Haya ni manyunyu mkuu naomba udiyapuuze, amini nikuambiayo kuwa nchi zote za Ulaya zitatoa kauli kama hii, sasa sikilizia 2020.
Hawa ni watu makini sana, haya matukio yataunganishwa na mengine ndipo wachukue hatua.
Nchi yangu nzuri inaelekea kubaya Mungu atunusuru.
Baiskeli inapolazimishwa kuwa pikipikiEmbu soma vizuri alichoandika tena huyo bibi analaumu serikari kwa kuondoa wagombea ambao wote walirudishwa.
Analaumu serikari kwa maamuzi ya upinzani kujitoa, hata baada ya kubembelezwa mbele ya dunia.
Inawezekana huyu mama kachoka kuishi Tanzania anatafuta sababu za kutunga aichokoze serikari arudishwe kwao kama anavyotaka.
Maana hakuna la maana analoongea.
Kama ana ku-miss kwao atume tweet kushiriki mjadala unaondelea huko chief Rabbi amemponda kiongozi wa labour kwa madai ya anti semitism swala ambalo limewakera Jewish community wanao support labour na sehemu kubwa ya jamii kwa kuingiza dini kwenye siasa
Lakini kwa hili la uchaguzi ukisoma hayo malalamiko yake apeleke ushahidi ni kituo gani kilikuwa hakina majina ya wagombea wa vyama vingine na kwa vipi serikari inahusika wapinzani kugoma wakati wametumia muda kweli kuwabembeleza. Sasa kama anao ushahidi mwingine alete.
kwa hali ya kawaida kabisa upinzani umeonyesha ukomavu mkubwa, pale kanuni na taratibu zisipofuatwa kwa nini ukubali kuwa sehemu ya kubariki dhambi.?Liko wazi upinzani umeanza tabia za kitoto kutaka kubembelezwa kushiriki kwenye misingi ya demokrasia.
Hakuna mwenye huo muda nao
Wengine utafuta wanasheria makini na kuonyesha were the ‘conflict of interest lies’ mahakamani na kupinga kama issue ni usimamizi.kwa hali ya kawaida kabisa upinzani umeonyesha ukomavu mkubwa, pale kanuni na taratibu zisipofuatwa kwa nini ukubali kuwa sehemu ya kubariki dhambi.?
JidanganyeWataishia kusikitika la kufanya hakuna juzi marekani leo uingereza kesho canada au pakistani
Madikiteita haya hayawatishi, saut wanayoisikia ni mabomu, hayo yatawasitua tena sana!View attachment 1274916
Kitendo cha Watendaji kuamriwa kujificha kwa gharama yoyote ile ili kuhakikisha Wagombea wa vyama vya upinzani hawachukui ama kurudisha fomu za uchaguzi wa serikali za mitaa kwa lengo la kuwabeba wagombea wa CCM kwa mbeleko ya chuma, kimeusikitisha mno ubalozi wa Uingereza.
My take: Nchi inazidi kudhalilika kwenye jumuiya ya Kimataifa
Rudia kusoma mkuu ama uliza waelewa wa lugha ufafanuzi. Kwa ufupi wapinzani waliondolewa kwa vigezo vilivyo ratibiwa ama maelekezo maalumu. Huo ujinga uliofanyika hata mtoto darasa la pili anaelewa.Huyu sasa ndio wakuitwa atuelezee mgombea yupi alikuwa disqualified.
Wenzetu tu hao, Donor Kantri!Wataishia kusikitika la kufanya hakuna juzi marekani leo uingereza kesho canada au pakistani
Sawa mkuu nimekuelewa na nakubaliana na wewe, lakini bado nina wasiwasi sana na hawa watu. Pengine maslahi ya Ug na Tz yanweza yakawa tofauti mbele ya macho ya hawa watu. Nachokiona sababu bado uchumi wetu hauturuhusu kujitegemea kwa sasa, basi tujitathmini kama kuna sehemu tunakosea si dhambi kurekebisha kwa faida ya vizazi vyetu vijavyo.Marekani alishamtolea matamko mengi sana hata Museven, nadhani sasa hivi yatakuwa yamejaa file zima, lkn Museven bado anadunda tu pale Uganda.
Point yangu ni kwamba Tanzania haijawa na haitakuwa na hali mbaya kuzidi Uganda.
kwani inawauma sana eeeee?View attachment 1274916
Kitendo cha Watendaji kuamriwa kujificha kwa gharama yoyote ile ili kuhakikisha Wagombea wa vyama vya upinzani hawachukui ama kurudisha fomu za uchaguzi wa serikali za mitaa kwa lengo la kuwabeba wagombea wa CCM kwa mbeleko ya chuma, kimeusikitisha mno ubalozi wa Uingereza.
My take: Nchi inazidi kudhalilika kwenye jumuiya ya Kimataifa
Rudia kusoma mkuu ama uliza waelewa wa lugha ufafanuzi. Kwa ufupi wapinzani waliondolewa kwa vigezo vilivyo ratibiwa ama maelekezo maalumu. Huo ujinga uliofanyika hata mtoto darasa la pili anaelewa.
Sijui kama inajua tofauti ya usiku na mchana.Wataishia kusikitika la kufanya hakuna juzi marekani leo uingereza kesho canada au pakistani
Hujui hata matumizi ya hashtag, kilaza wahed.Cecil Mwambe kwanza ,mengine baadae.
#mbowe must Go.
Utakuwa hujitambui wewe.Liko wazi upinzani umeanza tabia za kitoto kutaka kubembelezwa kushiriki kwenye misingi ya demokrasia.
Hakuna mwenye huo muda nao
Why?Utakuwa hujitambui wewe.