Ujerumani ina mpango wa kuwarudisha kwao wahamiaji waliotoka nchi za Kiislamu

Ujerumani ina mpango wa kuwarudisha kwao wahamiaji waliotoka nchi za Kiislamu

Watarudishwa tu au na wao watangangania kama wapalestina[emoji28][emoji28]
Haitotokea trust me maneno ya hasira watu wengi walitegemea baada ya 9/11 waarabu watawawekea ngumu ulaya na marekani ila the opposite ndio wanawapokea sana kuliko hata nchi za africa
 
Haitotokea trust me maneno ya hasira watu wengi walitegemea baada ya 9/11 waarabu watawawekea ngumu ulaya na marekani ila the opposite ndio wanawapokea sana kuliko hata nchi za africa

Ila inawezekana na ikifanyika hivyo hakuna kitu watafanya.
 
Hawawapendi wazungu mchana lakini usiku deep down wanalilia kuishi Ulaya
Kuna comment yangu sehemu nilimjibu mfia dini mmoja hivi nikamwambia; "... sehemu nzuri ya kupata mkate mmoja na mwingine kwa urahisi ni western zone.

Huko sijui Dubai, Oman ni uongo mkuu utapiga maisha mpaka unakiona kiyama hutoboi, for instant housemate kutoka Africa aliyepo western huwezi mlinganisha na aliye Arabic zone".
 
kiongozi wa uingereza akiongoza maandamano kutetea palestina
 

Attachments

  • Screenshot_20231023-143224_Instagram.jpg
    Screenshot_20231023-143224_Instagram.jpg
    94.8 KB · Views: 5
Bora na wao waondoke nchi za kiarabu na za kislamu wanatuibia sana

Wakristo wengi wanaishi nchi za kiarabu kuliko warabu wanavyo ishi kwao

Hawa akitokea mfalme wa kiarabu kama King Faisal ndio wangejua warabu hawana haja nao.
 
Ujerumani inampango wa kuanza kuwarudisha kwao wahamiaji waliotoka nchi za kiislamu nchini kwao

haya yamejili baada ya channellor wa ujerumani kutembelea nchi ya Israel na kushuhudia mauji ya raia wa Israel waliouliwa na magaidi wa kundi la HAMAS linalopewa support na Palestina pamoja na wafuasi wa dini ya kiislam

"The Chancellor of Germany returned home after a visit to Israel, where he saw what Hamas did to civilians. In response to seeing "migrants" openly supporting Hamas, the Chancellor said: 'It's time to start large-scale deportations.' "

"It's time to start large-scale deportations.' "

Naona nchi nyingi za ulaya zimeanza kuamka sasa kwa kukaribisha wahamiaji wanaosupport ugaidi ngoja tuone huu mchezo unavyoenda.

=========

Scholz says that Germany needs to expand deportations of rejected asylum-seekers​


ERLIN (AP) — Chancellor Olaf Scholz says Germany needs to start deporting “on a large scale” migrants who don't have the right to stay in the country, adding to increasingly tough talk on migration since his coalition performed badly in two state elections earlier this month.
Scholz's comments in an interview with weekly Der Spiegel were published Friday, as a leading German opposition figure called for the center-left chancellor to dump his quarrelsome coalition partners and instead form a government with conservatives to deal with migration issues.

Scholz has signaled an increased desire to take personal charge of migration over the past two weeks, following a pair of regional elections in which voters punished his three-party coalition, which has squabbled publicly on a wide range of subjects. Mainstream conservatives won both votes and the far-right Alternative for Germany made significant gains.

Last week, Scholz announced legislation to ease deportations of unsuccessful asylum-seekers. He met with opposition leader Friedrich Merz and two leading state governors to discuss ways of tackling migration — a subject on which his opponents have assailed the government relentlessly. On Monday, the government notified the European Commission of temporary border controls at the Polish, Czech and Swiss frontiers.

Shelters for migrants and refugees have been filling up in recent months as significant numbers of asylum-seekers add to more than 1 million Ukrainians who have arrived since the start of Russia's war in their homeland.

In Friday's interview, Scholz reiterated that “too many are coming.”

“We must finally deport on a large scale those who have no right to stay in Germany,” he was quoted as saying, adding that “we must deport more and faster.”

One of the opposition's top figures, Bavarian governor Markus Soeder, earlier Friday suggested that Scholz “dismiss” his junior coalition partners — the environmentalist Greens and the pro-business Free Democrats — and form a “government of national common sense” with his conservative Union bloc, German news agency dpa reported. He argued that there needs to be a “fundamental turnaround in migration policy.”

Asked what the chancellor thought of that idea, Scholz spokesperson Steffen Hebestreit replied: “Nothing.”
Safi sana, magaidi hawatakiwi duniani. Warudi makwao wakauane tu.
 
Kuna comment yangu sehemu nilimjibu mfia dini mmoja hivi nikamwambia; "... sehemu nzuri ya kupata mkate mmoja na mwingine kwa urahisi ni western zone.

Huko sijui Dubai, Oman ni uongo mkuu utapiga maisha mpaka unakiona kiyama hutoboi, for instant housemate kutoka Africa aliyepo western huwezi mlinganisha na aliye Arabic zone".
Unajielewa bro
 
Safi sana, magaidi hawatakiwi duniani. Warudi makwao wakauane tu.
Sasa waondoke au wasiondoke ulaya wewe inakusaidia nini? Hibi unajua muslim population ni 5% europe na inazidi kuongezeka kwasababu wana high fertility rate kulinganisha na wazungu ambao hawapendi kuzaa kwasababu moja au nyimgine ikiwemo ushoga nakadhalika, na hakuna sheria ya kuwarudisha unless wawe wameingia ilegally , by 2050 muslim will make 14% of europe fyi
 
Kwa anavyowapenda wazungu wa magharibi waziwazi MK254, hapo lazima akupe "like." Kazi Ipo.

Wazungu wanavuna walichopanda, kwa wao kupokea hayo mazombi isiyokua na fadhila ndicho kinachowaponza.
Mjifunze kwa Wahindi na Wachina ambao wakiingia kwenye nchi yoyote wao huwafanya mambo yao kimya kimya bila chokochoko zozote.
 
FaizaFoxy njoo upokee manyangau yako yanafukuzwa huko ulaya. waislamu ni watu wa vurugu na fujo hata ukiwakaribisha wanaleta umwamba ugenini what a bunch of idiots.

Na ndio maana hawakaribishani, kamwe hakuna nchi ya kiislamu itakaribisha wakimbizi wa kiislamu huku kinafiki wakiitana "muslim brotherhood" niambie sehemu wapo waislamu na hakuna vurugu.

View attachment 2790185 !!
Hahaaaaa
 
Back
Top Bottom