Uhai wa Taifa Letu unategemea Uwepo wa CCM Madarakani Muda Wote.

Uhai wa Taifa Letu unategemea Uwepo wa CCM Madarakani Muda Wote.

Mungu Hutumia watu kwa kuwainua na kuwapatia kibali kama ambavyo ameipatia kibali CCM
Yaani unazidi kupuyanga ,nani aliwapa kibali SISIEMU kuongoza? Uchafuzi wa 2020? ENL(M.A.P) 2015 alimtoa ngeu NZIRANKENDE ,hamjawahi kushinda kwenye BOX la kura ndiyo maana hamtaki kusikia katiba mpya wala tume huru ya uchaguzi maana ndiyo KIBLA yenu.

Mamlaka huwekwa na Mungu lakini si NINYI wezi wa kura ,nyinyi ni madikteta mnakaa mdarakani kwa nguvu ya MITUTU.
 
Yaani unazidi kupuyanga ,nani aliwapa kibali SISIEMU kuongoza? Uchafuzi wa 2020? ENL(M.A.P) 2015 alimtoa ngeu NZIRANKENDE ,hamjawahi kushinda kwenye BOX la kura ndiyo maana hamtaki kusikia katiba mpya wala tume huru ya uchaguzi maana ndiyo KIBLA yenu.

Mamlaka huwekwa na Mungu lakini si NINYI wezi wa kura ,nyinyi ni madikteta mnakaa mdarakani kwa nguvu ya MITUTU.
Lini ambapo CCM haijashinda uchaguzi? Ingekuwa haishindi ni vipi ingekuwa inaungwa mkono na mamilioni ya watanzania?
 
Yaani unazidi kupuyanga ,nani aliwapa kibali SISIEMU kuongoza? Uchafuzi wa 2020? ENL(M.A.P) 2015 alimtoa ngeu NZIRANKENDE ,hamjawahi kushinda kwenye BOX la kura ndiyo maana hamtaki kusikia katiba mpya wala tume huru ya uchaguzi maana ndiyo KIBLA yenu.

Mamlaka huwekwa na Mungu lakini si NINYI wezi wa kura ,nyinyi ni madikteta mnakaa mdarakani kwa nguvu ya MITUTU.
CCM wanabebwa na kafara wanazotoa kila siku
 
Mungu Hutumia watu wake kuongoza waja wake kwa kuwainua na kuwapatia kibali..Ndio maana Mungu amekuwa akituinulia watu sahihi na chama sahihi cha CCM kuliongoza Taifa letu. Mungu hajawahi kutuacha wala kutupungukia. Kama alivyowainulia Musa Na Yoshua wana islaeli.ndivyo alivyotuinulia CCM na kuipatia Kibali.
Kwahiyo Mussa unamfananisha na Chama Cha siasa?

Wewe kweli ni Mnyonge 😂😂
 
Ndugu zangu Watanzania,

Ni lazima ifike wakati tukubaliane na ukweli mchungu ya kuwa CCM ndio Moyo wa Taifa letu,ndio Mapafu ya Taifa ,ndio damu ya Taifa na ndio OKSIJENI ya Taifa letu. Hakuna amani wala utulivu wala umoja wala mshikamano wala masikilizano wala upendo wala kuzungumza lugha moja pasipo uwepo wa CCM Madarakani.

Pasipo CCM hakuna amani wala utulivu ,hakuna mipango wala Dira kwa Taifa letu,hakuna kesho iliyo njema na yenye matumaini pasipo uwepo wa CCM Madarakani. Ni CCM pekee yenye uwezo wa kuliongoza na kulivusha Taifa letu katika nyakati ngumu,ni CCM pekee yenye uwezo wa kuwaunganisha watanzania wa Dini zote,rangi zote,jinsia zote,makabila yote na wa kanda zote.ni CCM pekee yenye uwezo wa kuwaletea pamoja watu wa rika zote.

Ndio maana ndani ya CCM na serikali yake utawakuta viongozi kutoka Dini zote, makabila yote,rika zote,makundi yote,jinsia zote na wenye kila aina ya Elimu. Kila mmoja ndani ya CCM anayo nafasi sawa na mwanachama mwingine.Ndio maana unaweza kuwa kiongozi ndani ya CCM hata kama wazazi wako hawakuwa viongozi.kwa sababu kinachoangaliwa ndani ya CCM ni uwezo wa mtu kiuongozi,sifa na uwezo wa kumudu majukumu na kukubalika kwa watu.

Ni CCM pekee yenye uchungu na Maisha ya watanzania na Taifa letu kwa ujumla wake. Ni CCM pekee yenye uwezo wa kumsikiliza kila mtu,kupokea maoni na mawazo ya kila mtu, kumvumilia kila mtu pasipo kumbagua mtu. Ndio maana wapo wengine ndani ya CCM unaweza kuhisi ni wapinzani au watahamia upinzani kesho ,lakini huwezi ukaona wakifukuzwa chamani.

Ni CCM pekee yenye kujiendesha kitaasisi .tofauti na vyama vingine kama CHADEMA. ambavyo vimewekwa mifukoni mwa mtu mmoja tu aliyeamua kujimilikisha chama Utafikiri kitega uchumi cha Familia .na kwamba ni yeye tu mwenye akili kuliko wanachama wengine wote na kwamba wengine hawana akili na ni mambumbumbu wa uongozi na hawana haki ya kuongoza chama.

Embu jaribu kuangalia Ingetokea CHADEMA ipo madarakani? Unafikiri nini kingetokea? Kwanza wangewagawa sana watanzania na kuwabagua.ndio sababu ya sera yao ya Majimbo,pili wangeleta ukabila sana hapa nchini nakuona makabila fulani kutoka ukanda fulani ni bora zaidi na yenye kupaswa kupewa nafasi za juu za uongozi. na kwamba makabila mengine kutoka kanda zingine ni washamba tu wanaopaswa kuongozwa na kuamuliwa kwa kila kitu.

Wangekuwa wamelipasua na kulisambaratisha kabisa Taifa. Kusingekuwa na habari za Muungano wala Umoja wa kitaifa. Ni muhimu sana watanzania kuendelea Kuiweka CCM madarakani na kuendelea kuiamini .kwa sababu imekuwa na usikivu, unyenyekevu na kujali Maisha ya watu pamoja na kutanguliza mbele masilahi ya Taifa letu na ustawi wa wananchi.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Omba basi kiwe chama Kimoja,futa vyama vingi!Unaweweseka mkuu.
 
IMG_5563.jpeg
Simbilisi
 
Mungu Hutumia watu wake kuongoza waja wake kwa kuwainua na kuwapatia kibali..Ndio maana Mungu amekuwa akituinulia watu sahihi na chama sahihi cha CCM kuliongoza Taifa letu. Mungu hajawahi kutuacha wala kutupungukia. Kama alivyowainulia Musa Na Yoshua wana islaeli.ndivyo alivyotuinulia CCM na kuipatia Kibali.
Kama kweli CCM wangekuwa wanamtegemea Mungu usingekuwa unaandika haya mabandiko yako ya kichawa, ungekuwa umetanguliza maslai ya Taifa mbele
 
Angalia CCM imetokea wapi ndugu yangu.unafahamu ya kuwa CCM ndio TANU na Ndio ASP? CCM ndio Tanzania na Tanzania ndio CCM.huwezi kuvitenganisha.
Una kufuru na kama hujui unaitafutia CCM matatizo kwa muumba wa Mbingu na Nchi.
 
CCM inakabiliwa na changamoto kadhaa kubwa ambazo zinaweza kuathiri uwezo wake wa kuongoza na kuendeleza taifa.
Hapa kuna baadhi ya changamoto hizo:

1. Kukosekana kwa Uaminifu na Uhalali:
- Wakati mwingine, kuna hisia miongoni mwa wananchi kwamba chama hakiwawakilishi ipasavyo. Hii inaweza kupunguza uaminifu na kuathiri uhalali wake.

2. Ushindani Mkali wa Kisiasa:
- Kuongezeka kwa vyama vingine vya kisiasa na ushindani wao umekuwa changamoto, hasa katika uchaguzi. Hii inahitaji CCM kuboresha mikakati yake ili kushinda imani ya wapiga kura.

3. Masuala ya Kiuchumi:
- Uchumi wa Tanzania unakabiliwa na changamoto kama umaskini, ukosefu wa ajira, na mfumuko wa bei. CCM inahitaji mikakati imara ya kiuchumi ili kuboresha hali ya wananchi.

4. Ushughulikiaji wa Malalamiko ya Wananchi:
- Wananchi wanatarajia serikali kuwasikiliza na kutatua matatizo yao. Kukosekana kwa majibu ya haraka na sahihi kunaweza kuleta hisia za kutoridhika.

5. Ukatili wa Kijinsia na Haki za Binadamu:
- Kuna wasiwasi kuhusu haki za binadamu na ukatili, ambayo inaweza kuathiri picha ya CCM na kuleta upinzani.

6. Mabadiliko ya Teknolojia na Habari:
- Teknolojia inabadilika kwa kasi, na vyombo vya habari vya kijamii vinaweza kuathiri mtazamo wa umma kuhusu CCM. Chama kinahitaji kuwa na mikakati ya kuwasiliana na wananchi kupitia njia hizi.

7. Mabadiliko ya Tabianchi:
- Mabadiliko ya tabianchi yanayoathiri kilimo na vyanzo vya maji ni changamoto inayohitaji CCM kutunga sera zinazofaa ili kukabiliana nayo.

Hitimisho
Changamoto hizi zinahitaji CCM kuchukua hatua za haraka na makini ili kuboresha hali ya kisiasa, kiuchumi, na kijamii nchini Tanzania. Hii itasaidia kuongeza uhalali na uaminifu wa chama miongoni mwa wananchi.
 
Back
Top Bottom