Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
"Kuandaa" viongozi ni tabia na mfumo wa Kikomunisti.
Hakuna cha demokrasia wala uwajibikaji hapo, kama mawaziri wakuu wanajiuzulu kwa kutomaliza mihula,hilo ni tatizo siyo demokrasia. Ni udhaifu katika uandaaji wa viongozi