Uislamu ungeacha kuambatana na ukatili ingelikuwa dini moja safi sana


Ku immagine kivipi sasa,wewe ishi maisha unayopenda mkuu
 
WAnapochinja watu na kuimba "alaha akbaru" kwani wanamanisha mungu anayeabudiwa na waislamu wengine.
 
WAnapochinja watu na kuimba "alaha akbaru" kwani wanamanisha mungu anayeabudiwa na waislamu wengine.
Sina uhakika juu ya hiyo lugha ya kiarabu... Labda wewe unieleweshe maana yake ni nini
 
Ajabu uislamu ndio dini inayokua kwa kasi sana hapa ulimwenguni tujiulize wakristo tunakosea wapi hasa wakatoliki.
Inakua sababu mnazaana sana ,wanawake 4 kila mwanmke akizaa watoto 3 ni waislama wangapi wameingia uislam hapo !
 
Vipi hapo:

Mnamo Machi 15, 2019, mashambulizi ya risasi ya watu wengi yalitokea katika mashambulizi ya kigaidi mfululizo kwenye misikiti miwili huko Christchurch, New Zealand. [2][7] Walifanywa na mtu mwenye silaha ambaye aliingia misikiti yote miwili wakati wa sala ya Ijumaa, kwanza katika Msikiti wa Al Noor katika kitongoji cha Riccarton saa 1:40 jioni na baadaye katika Kituo cha Kiislamu cha Linwood saa 1:52 jioni.[8][9][10] Watu hamsini na mmoja waliuawa na wengine arobaini walijeruhiwa. [11][12]

 
😴Hata mtoto wa la Saba anajua waislamu ni magaidi kuliko wakristo so we endelea kujikosha tu na cherry picking yako
 
😴Hata mtoto wa la Saba anajua waislamu ni magaidi kuliko wakristo so we endelea kujikosha tu na cherry picking yako
Ndivyo mlivyojazwa ujinga.

Wewe unaishi wapi Tanzania hii, unaishi na Waislam au hauishi nao hapo ulipo? Umeshawaona wakifanya ugaidi upi
 
Kwa hiyo na mama zako watakuwa 100, Bro hapa kuna point unamissπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Ndio hivyo kama mlivyoahidiwa na biblia kama nimekosa huo mstari niambie !maana biblia nimesoma yote.
 
Sisi Wakristo Mungu alichotuahidi ni uzima wa milele kuishi pamoja na Yeye.
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…Huo mstari huujui kumbe? Ndugu zangu someni biblia acheni matendo .

Na nyie si ndio mnaamini hakuna hukumu kwa aliyemkiri yesu !?
 
Ndivyo mlivyojazwa ujinga.

Wewe unaishi wapi Tanzania hii, unaishi na Waislam au hauishi nao hapo ulipo? Umeshawaona wakifanya ugaidi upi
Dar es salaam 1998 Al Qaeda walilipua ubalozi wa marekani. Haya niletee ya wakristo asa. Bongo tunaishi Kama ndugu coz Nyerere aliondoa udini.. tunaishi Kama vile dini zote ni za Mungu mmoja ila Quran na hadiths zenu zinatakia tu mabaya wakristo na huo ndo ukweli
 
Umesma ubalozi wa nini? Nilifikiri utasema wamebomowa jengo la serikali ya Tanzania.

Kwenu Dar? Ubalozi wa USA?

Unafahamu kuwa mchaga tena mkristo ndiye alitengeneza lile bomu na kuliunda kwenye gari iliyoripuliwa nalo?
 
Umesma ubalozi wa nini? Nilifikiri utasema wamebomowa jengo la serikali ya Tanzania.

Kwenu Dar? Ubalozi wa USA?

Unafahamu kuwa mchaga tena mkristo ndiye alitengeneza lile bomu na kuliunda kwenye gari iliyoripuliwa nalo?
πŸ˜‚πŸ˜‚Ndio kwetu dar? Ubalozi upo wapi kwani...we umeuliza swali umejibiwa unaanza kuzuga. Acha kutafuta visingizio everyone knows waislamu ni magaidi. Utajikosha utajaribu kupaka rangi eti "religion of peace, Islam is beautiful" kawaambie waliokufa 911, kawaambie waliochinjwa na isis na video zao kusambaa mitandaoni. Acheni kujikosha kubalini ukweli
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…Huo mstari huujui kumbe? Ndugu zangu someni biblia acheni matendo .

Na nyie si ndio mnaamini hakuna hukumu kwa aliyemkiri yesu !?
Kumkiri Yesu ni moja,

Ila matendo yako lazima yafanane na maisha ya Yesu. . . .
 
Kwa mfano wanaachaje katika hali hii wanavyokuwa brainwashed

View: https://x.com/LizaRosen0000/status/1714568509680693414?s=20
 
Ndivyo mlivyojazwa ujinga.

Wewe unaishi wapi Tanzania hii, unaishi na Waislam au hauishi nao hapo ulipo? Umeshawaona wakifanya ugaidi upi
HAMZA alieua askari alikuwa dini gan, wale jamaa wa kibiti walikuwa dini gani... Makundi yote ya kigaidi diniani yanakuwa linked na Islamic State...
 
HAMZA alieua askari alikuwa dini gan, wale jamaa wa kibiti walikuwa dini gani... Makundi yote ya kigaidi diniani yanakuwa linked na Islamic State...
Kwanini aliua?
 
Kwanini aliua?
Anajua yeye... Mwenyewe, ila kiuhalisia uwezi kuona mkristo anashika bunduki na kuua watu hovyo... Nakazia neno "Mkristo" maana unaweza kuniletea wazungu ukawaita wakristo, wazungu wengi ni wapagani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…