Uingereza: Waziri Mkuu Liz Truss ajiuzulu baada ya siku 45 madarakani

Uingereza: Waziri Mkuu Liz Truss ajiuzulu baada ya siku 45 madarakani

Walijua watamvuruga Putin kumbe wanajivuruga wao wenyewe, watu wanafurahia pale Ukraine wakiachiwa vipande vya ardhi hawajui bwana Putin anacheza hili game ndani na nje ya uwanja tena acha hii vita iendelee kua ndefu ili wavurugane vizuri mabeberu, hadi beberu mkuu akatolewe kamasi..........Ulaya wakija kuamka wataacha kumuendekeza Mmarekani na kuanza kufatilia maslahi yao na wananchi wao,,,,,huku kwingine mfaransa na mjerumani wameshanunianaView attachment 2392795View attachment 2392796
Na bado simmekubalikuburuzwa na Beberu mkuu,pambaneni na hali yenu🥱
 
Bora hiyo kuliko kutawaliwa na mtu au chama kimoja kwa nusu karne
Sasa kwa taarifa yako hiyo siyo ishara ya utimamu. Ni dalili za disfunctional political system. Ni vile tu kwamba washajijengea jina kubwa na historia kama british empire na nyie mnaona kila ujinga wao ni ustaarabu kwenu.
 
Vilaza wengi hawaelewi hili
Kweli kabisa. Unajua ni kwa nini wanapenda madaraka? Kwa sababu kuwa kwenye madaraka kwa mwafrika ni kutumbua maisha. Ingekuwa wanawajibika ipasavyo wasingeng'ang'ania kwani kazi yoyote huchosha.
 
Endelea kubaki na akili zako za kidikteta za kiputin, utaendelea kubaki nyuma gizani daima ukiyashangilia madikteta
Walijua watamvuruga Putin kumbe wanajivuruga wao wenyewe, watu wanafurahia pale Ukraine wakiachiwa vipande vya ardhi hawajui bwana Putin anacheza hili game ndani na nje ya uwanja tena acha hii vita iendelee kua ndefu ili wavurugane vizuri mabeberu, hadi beberu mkuu akatolewe kamasi..........Ulaya wakija kuamka wataacha kumuendekeza Mmarekani na kuanza kufatilia maslahi yao na wananchi wao,,,,,huku kwingine mfaransa na mjerumani wameshanunianaView attachment 2392795View attachment 2392796
 
Sio rahisi dikteta Putin atolewe madarakani na raia wake wa kawaida, amejifanya Rais wa milele kwa nguvu ya dola.
Itahitaji jeshi, Oligarchs au FSB wamuondoe au afie madarakani.
Nikikumbukaga wale walokua wanasema Putin atatolewa madarakani na raia wake sasa yamekua kwao wenyewe.
 
Sawa, ila aina hii ya siasa ukiileta bongo mtashangaa mtakavyokuwa kama Somalia. Niamini stability ni kitu cha muhimu sana. Hao wangereza wanaafford kujiuzulu na kubadilishana kiholela hivyo kwa sababu kuna mifumo mingine inayowabeba.
Na sisi tutengeneze mifumo ya aina hiyo badala ya kutegemea watu tu.
 
Aliingia madarakani ili amzike malkia, amemaliza kazi yake anaachia madaraka.
 
Umekaa bara la gizani mpaka akili zimefubaa katika suala la demokrasia na uwajibikaji.
Inasikitisha sana.
Naona Putin amewavuruga kweli kweli! Ni mchana tu wa leo nilimsikia kupitia DW akiapa kutojiuzulu!
 
Back
Top Bottom