wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 25,190
- 27,434
Usiwe na wasiwasi hivyo jiamini anaetishiwa hatishiki kwanza amekalia pote la mbali liwalo na liwe
Haya ni manyunyu mkuu naomba udiyapuuze, amini nikuambiayo kuwa nchi zote za Ulaya zitatoa kauli kama hii, sasa sikilizia 2020.
Hawa ni watu makini sana, haya matukio yataunganishwa na mengine ndipo wachukue hatua.
Nchi yangu nzuri inaelekea kubaya Mungu atunusuru.