Mjuni Lwambo
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 11,133
- 12,361
Hiyo ndio Uingereza, siyo Russia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwetu si tuna akili kama za akina Putin ndio maana tunashabikia. Mtu anaenda madarakani kujilimbikizia mali na familia yake kama Museven na mwanaye Kainerugaba.Huku kwetu haitakaa itokee. Aingie kwenye ''ulaji'' kabla hajala akubali kuondoka? Labda afe!
Hata sijui ulichomaanisha ila sawa mkuu.Siyo kusuta. Kusuta kwa maana ya uswazi siyo huku.
Huku kwetu lijitu linasubiri hadi litumbuliwe.Huko Wana akili timamu sio huku
Unaweza kuwataja Waziri wakuu wa Uingereza waliomaliza miula yao ya uongozi pasi na kujiuzulu? Au kiongozi wa Uingereza kujiuzulu kwa maslahi ya nchi yake inahusika vipi na Vita ya Ukreine na Russia?Huwezi kufikiria hata kidogo?huyo waziri mkuu kwashindwa kuja na mipango ya maana kusaidia uchumi wao unaoyumba Kwa Sababu ya hii vita.sasa ili maafa yasiendelee waache Putin ashinde na waongee naye amalize vita.maana Putin lazima ashinde.
Wabongo huwa tunaangalia effects ,za ushoga tuKujitambua na demokrasia
Sasa kwa taarifa yako hiyo siyo ishara ya utimamu. Ni dalili za disfunctional political system. Ni vile tu kwamba washajijengea jina kubwa na historia kama british empire na nyie mnaona kila ujinga wao ni ustaarabu kwenu.
Hivi huyu Maghayo ndiyo yule aliwahi kuhonga sh 7528 au nimechanganya?Kaka Maghayo hujambo
Liz truss ameresign baada ya economic plan yake kuporomosha thamani ya sterling pound , mrusi anahusikaje hapo?Waongee na Putin Tu wayamalize. Hii vita itawang'oa wengi bado France
Pole, bado hujafikia weledi wa kuelewa haya, CCM wanakupenda sana na wanatakauendelee kuwa hivyohivyo mnyonge"...Huu sasa ni ujinga,hii siyo democrasia.watajiuzulu wangp?
Jana kulikuwa na Fracking vote je wanajua kilichotokea?Nyinyi mbulula , hivi mnajua hata ni sababu gani imemfanya ajiuzuru...au mnashoboka na putini kwa jinsi ya ufinyu wa kuelewa siasa za UK...
Hakuna cha demokrasia wala uwajibikaji hapo, kama mawaziri wakuu wanajiuzulu kwa kutomaliza mihula,hilo ni tatizo siyo demokrasia. Ni udhaifu katika uandaaji wa viongoziUnaweza kuwataja Waziri wakuu wa Uingereza waliomaliza miula yao ya uongozi pasi na kujiuzulu? Au kiongozi wa Uingereza kujiuzulu kwa maslahi ya nchi yake inahusika vipi na Vita ya Ukreine na Russia?
Borison na Magreth walijuliuzulu kwasababu Putin?
Badala ya kuombea viongozi wako waige Tania ya kuwajibika pale wanaposhindwa kusimamia sera nzuri ya kuleta maendeleo kwa wananchi wewe unashangilia mambo ya Putin utafikiri mkewe. Vitu vingine ni kujiabisha tu...kabla ya Vita nchi zilizostaraabika viongozi wake walikua wanawajibika.
Kumekucha! Kumekucha! Kumekuuuucha!Waziri Mkuu wa Uingereza, Liz Truss ametangaza kujiuzulu nafasi yake
Liz Truss alichukua madaraka kutoka kwa Boris Johnson tarehe 05/09/2022
View attachment 2392829
Liz Truss amechukua hatua hiyo baada ya baadhi ya mawaziri na wabunge wa chama chake cha Conservative kusema kuwa hawaridhishwi na kazi yake na kumtaka ajiuzulu.
----
Liz Truss resigns as prime minister
Liz Truss has resigned as prime minister and will step down after a week-long emergency contest to find her successor, she has announced outside Downing Street.
It follows a turbulent 45 days in office during which Truss’s mini-budget crashed the markets, she lost two key ministers and shed the confidence of almost all her own MPs.
Her statement came after she met Graham Brady, the chair of the 1922 Committee of backbench Tory MPs at Downing Street, followed by her deputy PM, Thérèse Coffey, and the party chair, Jake Berry.
Truss said she had entered office with “a vision for a low-tax, high-growth economy that would take advantage of the freedoms of Brexit”.
She went on: “I recognise that, given the situation, I cannot deliver the mandate on which I was elected by the Conservative party. I have therefore spoken to His Majesty the King to notify him that I am resigning as leader of the Conservative party.
“This morning I met the chairman of the 1922 Committee, Sir Graham Brady. We’ve agreed that there will be a leadership election to be completed within the next week. This will ensure that we remain on behalf to deliver our fiscal plans and maintain our country’s economic stability and national security. I will remain as prime minister until a successor has been chosen.”
Chanzo: The Guardian
Viongozi wa CCM wameandaliwa vizuri kwa ajili yako mnyonge ili wakuminye na tozo na kodi kibao, na wanakupenda sana...Hakuna cha demokrasia wala uwajibikaji hapo, kama mawaziri wakuu wanajiuzulu kwa kutomaliza mihula,hilo ni tatizo siyo demokrasia. Ni udhaifu katika uandaaji wa viongozi
Hali ya maisha ndio inafanya iwe hivyo watu wanataka mtu mwenye nguvu ya kutuvusha hapaHuu sasa ni ujinga,hii siyo democrasia.watajiuzulu wangp?