Uingereza kuwa na Mawaziri watatu wenye asili ya Afrika ambao wataongoza Wizara nyeti za nchi hiyo, Fedha, Mambo ya Nje na Mambo ya Ndani

Uingereza kuwa na Mawaziri watatu wenye asili ya Afrika ambao wataongoza Wizara nyeti za nchi hiyo, Fedha, Mambo ya Nje na Mambo ya Ndani

Hatimae waziri wa fedha Kwasi Kwarteng ametolewa mbuzi wa kafara na amejiuzulu mchana huu.

Kwarteng ameshika nafasi hiyo kwa wiki tano tu.

Hakika imekuwa ni vigumu sana waingereza kumpa nafasi mtu mweuzi kuongoza moja ya nafasi nyeti za serikali ya nchi hiyo.
 
Back
Top Bottom