Uingereza kuwa na Mawaziri watatu wenye asili ya Afrika ambao wataongoza Wizara nyeti za nchi hiyo, Fedha, Mambo ya Nje na Mambo ya Ndani

Uingereza kuwa na Mawaziri watatu wenye asili ya Afrika ambao wataongoza Wizara nyeti za nchi hiyo, Fedha, Mambo ya Nje na Mambo ya Ndani

Diaspora kutoka Tanzania mbona wako nyuma kwenye kila jambo michezo hawapo, siasa hawapo, kwenye science hawapo yaani wapo wapo tu
Wanaume wanatoboa masikio saa ngapi watajishughulisha na siasa.
 
Hii inawezekana katika nchi za magharibi tu ambako ndiko mtu mweusi anaweza akapewa wadhifa kama huo.

Kwenye maeneo mengine kama mashariki ya kati, Asia au Ulaya mashariki ikiwemo Russia mtu mweusi hatofautishwi na nyani na hawezi kuruhusiwa hata kuajiriwa kuosha choo cha stendi.
 
Watanzania waliokuwa wakienda nje kusoma hawabaki huko, wanadunduliza wananunua vifiat/renault au akijitahidi Peugeot halafu wanarudi nyumbani kutanua. Wenzao walikuwa wanaamia kabisa
sera za nchi zilikuwa hazisupport mtanzania kuishi au kufanya kazi nje ya mipaka ya nchi yake, baba zangu wadogo wawili kwa vipindi tofauti walipata kazi za uhadhiri US Serikali ya mwalimu iliwagomea kabisa na wakarudi. Hii ilikuwa ni kutokana na upungufu wa wasomi wakati huo. Huko tuendaka watanzania tutang'ara sana huko nje
 
Waziri mkuu mpya wa Uingereza bi Liz Truss jioni hii ameanza kuunda baraza lake la mawaziri na bwana Kwasi Kwateng ameteuliwa kuwa waziri wa Fedha huku bwana James Cleverly akichukua nafasi ya uwaziri wa mambo ya nje.

Bi Suela Braverman ameteuliwa kuwa waziri wa mambo ya ndani kuchukua nafasi ya bi Priti Patel ambae alijiuzulu jana.

Kabla ya teuzi hizo bwana Kwateng alikuwa ni waziri wa masuala ya biashara, nishati na viwanda, bwana Cleverly akiwa waziri wa Elimu wizara ambayo ameisimamia tangu mwezi July mwaka huu. Bi Braverman aliwahi kuwa mwanasheria mkuu wa serikali

Hizi wizara tatu muhimu nchini Uingereza kwa mara ya kwanza katika historia ya nchi hio zimepewa raia wa Uingereza ambao wana asili ya Afrika na wazazi wao wakiwa wahamiaji. Bwana Kwateng- wazazi wote wawili wakitokea Ghana, bwana Cleverly (mama) akitokea Sierra Leone na bi Suela baba yake alitokea Kenya na mama akitokea Mauritius.

Kwasi Kwarteng

Waziri mpya wa Fedha wa Uingereza bwana Kwasi Kwateng. Chanzo cha picha -Getty Images.

View attachment 2348142
Waziri mpya wa mambo ya nje bwana James Cleverly- Chanzo cha picha PA wire

LONDON, UNITED KINGDOM - JULY 12: Suella Braverman, the Attorney General for England and Wales and the Advocate General for Northern Ireland, leaves Downing Street after attending the weekly cabinet meeting in London, United Kingdom on July 12, 2022. (Photo by Rasid Necati Aslim/Anadolu Agency via Getty Images)

Waziri mpya wa mambo ya ndani Bi Sue-Ellen Cassiana (Suela) Braverman.

Waziri mkuu bi Liz Truss bado aendelea kupanga baraza lake jipya la mawaziri ambao wengi ni wale alokuwa wakimuunga mkono katika katika kampeni yake ya kuwania nafasi hiyo ndani ya chama cha wahafidhina.
Huku Tz bado tunapinga uraia pacha eti watu wasiokuwa wazalendo watakuwa viongozi.
 
Waziri mkuu mpya wa Uingereza bi Liz Truss jioni hii ameanza kuunda baraza lake la mawaziri na bwana Kwasi Kwateng ameteuliwa kuwa waziri wa Fedha huku bwana James Cleverly akichukua nafasi ya uwaziri wa mambo ya nje.

Bi Suela Braverman ameteuliwa kuwa waziri wa mambo ya ndani kuchukua nafasi ya bi Priti Patel ambae alijiuzulu jana.

Kabla ya teuzi hizo bwana Kwateng alikuwa ni waziri wa masuala ya biashara, nishati na viwanda, bwana Cleverly akiwa waziri wa Elimu wizara ambayo ameisimamia tangu mwezi July mwaka huu. Bi Braverman aliwahi kuwa mwanasheria mkuu wa serikali

Hizi wizara tatu muhimu nchini Uingereza kwa mara ya kwanza katika historia ya nchi hio zimepewa raia wa Uingereza ambao wana asili ya Afrika na wazazi wao wakiwa wahamiaji. Bwana Kwateng- wazazi wote wawili wakitokea Ghana, bwana Cleverly (mama) akitokea Sierra Leone na bi Suela baba yake alitokea Kenya na mama akitokea Mauritius.

Kwasi Kwarteng

Waziri mpya wa Fedha wa Uingereza bwana Kwasi Kwateng. Chanzo cha picha -Getty Images.

View attachment 2348142
Waziri mpya wa mambo ya nje bwana James Cleverly- Chanzo cha picha PA wire

LONDON, UNITED KINGDOM - JULY 12: Suella Braverman, the Attorney General for England and Wales and the Advocate General for Northern Ireland, leaves Downing Street after attending the weekly cabinet meeting in London, United Kingdom on July 12, 2022. (Photo by Rasid Necati Aslim/Anadolu Agency via Getty Images)

Waziri mpya wa mambo ya ndani Bi Sue-Ellen Cassiana (Suela) Braverman.

Waziri mkuu bi Liz Truss bado aendelea kupanga baraza lake jipya la mawaziri ambao wengi ni wale alokuwa wakimuunga mkono katika katika kampeni yake ya kuwania nafasi hiyo ndani ya chama cha wahafidhina.
Miafrika ndivyo ilivyo.

Yaani hao wainhereza wana impact gani na Afrika yetu?

Shida zetu zipo palepale
 
Hii inawezekana katika nchi za magharibi tu ambako ndiko mtu mweusi anaweza akapewa wadhifa kama huo.

Kwenye maeneo mengine kama mashariki ya kati, Asia au Ulaya mashariki ikiwemo Russia mtu mweusi hatofautishwi na nyani na hawezi kuruhusiwa hata kuajiriwa kuosha choo cha stendi.
Hapana sio kweli.
 
Ule mpango wa Diaspora kujenga daraja la Dar-Zanzibar ulifia wapi??
 
Kweli mkuu, yaani ujamaa umefanya watanzania kuwa kama wamezibaa hivi.
WATANZANIA NA WAAFRIKA wote jamii yenye ngozi nyeusi hawana akili timamu hata kidogo msisingizie ujamaa sisi watu wenye ngozi nyeusi hatuna akili timamu hata kidogo [ mazezeta ] wala msiutupie mzigo ujamaa kwa ujinga na upumbavu wenu mpaka leo Karne ya 21 hamjitambui halafu mnasema ujamaa umewaathiri mbona huo ujamaa hauja waathiri China ?
 
Ni mchezo wa kisiasa wanafanya ili kuupumbaza Ulimwengu-kuficha aibu waliyoipata ya kumnyanyapaa Rishi Sunak.
Ukweli ni kuwa Rushi Sunak ndio aliye stahili kuwa P.M na amemzidi kiuwezo Liz Truss; ubaguzi dhidi ya rangi yake imesababisha yeye kutokuwa M.P
 
Back
Top Bottom