyiko kule huku watu wakiropoka vibaya watalimwa ban hili jukwaa la Siasa ni 🔥 ban
 
Back
Top Bottom