Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo yanafanyika Kwa "shit countries"Huku watu wangeambiwa sio watanzania [emoji23]
Biashara zao zingeambiwa kodi, mizengwe kibaoo.
Wengine risasi zingewahusu.
Issue ya Tozo na gharama kubwa za maisha hapa TZ zilipaswa kuondoka na rais Samia na Mwigulu ila bongo yetu ndiyo hivyo tena.Waziri Mkuu wa Uingereza, Liz Truss ametangaza kujiuzulu nafasi yake
Liz Truss alichukua madaraka kutoka kwa Boris Johnson tarehe 05/09/2022
Liz Truss amechukua hatua hiyo baada ya baadhi ya mawaziri na wabunge wa chama chake cha Conservative kusema kuwa hawaridhishwi na kazi yake na kumtaka ajiuzulu.
----
Liz Truss resigns as prime minister
Liz Truss has resigned as prime minister and will step down after a week-long emergency contest to find her successor, she has announced outside Downing Street.
It follows a turbulent 45 days in office during which Truss’s mini-budget crashed the markets, she lost two key ministers and shed the confidence of almost all her own MPs.
Her statement came after she met Graham Brady, the chair of the 1922 Committee of backbench Tory MPs at Downing Street, followed by her deputy PM, Thérèse Coffey, and the party chair, Jake Berry.
Truss said she had entered office with “a vision for a low-tax, high-growth economy that would take advantage of the freedoms of Brexit”.
She went on: “I recognise that, given the situation, I cannot deliver the mandate on which I was elected by the Conservative party. I have therefore spoken to His Majesty the King to notify him that I am resigning as leader of the Conservative party.
“This morning I met the chairman of the 1922 Committee, Sir Graham Brady. We’ve agreed that there will be a leadership election to be completed within the next week. This will ensure that we remain on behalf to deliver our fiscal plans and maintain our country’s economic stability and national security. I will remain as prime minister until a successor has been chosen.”
Chanzo: The Guardian
Huku kwetu majizi ya Kodi zetu na kashfa lukuki...mbona hakuna anayejiuzuru....huko ng'ambo wanajua uongozi Ni kwa ajili ya watu...mtu akishindwa Ni kung'atuka tuSawa, ila aina hii ya siasa ukiileta bongo mtashangaa mtakavyokuwa kama Somalia. Niamini stability ni kitu cha muhimu sana. Hao wangereza wanaafford kujiuzulu na kubadilishana kiholela hivyo kwa sababu kuna mifumo mingine inayowabeba.
Wakati huku unaambiwa uhamie burundiWenzetu wanaojua kuwajibika na kuwajibishana
Huwezi kufikiria hata kidogo?huyo waziri mkuu kwashindwa kuja na mipango ya maana kusaidia uchumi wao unaoyumba Kwa Sababu ya hii vita.sasa ili maafa yasiendelee waache Putin ashinde na waongee naye amalize vita.maana Putin lazima ashinde.Toa utumbo wak hapa inahusianaje mambo haya na putin, putin mwenyew taaban hana jeshi hana silaha anakodi silaha kutoka Iran ata mwaka vita haijafika kajichokea nafsi yake
Eti hana Silaha,hakuna Silaha mpya Urusi kaitumie hata moja, pale anatumia zile za Soviet make zilikuwa store zimejaaToa utumbo wak hapa inahusianaje mambo haya na putin, putin mwenyew taaban hana jeshi hana silaha anakodi silaha kutoka Iran ata mwaka vita haijafika kajichokea nafsi yake
Mama yako ndo anaiweza?Clock 100
Kwanini nawe usijiuzulu tu na wakati unajua nafasi uliyonayo huiwezi[emoji14]
Kwani Liz Truss kashindwa nini? Sera zake za kiuchumi hata hawajazipa muda kuona matokeo yake, kelele za watu zikamvuruga ndio akaonekana amepwaya? Hapa kwetu tuna matatizo yetu ndiyo nayo yatajitaji mwarobaini wake, lakini si lazima iwe kama style wangereza.Huku kwetu majizi ya Kodi zetu na kashfa lukuki...mbona hakuna anayejiuzuru....huko ng'ambo wanajua uongozi Ni kwa ajili ya watu...mtu akishindwa Ni kung'atuka tu
Suala hili kwa huko Tanzania likitokea la anae takiwa kujiuzulu linakuwa kama KUMPIGA NTU RUNGU LA UTOSI...
Huko Wana akili timamu sio huku
sio yanaruka, sema wana akili sio kama wakwetu mpaka wafie madarakani hata kama wanafanya mauozo kibaoMashetani yaliyowatesa wanadamu yanarukaruka na kukanyagana kwa taharuki
Bado Joe Biden! Na yeye hali ni tete. Maana Wamarekani wenzake wameshaanza kumgeuka, kutokana na kuchezea hela zao visivyo kwenye vita ya Urusi na Ukraine.Nikikumbukaga wale walokua wanasema Putin atatolewa madarakani na raia wake sasa yamekua kwao wenyewe.
hapana, political system inafanya kazi, ndiyo maana amevurunda, amejiuzuru. kama ingekuwa haifanyi kazi, angesema samahani halafu anarekebisha na kuendelea. N a kweli alijaribu kufanya hivyo lakini system ikamwambia NO.Sasa kwa taarifa yako hiyo siyo ishara ya utimamu. Ni dalili za disfunctional political system. Ni vile tu kwamba washajijengea jina kubwa na historia kama british empire na nyie mnaona kila ujinga wao ni ustaarabu kwenu.
Wakati anaomba madaraka, aliyajua yote hayo akaahidi ataweza. Hakuna jipya lililotokea, vita ilikuwepo. Kashindwa. muungwana kajiuzuruHuwezi kufikiria hata kidogo?huyo waziri mkuu kwashindwa kuja na mipango ya maana kusaidia uchumi wao unaoyumba Kwa Sababu ya hii vita.sasa ili maafa yasiendelee waache Putin ashinde na waongee naye amalize vita.maana Putin lazima ashinde.
Nyie mmekwama mambo sio marahis kiivyoTupate chaguo la wananchi