Uingereza: Waziri Mkuu Liz Truss ajiuzulu baada ya siku 45 madarakani

Uingereza: Waziri Mkuu Liz Truss ajiuzulu baada ya siku 45 madarakani

Waziri Mkuu wa Uingereza, Liz Truss ametangaza kujiuzulu nafasi yake

Liz Truss alichukua madaraka kutoka kwa Boris Johnson tarehe 05/09/2022

Liz Truss amechukua hatua hiyo baada ya baadhi ya mawaziri na wabunge wa chama chake cha Conservative kusema kuwa hawaridhishwi na kazi yake na kumtaka ajiuzulu.

---
Liz Truss is to issue a statement resigning as prime minister after just 45 days, following the near-complete evaporation of her political authority, a process begun by last month’s disastrous mini-budget. “It’s over,” a source said.

Truss, who would become the shortest-serving prime minister in UK history, has been under pressure from Tory MPs to quit after the resignation of Suella Braverman as home secretary and as the Tory party plunged into chaos.

It is unclear whether she will step down immediately or set out a timetable for departure, with the Conservative party so far unable to coalesce around a successor, although Rishi Sunak, Jeremy Hunt, Penny Mordaunt and Ben Wallace have all been mentioned as possible successors.

The final straw for many Tory MPs appeared to be the chaotic scenes on Wednesday, in which a vote on a Labour motion over fracking saw mayhem in the voting lobbies, with shouting and jostling. Afterwards, a dozen or more Conservative MPs who rebelled did not even know whether they still had the whip.

This came just five days after Truss sacked her chancellor, Kwasi Kwarteng, replacing him with Jeremy Hunt, the former foreign secretary and health secretary.

Truss made Kwarteng take the blame for September’s mini-budget, despite it being widely seen as a joint project. A panicked market reaction to the £45bn of largely unfunded tax cuts caused the pound to slump and the cost of new government debt to soar.

Truss, facing a mutiny by her MPs as mortgage costs rocketed, sacked Kwarteng but was unable to explain why she should stay on when the tax-cutting measures had been strongly advocated by her as well.

Another humiliation came when Hunt announced the scrapping of almost all the tax cuts, and the scaling back of Truss’s flagship scheme to cap energy bills, in an attempt to restore stability.

Source: Liz Truss to quit as prime minister
Wapi mk254 aje kwahuku aone putin effect inavyowafagia
 
Walijua watamvuruga Putin kumbe wanajivuruga wao wenyewe, watu wanafurahia pale Ukraine wakiachiwa vipande vya ardhi hawajui bwana Putin anacheza hili game ndani na nje ya uwanja tena acha hii vita iendelee kua ndefu ili wavurugane vizuri mabeberu, hadi beberu mkuu akatolewe kamasi..........Ulaya wakija kuamka wataacha kumuendekeza Mmarekani na kuanza kufatilia maslahi yao na wananchi wao,,,,,huku kwingine mfaransa na mjerumani wameshanuniana
Screenshot_20221020-154813_RT News.jpg
Screenshot_20221020-155442_RT News.jpg
 
Back
Top Bottom