wailer hov
JF-Expert Member
- Aug 30, 2018
- 286
- 409
Huyo jamaa tumemwambia leo asbh na kuna mengi yanakuja, wasipochukua hatua kama Schofz wa German atafata MacronWapi mk254 aje kwahuku aone putin effect inavyowafagia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo jamaa tumemwambia leo asbh na kuna mengi yanakuja, wasipochukua hatua kama Schofz wa German atafata MacronWapi mk254 aje kwahuku aone putin effect inavyowafagia
@zimemerman njoo hapa maana umekoment utaga nami siwezi kukujibu...jibu hili hukuKweli kabisa. Unajua ni kwa nini wanapenda madaraka? Kwa sababu kuwa kwenye madaraka kwa mwafrika ni kutumbua maisha. Ingekuwa wanawajibika ipasavyo wasingeng'ang'ania kwani kazi yoyote huchosha.
ajiuzuru huyo? Bdo ataludi na kwenye uchaguz agombee.Mama Kibonge atajiuzuru lini nafasi yake?
Ndio Nani uyo?umeshalewaBuiden anafuatia kujiuzulu soon
Mimi sikupingi ila uwezo wako was kufikiri umekomea hapoSasa kwa taarifa yako hiyo siyo ishara ya utimamu. Ni dalili za disfunctional political system. Ni vile tu kwamba washajijengea jina kubwa na historia kama british empire na nyie mnaona kila ujinga wao ni ustaarabu kwenu.
Na hili ndio suluhisho pekee kwa utulivu wa ulaya.Waongee na Putin Tu wayamalize. Hii vita itawang'oa wengi bado France
Sawa, ila aina hii ya siasa ukiileta bongo mtashangaa mtakavyokuwa kama Somalia. Niamini stability ni kitu cha muhimu sana. Hao wangereza wanaafford kujiuzulu na kubadilishana kiholela hivyo kwa sababu kuna mifumo mingine inayowabeba.Mimi sikupingi ila uwezo wako was kufikiri umekomea hapo
ThubutuMama Kibonge atajiuzuru lini nafasi yake?
Kaka Maghayo hujambo
Huko ndiko kuheshimu dhamana uliopewa, unakubali pale kazi inapokushinda kwa unyenyekevu. Tena na mama wa watu hana shida wala Njaa. ataendelea na kazi zake kama raia wengineWaziri Mkuu wa Uingereza, Liz Truss ametangaza kujiuzulu nafasi yake
Liz Truss alichukua madaraka kutoka kwa Boris Johnson tarehe 05/09/2022
Liz Truss amechukua hatua hiyo baada ya baadhi ya mawaziri na wabunge wa chama chake cha Conservative kusema kuwa hawaridhishwi na kazi yake na kumtaka ajiuzulu.
----
Liz Truss resigns as prime minister
Liz Truss has resigned as prime minister and will step down after a week-long emergency contest to find her successor, she has announced outside Downing Street.
It follows a turbulent 45 days in office during which Truss’s mini-budget crashed the markets, she lost two key ministers and shed the confidence of almost all her own MPs.
Her statement came after she met Graham Brady, the chair of the 1922 Committee of backbench Tory MPs at Downing Street, followed by her deputy PM, Thérèse Coffey, and the party chair, Jake Berry.
Truss said she had entered office with “a vision for a low-tax, high-growth economy that would take advantage of the freedoms of Brexit”.
She went on: “I recognise that, given the situation, I cannot deliver the mandate on which I was elected by the Conservative party. I have therefore spoken to His Majesty the King to notify him that I am resigning as leader of the Conservative party.
“This morning I met the chairman of the 1922 Committee, Sir Graham Brady. We’ve agreed that there will be a leadership election to be completed within the next week. This will ensure that we remain on behalf to deliver our fiscal plans and maintain our country’s economic stability and national security. I will remain as prime minister until a successor has been chosen.”
Source: Liz Truss resigns as prime minister
Sijambo mkuuKaka Maghayo hujambo
Toa utumbo wak hapa inahusianaje mambo haya na putin, putin mwenyew taaban hana jeshi hana silaha anakodi silaha kutoka Iran ata mwaka vita haijafika kajichokea nafsi yakeWaongee na Putin Tu wayamalize. Hii vita itawang'oa wengi bado France