Uingereza: Waziri Mkuu Liz Truss ajiuzulu baada ya siku 45 madarakani

Uingereza: Waziri Mkuu Liz Truss ajiuzulu baada ya siku 45 madarakani

kamaliza 40 ya msiba wa malkia then kasepa.
 
Waziri Mkuu wa Uingereza, Liz Truss ametangaza kujiuzulu nafasi yake

Liz Truss alichukua madaraka kutoka kwa Boris Johnson tarehe 05/09/2022

View attachment 2392829

Liz Truss amechukua hatua hiyo baada ya baadhi ya mawaziri na wabunge wa chama chake cha Conservative kusema kuwa hawaridhishwi na kazi yake na kumtaka ajiuzulu.

----

Liz Truss resigns as prime minister

Liz Truss has resigned as prime minister and will step down after a week-long emergency contest to find her successor, she has announced outside Downing Street.

It follows a turbulent 45 days in office during which Truss’s mini-budget crashed the markets, she lost two key ministers and shed the confidence of almost all her own MPs.

Her statement came after she met Graham Brady, the chair of the 1922 Committee of backbench Tory MPs at Downing Street, followed by her deputy PM, Thérèse Coffey, and the party chair, Jake Berry.

Truss said she had entered office with “a vision for a low-tax, high-growth economy that would take advantage of the freedoms of Brexit”.

She went on: “I recognise that, given the situation, I cannot deliver the mandate on which I was elected by the Conservative party. I have therefore spoken to His Majesty the King to notify him that I am resigning as leader of the Conservative party.

“This morning I met the chairman of the 1922 Committee, Sir Graham Brady. We’ve agreed that there will be a leadership election to be completed within the next week. This will ensure that we remain on behalf to deliver our fiscal plans and maintain our country’s economic stability and national security. I will remain as prime minister until a successor has been chosen.”

Chanzo: The Guardian
safi naenda kuishi huko ambako wabunge na mawaziri wanaweza kupiga kura ya kutokuwa na imani na mtu anajihudhuru,si hapa uwoga tu na kujipendekeza ndiyo miongoni mwa sababu tunachelewa kuendelea.
 
safi naenda kuishi huko ambako wabunge na mawaziri wanaweza kupiga kura ya kutokuwa na imani na mtu anajihudhuru,si hapa uwoga tu na kujipendekeza ndiyo miongoni mwa sababu tunachelewa kuendelea.
Njaa mbaya baba
Walimuita Mungu nae akajiita Malaika
Hela zinakufanya ukufuru

Karibu sana haha
 
Hakuna cha demokrasia wala uwajibikaji hapo, kama mawaziri wakuu wanajiuzulu kwa kutomaliza mihula,hilo ni tatizo siyo demokrasia. Ni udhaifu katika uandaaji wa viongozi
Kwa ajili yako unadhani viongozi wanakuwa 100%? Wewe ukiwa Waziri utakuwa sahihi kwa asilimia Mia? Kama hapana then ukifanya Jambo ambalo taratibu mliojiwekea inakataza unatakiwa kuwajibika...simple and clear.

Siyo sisi mpaka unamsikia DED anashutumiwa kuua huko kanisani lakini bado yupo kazini, sijui anaongoza akina Nani.
 
Kwa ajili yako unadhani viongozi wanakuwa 100%? Wewe ukiwa Waziri utakuwa sahihi kwa asilimia Mia? Kama hapana then ukifanya Jambo ambalo taratibu mliojiwekea inakataza unatakiwa kuwajibika...simple and clear.

Siyo sisi mpaka unamsikia DED anashutumiwa kuua huko kanisani lakini bado yupo kazini, sijui anaongoza akina Nani.
Ni kweli,lakini ninaamini uongozi ni kusimamia sera ili kufikia malengo mliyojiwekea kwa kufuata katiba(kanuni,miongozo na taratibu).
WAZIRI MKUU,wa Uingereza anapigiwa kura.Sasa inakuwaje mnapoteza muda au kukosa maono ya ku chagua mtu sahihi wa kusimamia sera zenu?

Ndio maana nasema mifumo yao haina umakini au mibovu.
Huku kwetu sitaki kuzungumzia sana kwa sababu hata neno DEMOKRASIA halieleweki,neno KIONGOZI bado shida.

ILA tunawakosoa hawa kwa sababu ndio vimbelembele kukosoa wenzao huku wao wakijiona wako sahihi kwa kila jambo!
 
Warusi wa kwa mtogole bwanaaa, mmejaza funza kichwani...
Unajisikiaje kutukana alichokiumba Mungu kuwa kimejaza funza kichwani? Inauma kuona vijana wa kitanzania wakikosa uvumilivu wa hoja badala yake hutumia matusi yanayodhalilisha utu na uumbaji.
Sijui Moderators wanafanya nini kurekebisha hali hii. Platform za wenzetu huko nje huwezi kukuta matusi kama haya. Ikitokea comment kama hii hufutwa haraka sana.
 
Boris Johnson anazidi kujizolea hadharani uungwaji mkono wa wabunge wa Conservative ili kurejea kwenye uwaziri mkuu.
Sunak ameishapata watu 100 hebu tusubiri mpambano
Ila wazee wengi hawamtaki Boris na wengine wamesema watajiuzulu kama Bojo atarudi madarakani
Wengine hawamtaki Sunak simply because his brown huo ukweli wameusema na ndio maana walimpa Liz Truss wakijua hawezi kazi
 
Watoto wa wauza watu.....hawata kaa salama!.....damu takatifu ya wana somalia. kenya, Liberia, Nigeria,Haiti,Australia, msumbiji,DRC nk....haitawaacha salama ndo inawatafuna ivo...mbona huo mwanzo tuu. Ombeni msife haraka.... mshuhudie mengi mnooo! !Kwanza vizalio vimeziba. hawazai...wanazidi kwisha.pigo la kwanza hilo sasa hili ni la pili......yakifika saba kwisha thamani yao........subirini tu mtanikumbuka....km mkiweza nendeni muwahi.mijengo.na viwanja vya downing street!
 
Watoto wa wauza watu.....hawata kaa salama!.....damu takatifu ya wana somalia. kenya, Liberia, Nigeria,Haiti,Australia, msumbiji,DRC nk....haitawaacha salama ndo inawatafuna ivo...mbona huo mwanzo tuu. Ombeni msife haraka.... mshuhudie mengi mnooo! !Kwanza vizalio vimeziba. hawazai...wanazidi kwisha.pigo la kwanza hilo sasa hili ni la pili......yakifika saba kwisha thamani yao........subirini tu mtanikumbuka....km mkiweza nendeni muwahi.mijengo.na viwanja vya downing street!
Acha bangi.
 
Lala ukiamka umeshaliwa
aliwe wapi anakiburiiii huyo???...utakula mtu ana kiburi ivo..hebu piga picha ulete mrejesho....!@@ kwani weye ndo miss zomboko?? Mna fananaaa!!! Heee! Au mdogo wako mwaya!
 
Acha bangi.
Lazima utakuwa na damu yao wewe!! Si bure avatar tu yaonyesha......unajua nyie rahisi sanaa kuwajua......ajabu sasa wao hao....hawa wapendi km nini!!!...tulieni huku kwa babu zenu weusi.....hamtaki...mnatuona Bangi..tutawaache muende muumie.....make hamsikiii!
 
Back
Top Bottom