Ujenzi wa barabara inayounganisha mikoa mitatu ya Dodoma, Tanga na Singida itapitia maeneo gani?

Ujenzi wa barabara inayounganisha mikoa mitatu ya Dodoma, Tanga na Singida itapitia maeneo gani?

Yaani wewe Ni kiazi, hayo maeneo yaliyotajwa yako wilaya tofauti kuanzia Korogwe,Handeni,Kilindi,Kiteto,Kondoa/Chemba Hadi Singida..

Kama umewahi pita Barabara ya Singida-Babati nje kidogo ya Mji wa Singida utaona Kibao kinaonesha uelekeo wa Dodoma(Kondoa eneo la Kwa Mtoro)..

Na kwa taarifa yako hii Ni Barabara kuu ya ku serve Bandari ya Tanga na iko ndani ya Central Corridor na Ni miongoni mwa Barabara za kimkakati za Afrika Mashariki.

Hivi nyie Chadomo huwa mnaleta ubishi wa Nini hasa?[emoji116]
Mapambio jazz band
 
Binafsi niko Tanga inawezeka tena vizuri tu na huwa tunasafiri kwa hiyo njia kwa sasa vumbi iko hivi
TANGA JIJI HADI HANDENI NI LAMI
HANDENI HADI KILINDI NI VUMBI
KILINDI UNAENDA KAMA Kilomita kadhaa kama unaenda TURIANI ILA HUFIKI TOWN KUNA SEHEM UNACHEPUKA UNAINGIA KONDOA HADI HAPO TUKO PAMOJA
 
Binafsi niko Tanga inawezeka tena vizuri tu na huwa tunasafiri kwa hiyo njia kwa sasa vumbi iko hivi
TANGA JIJI HADI HANDENI NI LAMI
HANDENI HADI KILINDI NI VUMBI
KILINDI UNAENDA KAMA Kilomita kadhaa kama unaenda TURIANI ILA HUFIKI TOWN KUNA SEHEM UNACHEPUKA UNAINGIA KONDOA HADI HAPO TUKO PAMOJA
Ukitaja Turiani , tayari umeshaingia mkoa wa MOROGORO ambako Prof mbarawa hakuutaja huo mkoa
 
Nimemsikia waziri ujenzi , Prof Mbarawa akisema kunaujenzi wa barabara inayounganisha mikoa mitatu ya Dodoma, Tanga na Singida .
Hii barabara mpya itapitia maeneo gani au wilaya zipi ndani ya hiyo mikoa mitatu aliyoitaja?

Mwenye uelewa tafafhali ninahisi Prof ametupiga changa la macho.

Au ilani ya ccm inasemaje kuhusu hiyo barabara?
Mbona inawezekana. Barabara hapo itapitia Turiani ambayo ipo wilaya ya mvomero kwa maana itatokea kilindi Tanga inakuja kupita turiani Moro inakuja kuungana na barabara ya moro- dom. Uzuri ni kwamba rami inakaribia kufika madizini turiani
 
Mbona inawezekana. Barabara hapo itapitia Turiani ambayo ipo wilaya ya mvomero kwa maana itatokea kilindi Tanga inakuja kupita turiani Moro inakuja kuungana na barabara ya moro- dom. Uzuri ni kwamba rami inakaribia kufika madizini turiani
Mkuu ukitaja Mvomero, tayari umetaja mkoa wa Morogoro na Prof mbarawa hakuutaja mkoa wa MOROGORO, bali alitaja Tanga,Dodoma kwenda Singida
 
Sio changa la macho mkuu,iko barabara inaingilia maeneo ya Dumila kama sikosei,inakwenda kutokezea Handeni then inakutana na barabara ya Dar-Tanga maeneo ya Mkata,ni shortcut nzuri sana ila kwa sasa ni rough road,badala ya kutokea Dodoma ukaenda Morogoro mpaka chalinze ndio uanze kuitafuta Tanga...
Hii ni tofauti na anayoiulizia kiongozi..Hii ya Kwako ni kweli inaanzia Dumila----Madizini- Kibati--Negero-- kuna kata hapo katikati ya Handeni na Kilindi,kuna mgodi wa dhahabu--then unatokea Handeni Mjini..huwa ina jina lake,kama sikosei ni Commonwealth road(I stand to be corrected), ni bonge la short cut
 

Attachments

  • 72AD85EC-15EF-4E81-96E5-F1E686229CF8.jpeg
    72AD85EC-15EF-4E81-96E5-F1E686229CF8.jpeg
    25 KB · Views: 9
Mkuu ukitaja Mvomero, tayari umetaja mkoa wa Morogoro na Prof mbarawa hakuutaja mkoa wa MOROGORO, bali alitaja Tanga,Dodoma kwenda Singida
Kwa hiyo shida yako ni kutokutaja mkoa wa Manyara?..ha haa..ni kweli hiyo barabara baada ya Kibirashi inatokezea Kiteto Manyara ndio inaendelea hadi Kondoa..nadhani Mh Waziri alioverlook tu kidogo..ikiisha itarahisisha sana usafiri wa ukanda huo
 
Kwa hiyo shida yako ni kutokutaja mkoa wa Manyara?..ha haa..ni kweli hiyo barabara baada ya Kibirashi inatokezea Kiteto Manyara ndio inaendelea hadi Kondoa..nadhani Mh Waziri alioverlook tu kidogo..ikiisha itarahisisha sana usafiri wa ukanda huo
Sasa ninakubaliana na jibu lako mkuu.
Wengine wanajibu tu na shule hawana
 
Yaani wewe Ni kiazi, hayo maeneo yaliyotajwa yako wilaya tofauti kuanzia Korogwe,Handeni,Kilindi,Kiteto,Kondoa/Chemba Hadi Singida..

Kama umewahi pita Barabara ya Singida-Babati nje kidogo ya Mji wa Singida utaona Kibao kinaonesha uelekeo wa Dodoma(Kondoa eneo la Kwa Mtoro)..

Na kwa taarifa yako hii Ni Barabara kuu ya ku serve Bandari ya Tanga na iko ndani ya Central Corridor na Ni miongoni mwa Barabara za kimkakati za Afrika Mashariki.

Hivi nyie Chadomo huwa mnaleta ubishi wa Nini hasa?👇
Mkuu haya mafala achana nao. Nipinga pinga hao. Wanachuki tu na selikali ya mama
 
Dodoma na Singida zipo katikati ya Tanzania,Tanga ipo pembezoni mwa Nchi huwezi kufika Dodoma na Singida pasipo kupitia Mikoa ya Iringa,Morogoro,Manyara,Tabora na Mbeya.

Waziri atakuwa anadhani bado yupo huko Kwao Zanzibar.
Acha fix iringa na tabora zinaingiaje
 
Nimemsikia waziri ujenzi , Prof Mbarawa akisema kunaujenzi wa barabara inayounganisha mikoa mitatu ya Dodoma, Tanga na Singida .
Hii barabara mpya itapitia maeneo gani au wilaya zipi ndani ya hiyo mikoa mitatu aliyoitaja?

Mwenye uelewa tafafhali ninahisi Prof ametupiga changa la macho.

Au ilani ya ccm inasemaje kuhusu hiyo barabara?
Anza Tanga -Handeni-Dodoma- Singida
 
Dodoma na Singida zipo katikati ya Tanzania,Tanga ipo pembezoni mwa Nchi huwezi kufika Dodoma na Singida pasipo kupitia Mikoa ya Iringa,Morogoro,Manyara,Tabora na Mbeya.

Waziri atakuwa anadhani bado yupo huko Kwao Zanzibar.
Unaijua Handeni - Kilindi?
 
Back
Top Bottom