Uingereza: Waziri Mkuu Liz Truss ajiuzulu baada ya siku 45 madarakani

Wapi mk254 aje kwahuku aone putin effect inavyowafagia
 
Walijua watamvuruga Putin kumbe wanajivuruga wao wenyewe, watu wanafurahia pale Ukraine wakiachiwa vipande vya ardhi hawajui bwana Putin anacheza hili game ndani na nje ya uwanja tena acha hii vita iendelee kua ndefu ili wavurugane vizuri mabeberu, hadi beberu mkuu akatolewe kamasi..........Ulaya wakija kuamka wataacha kumuendekeza Mmarekani na kuanza kufatilia maslahi yao na wananchi wao,,,,,huku kwingine mfaransa na mjerumani wameshanuniana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…