and 300
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 26,398
- 36,406
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haujui kwamba Trump kaondoa mzigo kwenda PEPFAR?1. Kumekua na uhaba wa Kondom za Msaada (toka kwa wafadhili) hapa mashine ya kutolea Kondom (Condom Vending machine) Kona baa Sinza.
2. Inabid watu wapige mbichi tu.
3. Tafadhali Mheshimiwa Dr Waziri tukumbuke wapiga Kura wenu.
Kawatukane Chama Cha Maboga sasaMaamuzi ya Trump nayaunga mkono kwa asilimia miamoja (100%), Wiki ya wanawake ng'ombe waliochinjwa Ausha thamani yake inakadiriwa kuwa shilingi Milioni 360, tunashindwaje kununua condom, we are not serious. Garama ya sherehe kwa vitenge peke yake ni mabilioni. Bado tupo gizani
Hapo hatujaweka posho za watumishi na wapambe nuksiKawatukane CCM na yule mazafaka
Ndio watukane Chama cha Maboga, unasubiri nini? Posho za wake za viongozi na hawafanyi kazi na wanalipwa mshahara kila mweziHapo hatujaweka posho za watumishi na wapambe nuksi
Bajeti ya kununua magari kila mwaka ni zaidi ya Bilioni 580 na sasa nasikia inakimbilia Bilioni 900 ,then tunashindwa kujenga Choo na kununua mosquito nets mpaka msaada wa wamarekani.Maamuzi ya Trump nayaunga mkono kwa asilimia miamoja (100%), Wiki ya wanawake ng'ombe waliochinjwa Ausha thamani yake inakadiriwa kuwa shilingi Milioni 360, tunashindwaje kununua condom, we are not serious. Garama ya sherehe kwa vitenge peke yake ni mabilioni. Bado tupo gizani
Hizo zinafanyiwa kazi zifuatazo:Bajeti ya kununua magari kila mwaka ni zaidi ya Bilioni 580 na sasa nasikia inakimbilia Bilioni 900 ,then tunashindwa kujenga Choo na kununua mosquito nets mpaka msaada wa wamarekani.
Huu uzi upelekwe Wizara ya Hoja Mchanganyiko kule huku watu wakiropoka vibaya watalimwa ban hili jukwaa la Siasa ni 🔥 banWizara ilete Kondomu Kona baa