BILLY ISISWE
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 2,666
- 1,053
Na wewe tuo ujinga wako. Dunia nzima wanajenga Reli. Sisi tunataka kuishia Dodoma. Halifu baadaye tunalalamika. Ohooo Kenya wanatuzidi. Ohoo tungekuwa na reli mpaka kigoma ohoo sii unaona wezetu reli yao inafika mpaka Uganda [emoji1254]Kila mjinga leo anatoa ushauri wa kichekesho.
Ushauri mzuri, ila Sasa aina ya watu tulionao kuufanyia KAZI ndo changamotoHela hatuna, tusikope sana ili kupunguza kutumia na madeni.
Tabora ni karibu sana na Burundi, Rwanda, DRC, Mwanza na Uganda. Tujenge bandari kavu kuubwa pale Tabora ili watu wa Mwanza, Uganda, Rwanda, Burundi, DRC na Kigoma wachukulie Tabora mizigo yao itakayoletwa na SGR hapo.
Tukipata faida hapo tutaendelea na ujenzi hadi Mwanza, Burundi Rwanda na DRC kama tulivyokuwa tumepanga.
Hii itasaidia kuepuka uharibifu wa barabara kutoka dar hadi Tabora lakini na kupunguza umbali na gharama kwa watu wa DRC, Rwanda, Burundi kufuata bidhaa zao Dsm.
Tazara ipo, mbona haitumiki kikamilifu ,Mradi wa sgr umetutia madeni. Halafu mradi ukikamilika utatutia madeni zaidi. Pia ramani ya mradi imekosewa. Reli ya sgr inatakiwa iende sehemu ya mizigo mingi. Na mizigo mingi ni shaba ya Zambia, na madini ya cobalt na shaba yaliyopo Lubumbashi/kolwezi/katanga DR Congo.
Sasa hii reli naona imepotea uelekeo wa mizigo mingi mno kwa hiyo haitarudisha hela. Kwa hiyo ni madeni juu ya madeni halafu riba. Mizigo mingi ipo kusini kwa Congo na Zambia. Halafu reli inaelekea mashariki mwa Congo
Hao Rwanda na Burundi hawana mzigo wa maana kuzidi Zambia na Cobalt na Copper ya Drc congo. Ilitakiwa SGR iende kwenye mizigo ya maana huko kwenye migodi ya zambia na Congo.
Hii sgr inayojengwa imekosewa kabisa. SGR ilitakiwa iwe Dar-Kapirimposhi-Lubumbashi(ikiwezekana ipite kwenye migodi ya Copper na Cobalt iliyopo Kolwezi, Mutanda huko Drc ndanindani)
Jielimishe kwanza kuhusu usafiri wa reli duniani
Nadhani reli ingetengenezewa tawi hapo Dodoma ambalo litaenda kwenye migodi ya Copper ya Zambia usawa wa Kanshasi Mine kisha ielekee usawa wa Migodi ya Cobalt ya Katanga...ingesaidia kama ungeeleza reli ilitakiwa ipite wapi.
..tueleze reli ianzie wapi, ipite wapi, na iishie wapi.
Kwani hayo madeni yamekubana wapi mpaka uogope kukopa?Hela hatuna, tusikope sana ili kupunguza kutumia na madeni.
Tabora ni karibu sana na Burundi, Rwanda, DRC, Mwanza na Uganda. Tujenge bandari kavu kuubwa pale Tabora ili watu wa Mwanza, Uganda, Rwanda, Burundi, DRC na Kigoma wachukulie Tabora mizigo yao itakayoletwa na SGR hapo.
Tukipata faida hapo tutaendelea na ujenzi hadi Mwanza, Burundi Rwanda na DRC kama tulivyokuwa tumepanga.
Hii itasaidia kuepuka uharibifu wa barabara kutoka dar hadi Tabora lakini na kupunguza umbali na gharama kwa watu wa DRC, Rwanda, Burundi kufuata bidhaa zao Dsm.
Ili tusijitie uvivu kwenye ujenzi wa reli hii tufikirie zaidi mizigo na abiria kwwnda na kutoka mwanza, kagera, Mara, Simiyu, Chato, Shinyanga, Singida, Tabora na Kigoma kabla ya mizigo ya DRC, Rwanda, na Burundi. Lengo nadhani lilikuwa kupubguza uharibifu wa barabara kwa njia ya barabara na kupunguza bei za bidhaa kanda ya kati na ziwa.Umeandika kitu Cha kufikirisha Sana, maana huwezi kukosoa bila kuwa na data ya mizigo inayotoka sehemu husika.
Mwenye data atuletee Kwanza hapa tuone
Huwezi kujenga reli kwa mihenko kama hiyo, utafiti wa faida, hasara na mazingira ni lazima katika kila mradi.Na wewe tuo ujinga wako. Dunia nzima wanajenga Reli. Sisi tunataka kuishia Dodoma. Halifu baadaye tunalalamika. Ohooo Kenya wanatuzidi. Ohoo tungekuwa na reli mpaka kigoma ohoo sii unaona wezetu reli yao inafika mpaka Uganda [emoji1254]
Pesa imekopwa na itatakiwa kulipwa na riba. Lazima sgr ipite sehemu ya mizigo mingi ili pesa ipatikane deni lilipwe. Mizigo mingi mno ipo Zambia na DRC congo na ni Kutoka kwenye migodi ya Cobalt na Copper. Nenda katafute idadi ya mizigo inayopita bandarini Dar, je mingi inatoka nchi gani?Ili tusijitie uvivu kwenye ujenzi wa reli hii tufikirie zaidi mizigo na abiria kwwnda na kutoka mwanza, kagera, Mara, Simiyu, Chato, Shinyanga, Singida, Tabora na Kigoma kabla ya mizigo ya DRC, Rwanda, na Burundi. Lengo nadhani lilikuwa kupubguza uharibifu wa barabara kwa njia ya barabara na kupunguza bei za bidhaa kanda ya kati na ziwa.
Mbona huko kuna Tazara ambayo nayo ni SGR?Mradi wa sgr umetutia madeni. Halafu mradi ukikamilika utatutia madeni zaidi. Pia ramani ya mradi imekosewa. Reli ya sgr inatakiwa iende sehemu ya mizigo mingi. Na mizigo mingi ni shaba ya Zambia, na madini ya cobalt na shaba yaliyopo Lubumbashi/kolwezi/katanga DR Congo.
Sasa hii reli naona imepotea uelekeo wa mizigo mingi mno kwa hiyo haitarudisha hela. Kwa hiyo ni madeni juu ya madeni halafu riba. Mizigo mingi ipo kusini kwa Congo na Zambia. Halafu reli inaelekea mashariki mwa Congo
Hao Rwanda na Burundi hawana mzigo wa maana kuzidi Zambia na Cobalt na Copper ya Drc congo. Ilitakiwa SGR iende kwenye mizigo ya maana huko kwenye migodi ya zambia na Congo.
Hii sgr inayojengwa imekosewa kabisa. SGR ilitakiwa iwe Dar-Kapirimposhi-Lubumbashi(ikiwezekana ipite kwenye migodi ya Copper na Cobalt iliyopo Kolwezi, Mutanda huko Drc ndanindani)
Na hii ni SGR pia
Pale Chato kwa siku zinatua na kupaa ndege ngapi?SGR Kwenda mwanza kwanza haina tofauti na ulivyojengwa uwanja wa ndege mkubwa chato
Ili kuacha kukopa wabunge wako tayari walipwe nusu mishahara Na posho ili tupate pesa za kujenga reli kwa pesa yetu wenyewe? Au ndugai anataka nani akamuliwe atoe pesa ya kujenga reli?Wewe ukishakuwa Mr kopa kopa hasara ni mtoto wako
Pesa imekopwa na itatakiwa kulipwa na riba. Lazima sgr ipite sehemu ya mizigo mingi ili pesa ipatikane deni lilipwe. Mizigo mingi mno ipo Zambia na DRC congo na ni Kutoka kwenye migodi ya Cobalt na Copper. Nenda katafute idadi ya mizigo inayopita bandarini Dar, je mingi inatoka nchi gani?
Mbona huko kuna Tazara ambayo nayo ni SGR?
Tatizo sio miumdombinu bali watu ambao ni politicians ndo wenye kuamua
Maana amekazania copper belt Na cobalt