Uingereza: Waziri Mkuu Liz Truss ajiuzulu baada ya siku 45 madarakani

Uingereza: Waziri Mkuu Liz Truss ajiuzulu baada ya siku 45 madarakani

Vilaza hawawezi kukuelewa
Kikubwa tujifunze huku kwetu uwajibikaji , Viongozi hasa Ministers wanachukua hatua gani, pale mambo yanapowazidi kichwa?. Kule swala la Tozo lingemuondoa mtu..huku kwetu ndy kwanza mtu akilalamikiwa ndy kitambi huongezeka.
 
Waziri Mkuu wa Uingereza, Liz Truss ametangaza kujiuzulu nafasi yake

Liz Truss alichukua madaraka kutoka kwa Boris Johnson tarehe 05/09/2022

View attachment 2392829

Liz Truss amechukua hatua hiyo baada ya baadhi ya mawaziri na wabunge wa chama chake cha Conservative kusema kuwa hawaridhishwi na kazi yake na kumtaka ajiuzulu.

----

Liz Truss resigns as prime minister

Liz Truss has resigned as prime minister and will step down after a week-long emergency contest to find her successor, she has announced outside Downing Street.

It follows a turbulent 45 days in office during which Truss’s mini-budget crashed the markets, she lost two key ministers and shed the confidence of almost all her own MPs.

Her statement came after she met Graham Brady, the chair of the 1922 Committee of backbench Tory MPs at Downing Street, followed by her deputy PM, Thérèse Coffey, and the party chair, Jake Berry.

Truss said she had entered office with “a vision for a low-tax, high-growth economy that would take advantage of the freedoms of Brexit”.

She went on: “I recognise that, given the situation, I cannot deliver the mandate on which I was elected by the Conservative party. I have therefore spoken to His Majesty the King to notify him that I am resigning as leader of the Conservative party.

“This morning I met the chairman of the 1922 Committee, Sir Graham Brady. We’ve agreed that there will be a leadership election to be completed within the next week. This will ensure that we remain on behalf to deliver our fiscal plans and maintain our country’s economic stability and national security. I will remain as prime minister until a successor has been chosen.”

Chanzo: The Guardian
kwa hiyo naye anahesabiwa ni mstaafu na anakula pension ya PM mpka kufa kama ilivyo bongo?
 
Kuna movie moja inaitwa 'Wrong turn 'ni balaa hii movie.. hawa ndugu waende tu kwa Putin wakaongee awaonyeshe njia sahihi ya kutoka hapo walipo wasione aibu.
 
Kama wanajitambua ilikuaje wakamchagua kiongozi na baada ya siku 45 tu anajiuzuru? Walibahatisha bila kumjua kwa kina mtu walio mchagua?
 
Mbona huku Kiongozi anaambiwa kabisa hii ni kashfa na umepwaya kwenye nyadhifa hii
Jiuzuru
Ila bado anakatalia madarakani?
si tuige mfano wa hao UK?
Japo nao wana mapungufu yao ila katika hili wapo vizuri sana!
 
Toa utumbo wak hapa inahusianaje mambo haya na putin, putin mwenyew taaban hana jeshi hana silaha anakodi silaha kutoka Iran ata mwaka vita haijafika kajichokea nafsi yake
Kwa hili povu dawa inafanya kazi
 
Endelea kubaki na akili zako za kidikteta za kiputin, utaendelea kubaki nyuma gizani daima ukiyashangilia madikteta
Kamua baba kamua babaaa
images.jpeg-39.jpg
IMG_20220302_115525_094.jpg
 
Sisi huku tz nchi inapekwapelekwa tu bila dira na hakuna anayejiuzulu zaidi ya kusifiwa tu na wapampe
 
Sasa kwa taarifa yako hiyo siyo ishara ya utimamu. Ni dalili za disfunctional political system. Ni vile tu kwamba washajijengea jina kubwa na historia kama british empire na nyie mnaona kila ujinga wao ni ustaarabu kwenu.
Illiterates kama nyie ndio mnaofurahiwa na CCM, na ndio maana mnakanyagwa , mnakula virungu, na tozo juu kwa sababu wanajua kuna mang.ombe wengi wa kuswagwa na kuingizwa kwenye zizi na fimbo juu.
Na hata wakiboronga vipi hawatoki na hamna cha kuwafanya...ndio tunaitwa nchi za dunia ya tatu, wakati hata hakuna nchi za dunia ya pili kwa jinsi ya idadi kubwa ya kuwa na mbululu wa kuchezewa akili kila siku..
 
Kujitambua ndo viongozi wao wanajiuzulu kila siku?

RUSSIA kamatia hapo hapo

Wapi mk254 aje kwahuku aone putin effect inavyowafagia

Nikikumbukaga wale walokua wanasema Putin atatolewa madarakani na raia wake sasa yamekua kwao wenyewe.
Nyinyi mbulula , hivi mnajua hata ni sababu gani imemfanya ajiuzuru...au mnashoboka na putini kwa jinsi ya ufinyu wa kuelewa siasa za UK...
 
Back
Top Bottom