Uhuru Muigai Kenyatta afungua soko la ajira na uwekezaji kwetu, sisi bado kikwazo!

Hahahaha.
 
Kenya ni sawa na unga wa mahindi
Tanzania ni sawa na unga wa ngano

Kwa iyo matumizi ya unga wa mahindi ni ugali ambao utaitaji mboga
Lakini unga wa ngano una matumizi mengi unaweza ukapika chakula chochote unachotaka na ukala bila mboga
Naikubali Tanzania sana, ambao hawajasafiri kwenda nchi za kibepari wanajua kwamba mataifa ya kibepari yana raha sana kumbe kuna karaha sanaaaa
 
kiukweli, wakenya wako vizuri kwenye customer care.....
 
Atakae kwenda Kenya kuwekeza atakuwa kapoteza pesa zake. Sehemu ambayo aina usalama hakuna Tajiri mwenye pesa ya mchezo wa kwenda kuwekeza pale. Mpaka sasa kisiasa pamekaa vibaya sana na ndio maana Bomba la mafuta walikataa lisipite kwa sababu ya usalama
 
Mkuu wakenya ni mabepari pure watatunyonya sana sisi wajamaa.
 
Na wewe kweli unachangia mada kweli,hii aibu kubwa sana wewe kuitwa mtanzania
 
 
Na wewe kweli unachangia mada kweli,hii aibu kubwa sana wewe kuitwa mtanzania
Mkuu hawa ndio wenye mawazo hasi ya unyonge unyonge tu, nachukia sana watu wanaodhani kuwa kwa kutoweza kwao basi kila mmoja hawezi.
 
Watanzania hebu tuwe tunafikiria jambo na kauli zingine hata kama tumedata na maisha ila vitu vingine tuwe na uwezo wa kuvidadavua ndio kama kenya wenyewe wanapigana kila cku ukabila na makabila hayafiki hata 20 na wewe ujitoe kwachakwacha msukuma wa chato eti unaenda kutafuta fulsa hzo fursa wenyewe hawazioni kama unataka kuwekeza na una mtaji kimekushinda kuwekeza nn tanzania wakati haikuhitaji gharama kubwa ya umiliki wa ardhi kama kenya huyo katoa fursa kwenda kugegedana mombasa na kuzaliana ila cyo kuwekeza wengi humu tunajifanya tuko vzr kumbe hamna kitu tumejificha kwenye mashina ya mipilipili hela tu ya kujengea huna hiyo ya uwekezaji ukaitoe wapi au unataka ukapange mitumba barabarani ndio fursa kama mjini kugumu rudi kijijini kuna mashamba ya ukoo kalime mbafu thana
 
Hivi wale ma dokta waliajiriwa kutoka Tanzania? Ni nini kilifanikisha kuajiriwa ama ni nini kilifanya wasiajiriwe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…