Uhusika wa waliohukumiwa kunyongwa kesi ya Lotter

Genge la mamafia wa rasilimali za pori akina kinana na majangili wengine ndani ya ccm ,trust me ,hao ndio master planners WA hayo mauaji
 
Kazi ya uana harakati wa mazingira na haki za binadamu ni risky business but worth doing ,dah ,huyo mzungu alikuwa mwiba hasa kwa hao mamafia wa rasilimali za pori ,ameokoa tembo na faru wengi sana kutokana na harakati zake
 
Wapelekwe gereji mbona watasema tu waliowatuma ? , Au zile gereji za torture zipo kwa ajili ya kuwashughulikia Chadema tu ?
 
mkuu mbona kama unafahamu hili sekeseke vizuri. au kuna wakubwa unajaribu kuwakingia kifua?
 
Hii dunia sometyme inabidi uwe mjinga ili uishi kwa amani. Just assume mtu anayejifanya ndo msimamizi wa maliasili/mali kumbe yeye ndo jambazi kuu. Na ukijaribu kuongea tu unawekwa kwny kiroba.

Mfano hyo issue ya mexico, hapa bongo kuna issue kibao kama hzo, na ukijaribu kuongea, mafionzo watakupa kila aina ya kesi mpaka upauke. Refer:erick kabendera, mwangosi, dokta ulimboka, ben saanane.
 
Kila siku hua nasema wahalifu wa Tanzania ni wapumbavu na hawana akili hauwezi kuset crime kishamba namna hiyo usikamatwe, halafu mauaji unapangia kwenye simu? Halafu mauaji mnapanga kijiji kizima watu zaidi ya 20 mnapanga mauaji utarajie utachomoka? Wahalifu smart hawawezi kukuachia Alama kizembe, hua hawaoni hata kagame anavowafanya wasaliti wake?
 
Napata Picha kwamba mzungu kutoka mashariki ya mbali amekuja bongo na kuitetea hili taifa dhaifu,wahusika wenyewe ambao ni dhaifu wana andaa mchongo wa kumuua ili aache kulitetea taifa dhaifu...mnataka mungu atupe kitu gani ss watanzania??? [emoji850][emoji850][emoji850],

Hii ni aibu sana tena sana usikute ni viongozi wachache tu hapo juu ambao umri wao upo karibuni kuwatupa mkono.
 
Muhimu ni kujiepusha na makundi ya wanaopenda fedha kwa njia haramu na kwa haraka. Bahati mbaya baadhi ya watu kwa miaka hii wamekuwa '' money mongers'' wakupitiliza.
 
Hivi unadhani bado yupo huko gerezani? Sijui lakini hebu jaribu kuulizia yuko wapi kama utaambiwa.

Unakumbuka yale makubaliano baina ya rais wa China na Tanzania hivi karibuni wakati tulipopewa mkopo?
Malikia wa pembe za Ndovu kwa taarifa za Chini chini alishaachiwa yuko jiji la Hong kong Uchina kwao.
 
Halafu kila mmoja atatoka kwa urefu wa pesa yake...
hawa watakuja kutoka tu nadhani kuna watu walishindwa kuweka mambo sawa kati ya wale 22 ambao dpp 11 aliwafutia mashtaka.

wengine hapo sio wahusika Mtu Kama Machpis ni mishen Town ati leo anakuwa mtuhumiwa namba moja kesi ya Mauaj tena mzungui!!!!! kuna kitu Behind scene. hii misheni ni kubwa sana.

nilishtushwa zaidi magazeti yote front page kuandika kwa Maandishi makubwa "11 kunyongwa hukumu ya historia"
 
hakuna anae nyongwa hapo. usihadaike.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…