Uislam na Ukristo siyo maadili ya Mtanzania na Mwafrika, ni moja ya nyenzo ya mmomonyoko wa maadili

Na hii ndo mbaya yani kama watanzania hatuna utambulisho wowote wala muongozo wa maadili ya kwetu
Leo hii ukitaka uwaweke watoto kwenye so called maadili mema ni lazima akiwa mdogo tu uanze kumpeleka akajazwe funza kichwani tulizoletewa na wageni
 
Fundisho lipi la uislam sio sahihi kwa jamii nyingine?

Yapo mafundisho mengi tuu inategemea na jamii inayopelekewa
Mfano fundisho la wake wengi siô Sahihi Kwa jamii za Wakristo na jamii za kizungu.

Fundisho la Quran kuua wasio Waislam siô Sahihi Kwa jamii za kiungwana,

Fundisho la Mavazi, kwamba mwanamke sharti ajisitiri NI Sahihi Kwa Waislam lakini siô Sahihi Kwa wazungu na jamii za kiafrika na Kikristo.

Fundisho la Kutokula Nguruwe NI Sahihi Kwa Waislam lakini siô Sahihi Kwa wazungu, waafrika na wachina.

Yapo mengi
 
Tulichukua tamaduni za watu na kuzifanya zetu tukaacha maarifa yao ambayo yangetuwezesha kuboresha tamaduni na maisha yetu kwa ujumla.
 
Na hii ndo mbaya yani kama watanzania hatuna utambulisho wowote wala muongozo wa maadili ya kwetu
Leo hii ukitaka uwaweke watoto kwenye so called maadili mema ni lazima akiwa mdogo tu uanze kumpeleka akajazwe funza kichwani tulizoletewa na wageni

😀😀
Alafu hizô funza zikianza kufukuta kichwani zinaona Watu WA Dini ñyiñgine wabaya na kuleta utengano
 
Kama umejitambua kwa elimu ya mzungu basi ulichoandika ni unafiki , wazee wa zamani walikuwa smart na more resistant kuliko wa sasa , ilikuwaje dini zikaingia? Hpo hamna jibu bali dini ni mpango wa Mungu ndio maana zilisambaa mpaka ulaya.

Hakuna ushahidi wa babu wa mtu anajua zaidi ni maandisho ambayo ukienda kitabu kingine ukisoma yapo tofauti .

Unaposema mwafrika alikuwa na tamaduni zake ni unafiki hata kihistoria mwanadamu alitoka sehemu kwenda nyingine ili kupata ustaarabu na maendeleo, mwafrika alikuwa anakula nyama mbichi baadae akagundua moto mpaka kuanza kutengeneza zana zake mwenyewe...Hii inaonyesha lazima binadamu apate maendeleo kulingana na mabadiliko , dini za leo ndipo ambpo mwanadamu alipangiwa kuwepo leo kwa sababu hata maandiko kayasoma kweny vitabu ...Hiyo miaka ya kuishi pangoni mlikuwa mnajua kuandika?

Huwezi kusema unajua mila za muafrica wakati hata mwaka 1800 mwafrica alikuwa kashajitambua anaishi mbali na wanyama , Mila zako inategemea wazazi wako huwezi kusema sijui babu zako walikuweje huko nyuma .Mila sio conservativness mila zinabadilika kila siku kwa sababu binadamu anajifunza kulingana na mazingira.

Basi usisome wala kutumia jf na simu kabisa maana babu zako hawakusoma , hata hao watu weupe nao walianzia chini kama mwafrika.
 
Sawa.haya niambie mtu mweusi ana mafundisho gani ambayo ni sahihi
 
Sawa.haya niambie mtu mweusi ana mafundisho gani ambayo no sahihi
Ngoja atuambie kwanza, mtu analeta story za babu zake waliozaliwa kijijini hapo ...Wzee hao walikuwa wanatembea matako wazi , sasa muacha atembee matako wazi 😀 😀 😀 .

Mimi babu yangu nilimuona alikuwa anavaa nguo so huwezi kuniambia kulikuwa na mila z mwafrica , nifuate kitu ambacho hata babu yangu hakijui .
 

Hakuna jamii àmbayo haikutembea matako Wazi Kulingana na historia ya Dunia
 

Maadili ndîo tatizo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…