Mapambio jazz bandYaani wewe Ni kiazi, hayo maeneo yaliyotajwa yako wilaya tofauti kuanzia Korogwe,Handeni,Kilindi,Kiteto,Kondoa/Chemba Hadi Singida..
Kama umewahi pita Barabara ya Singida-Babati nje kidogo ya Mji wa Singida utaona Kibao kinaonesha uelekeo wa Dodoma(Kondoa eneo la Kwa Mtoro)..
Na kwa taarifa yako hii Ni Barabara kuu ya ku serve Bandari ya Tanga na iko ndani ya Central Corridor na Ni miongoni mwa Barabara za kimkakati za Afrika Mashariki.
Hivi nyie Chadomo huwa mnaleta ubishi wa Nini hasa?[emoji116]
Ngoja nikuache naona huna akiliWewe ni MWEHU, swali nimeulizwa , Je kuna uwezekano wa ujenzi wa barabara kutoka Tanga kupita Dodoma kwenda Singida bila kupitia mikoa mingine?
Wewe ulipata Geography zero. Kiteto ipo mkoa wa Manyara na sio Dodoma.
Ukitaja Turiani , tayari umeshaingia mkoa wa MOROGORO ambako Prof mbarawa hakuutaja huo mkoaBinafsi niko Tanga inawezeka tena vizuri tu na huwa tunasafiri kwa hiyo njia kwa sasa vumbi iko hivi
TANGA JIJI HADI HANDENI NI LAMI
HANDENI HADI KILINDI NI VUMBI
KILINDI UNAENDA KAMA Kilomita kadhaa kama unaenda TURIANI ILA HUFIKI TOWN KUNA SEHEM UNACHEPUKA UNAINGIA KONDOA HADI HAPO TUKO PAMOJA
Mbona inawezekana. Barabara hapo itapitia Turiani ambayo ipo wilaya ya mvomero kwa maana itatokea kilindi Tanga inakuja kupita turiani Moro inakuja kuungana na barabara ya moro- dom. Uzuri ni kwamba rami inakaribia kufika madizini turianiNimemsikia waziri ujenzi , Prof Mbarawa akisema kunaujenzi wa barabara inayounganisha mikoa mitatu ya Dodoma, Tanga na Singida .
Hii barabara mpya itapitia maeneo gani au wilaya zipi ndani ya hiyo mikoa mitatu aliyoitaja?
Mwenye uelewa tafafhali ninahisi Prof ametupiga changa la macho.
Au ilani ya ccm inasemaje kuhusu hiyo barabara?
Sina akili ila sifanani na weweNgoja nikuache naona huna akili
Wewe Ni kopo tuuSina akili ila sifanani na wewe
Mkuu ukitaja Mvomero, tayari umetaja mkoa wa Morogoro na Prof mbarawa hakuutaja mkoa wa MOROGORO, bali alitaja Tanga,Dodoma kwenda SingidaMbona inawezekana. Barabara hapo itapitia Turiani ambayo ipo wilaya ya mvomero kwa maana itatokea kilindi Tanga inakuja kupita turiani Moro inakuja kuungana na barabara ya moro- dom. Uzuri ni kwamba rami inakaribia kufika madizini turiani
Hii ni tofauti na anayoiulizia kiongozi..Hii ya Kwako ni kweli inaanzia Dumila----Madizini- Kibati--Negero-- kuna kata hapo katikati ya Handeni na Kilindi,kuna mgodi wa dhahabu--then unatokea Handeni Mjini..huwa ina jina lake,kama sikosei ni Commonwealth road(I stand to be corrected), ni bonge la short cutSio changa la macho mkuu,iko barabara inaingilia maeneo ya Dumila kama sikosei,inakwenda kutokezea Handeni then inakutana na barabara ya Dar-Tanga maeneo ya Mkata,ni shortcut nzuri sana ila kwa sasa ni rough road,badala ya kutokea Dodoma ukaenda Morogoro mpaka chalinze ndio uanze kuitafuta Tanga...
Wewe Ni kopo tuu
Kwa hiyo shida yako ni kutokutaja mkoa wa Manyara?..ha haa..ni kweli hiyo barabara baada ya Kibirashi inatokezea Kiteto Manyara ndio inaendelea hadi Kondoa..nadhani Mh Waziri alioverlook tu kidogo..ikiisha itarahisisha sana usafiri wa ukanda huoMkuu ukitaja Mvomero, tayari umetaja mkoa wa Morogoro na Prof mbarawa hakuutaja mkoa wa MOROGORO, bali alitaja Tanga,Dodoma kwenda Singida
Sasa ninakubaliana na jibu lako mkuu.Kwa hiyo shida yako ni kutokutaja mkoa wa Manyara?..ha haa..ni kweli hiyo barabara baada ya Kibirashi inatokezea Kiteto Manyara ndio inaendelea hadi Kondoa..nadhani Mh Waziri alioverlook tu kidogo..ikiisha itarahisisha sana usafiri wa ukanda huo
Mkuu haya mafala achana nao. Nipinga pinga hao. Wanachuki tu na selikali ya mamaYaani wewe Ni kiazi, hayo maeneo yaliyotajwa yako wilaya tofauti kuanzia Korogwe,Handeni,Kilindi,Kiteto,Kondoa/Chemba Hadi Singida..
Kama umewahi pita Barabara ya Singida-Babati nje kidogo ya Mji wa Singida utaona Kibao kinaonesha uelekeo wa Dodoma(Kondoa eneo la Kwa Mtoro)..
Na kwa taarifa yako hii Ni Barabara kuu ya ku serve Bandari ya Tanga na iko ndani ya Central Corridor na Ni miongoni mwa Barabara za kimkakati za Afrika Mashariki.
Hivi nyie Chadomo huwa mnaleta ubishi wa Nini hasa?👇
Soma #31 upate madini hapoMkuu haya mafala achana nao. Nipinga pinga hao. Wanachuki tu na selikali ya mama
Acha fix iringa na tabora zinaingiajeDodoma na Singida zipo katikati ya Tanzania,Tanga ipo pembezoni mwa Nchi huwezi kufika Dodoma na Singida pasipo kupitia Mikoa ya Iringa,Morogoro,Manyara,Tabora na Mbeya.
Waziri atakuwa anadhani bado yupo huko Kwao Zanzibar.
Kwa ramani hii unaweza kuingia Dodoma bila kupitia Manyara ni vizuri ukaisoma ramani vizuri.
Hii ramani ni wazi ndio njia Tanga na Dodoma inakuwa connected kabisa bila kupitia Manyara.inawezekana according to hii ramaniView attachment 2424672
Hapo Tabora na Mbeya umetupiga na kitu kizito bora hata ya huyo uliyemuita mnzanzibar. kasome ramani waziri yuko sahihi
Anza Tanga -Handeni-Dodoma- SingidaNimemsikia waziri ujenzi , Prof Mbarawa akisema kunaujenzi wa barabara inayounganisha mikoa mitatu ya Dodoma, Tanga na Singida .
Hii barabara mpya itapitia maeneo gani au wilaya zipi ndani ya hiyo mikoa mitatu aliyoitaja?
Mwenye uelewa tafafhali ninahisi Prof ametupiga changa la macho.
Au ilani ya ccm inasemaje kuhusu hiyo barabara?
Unaijua Handeni - Kilindi?Dodoma na Singida zipo katikati ya Tanzania,Tanga ipo pembezoni mwa Nchi huwezi kufika Dodoma na Singida pasipo kupitia Mikoa ya Iringa,Morogoro,Manyara,Tabora na Mbeya.
Waziri atakuwa anadhani bado yupo huko Kwao Zanzibar.