Uingereza yatuma kikosi maalum cha makomandoo wa SAS Msumbiji kumuokoa raia wao aliyetekwa

Uingereza yatuma kikosi maalum cha makomandoo wa SAS Msumbiji kumuokoa raia wao aliyetekwa

Hawa ni dini moja na madam president, hawezi kuamuru jeshi letu liwashughulikie. Watapewa msaada waendeleze harakati zao.
Katika Group la Watu,kuna Viatu hujitokeza mbele

Uislam hauna mafunzo ya Kigaidi
Uislam,ni Dini salama na yenye amani

Hawa ni Makundi yanayotengenezwa kwa ajili maalum kwa faida za Watu maalum
 
Vita ya intelijensia...siyo vita ya maguvu!
Yawezekana waingereza wa3 ila wakapewa wajeda wa Msumbiji 300.
Wanaenda kisasa na miwani night vision, mawasiliano, silaha za uhakika, mavazi, chakula kila kitu uhakika.

Hao wala sio ISIS kama walio Syria Au Iraq, hao ni wahuni tu fulani jobless, hawawezi hata kufananishwa na Al-shabaab. Hawa ni mamluki! Kama sungusungu tu!

Everyday is Saturday............................... 😎
Wewe tupo njia moja.
 
Kwa Waingereza Kutangaza Kwao tu hivi ( huku ) huyo Raia wao wanayeenda Kumkomboa kutoka kwa hao Magaidi wa ISIS huko Msumbiji wakimpata akiwa Hai ( hajafa ) naogolea Baharini chini kwa chini tu ( kwa Kuzamia ) kutoka Dar es Salaam hadi Zanzibar na kurejea Dar es Salaam tena.
Kila kitu ni kujaribu.

Huenda tayari "survey" imefanywa mateka yupo mahala na huenda kunaandaliwa kiasi cha "ramsom".

Hivyo hawa watatu wanajaribu na bila shaka nyuma yao wana support ya Mozambique army.

Hapohapo wao ndo wataongoza mapigano.
 
Yaani kiukweli mimi huwa sioni mantiki ya sheria za ulinzi wa amani wa UN, kwasababu hawa UN wanajua kabisa kwamba wanasababisha vita kwenye nchi hizi ni wafadhili wa kizungu. Huko Congo ni wazungu ndyo wanafadhili ili waendelee kuchota mali za waCongo. Kwanini nchi husika zisichukue hatua ya kufanya operation kama wanapigana na adui kutoka nchi nyingine ili kuwafyekelea mbali hao watu????
Wenye mamlaka za kuamua hayo ndani ya nchi hizo huwa na maslahi binafsi ndo maana hawawezi kuamuru vikosi viingie kazini kama ilivyofanyika Kibiti.
 
Upo sahihi. Lakini duru zinasema bado mitambo inaendelea kusimikwa. Nikukumbushe mkuu TOTAL ni kampuni ya KIFARANSA wacha tuone mwendelezo wa hao raia wa kigeni wanaopata madhara wanatoka upande gani.
Swali langu ni kwamba hicho kikundi cha wanamgambo kinalinda maslahi yake kama IS au kinachezeshwa gwaride kulinda maslahi ya mzungu?????.
Siku zote IS hawana kazi yenye maslahi yao binafsi. Kuna wakubwa waliunda na wanaendeleza kikundi hiki kwa maslahi ya hao wakubwa. Bila ufadhili wa mabos wao, IS hawana hata chupi.
 
Kila kitu ni kujaribu.

Huenda tayari "survey" imefanywa mateka yupo mahala na huenda kunaandaliwa kiasi cha "ramsom".

Hivyo hawa watatu wanajaribu na bila shaka nyuma yao wana support ya Mozambique army.

Hapohapo wao ndo wataongoza mapigano.

Kwa hiyo ransom sawa, ila kwa ISIS walivyo wakienda hivyo wanavyoenda wataambulia Mabaki tu ya Makende ( Pumbu ) za huyo Muingereza wao na chembe chembe zake za Kinyesi ( Mavi ) alichokitoa wakati anaaga dunia.
 
Upo sahihi. Lakini duru zinasema bado mitambo inaendelea kusimikwa. Nikukumbushe mkuu TOTAL ni kampuni ya KIFARANSA wacha tuone mwendelezo wa hao raia wa kigeni wanaopata madhara wanatoka upande gani.
Swali langu ni kwamba hicho kikundi cha wanamgambo kinalinda maslahi yake kama IS au kinachezeshwa gwaride kulinda maslahi ya mzungu?????.
Sijaona sehemu katika hii Africa, ambapo mfaransa ameenda kisha pasitokee machafuko..... Mfaransa ni mfitini na kila anapoondoka anaacha laaana ya vita au ugomvi! Mfaransa ni wa kumtafakari sana kufanya nae ushirikiano wa aina yoyote ile....
 
Katika Group la Watu,kuna Viatu hujitokeza mbele

Uislam hauna mafunzo ya Kigaidi
Uislam,ni Dini salama na yenye amani

Hawa ni Makundi yanayotengenezwa kwa ajili maalum kwa faida za Watu maalum
Nakubaliana na wewe kwa asilimia 101.

Ukiangalia silaha wanazopata zinapitaje kwenye mataifa ya jirani na fedha wanazotumia kulipia vifaa vya kijeshi na zana zingine zinapita katika miamala ipi ya fedha?

Hivyo zipo njia haramu za kupitia fedha haramu na bidhaa zote za kutumiwa na waasi popote pale barani Afrika.
 
Hawa wavaa vipedo pusha si wa kuwadekeza, mkiwadekeza matokeo yake ndio haya.
Hao makomando watatu wako vizuri kiasi Cha kukwepa risasi?
Ninaanza kuhisi huenda wazungu (wazungu hasa wale wanaotoka kwenye nchi zilizoendelea) wanao kuja huku Africa huenda wanafungiwa vifaa fulani vinavyo onesha location; nasema ninahisi/ninafikiria hivyo so huenda hao Waingereza, wanamuona jamaa yao mahali alipo
 
Back
Top Bottom