Ujerumani ina mpango wa kuwarudisha kwao wahamiaji waliotoka nchi za Kiislamu

Ujerumani ina mpango wa kuwarudisha kwao wahamiaji waliotoka nchi za Kiislamu

Usituunganishe humo ndugu. Tusio mshadadia mzungu wqla mwarabu tupo wwngi wa kunwaga. Nikukumbushe kuwa na matumizi mazuri ya neno "wenu."
We ni mwarabu?? Au kujikuta mmascut saaana
 
mbona wengine kutoka makoloni ya ujerumani/uingereza hawaleti fujo kwenye hizo nchi zilizokuwa wakokoni wao? Umewahi kusikia wacongo wanaleta vurugu ubelgiji? Waislam ndio wana vurugu kwenye nchi wanazokaribishwa hupenda sana maandamano na ghasia zingine kwa kujiona dunia yote ni yao. Unachanganya mambo hao wahamiaji wa kiislam hawakuhamia kwenye hizo nchi eti kwa kuwa zilikuwa mkoloni wao na ziliwanyonya. Wamekimbilia huko kukimbia sharia za kiislam nchini mwao, sasa wanahifadhiwa halafu wanaleta za kuleta kwenye nchi za watu. Hima hizo nchi zitunge sheria kuzuia itikadi za kiislam, ukitaka kuingia nchini mwao sharti uachane na uislam. Trump anawajua walivyo wakorofi ndio maana aliwapiga pin wasiingie nchini mwake wakamuona ni mbaguzi
Ufaransa wameshituka yaani mwanafunzi ukivaa kiushungi kichwani hutimbi darasani
 
Iyo ni cheap politics hawatoweza kufanya ivyo Mbona walishaambiwa kuwa wakitaka wakimbizi wasije kwenye nchi zao waache kuchochea vita middle east wengi walikuwa wanajiuliza kwanini wakimbizi wengi wanakimbilia ulaya jibu..ni kuwa karibu nchi zote wakimbizi wanazokimbilia zipo NATO na wao ndio wanasababisha vita karibu middle east yote..tena wamshukuru sana Turkey kwa kufunga mipaka yake nje na apo ulaya yote wangeisoma namba..
 
Ufaransa wameshituka yaani mwanafunzi ukivaa kiushungi kichwani hutimbi darasani
ufaransa kumruhusu ngamia aingize kichwa kwe kibanda chao ngamia akaingiza mwili mzima kibanda kikapata kasheshe. Too late, kule scandinavia wachukue tahadhari walishaoneshwa taa ya njano wakipuuza wanakula nyekundu.
 
Bora na wao waondoke nchi za kiarabu na za kislamu wanatuibia sana

Wakristo wengi wanaishi nchi za kiarabu kuliko warabu wanavyo ishi kwao

Hawa akitokea mfalme wa kiarabu kama King Faisal ndio wangejua warabu hawana haja nao.

Wazee wa kutwist habari,wakristo hao wanaishi vipi nchi ambazo hata ukionwa una biblia adhabu yake kifo.
 
MK254 Kuna wito wako huku ..

Mimi nikianza kukutag kwa maukatili ya hao miungu wenu waarabu mbona utakimbia....
Suala sio mzungu kutupenda, maana sio lazima tupendwe, ila kufanyiwa ukatili wa kinyama unaofanywa hadi leo hii na hao miarabu.
 
Usituunganishe humo ndugu. Tusio mshadadia mzungu wqla mwarabu tupo wwngi wa kunwaga. Nikukumbushe kuwa na matumizi mazuri ya neno "wenu."

Aha wapi nyie mpaka kujifunza kiarabu kwa kujiaminisha ndio lugha ya binguni, hao makatili sielewi walianzishaje dini na kuaminika na uchafu wao huo

screenshot_20220731-204338-2-jpg.2310321
 
Aha wapi nyie mpaka kujifunza kiarabu kwa kujiaminisha ndio lugha ya binguni, hao makatili sielewi walianzishaje dini na kuaminika na uchafu wao huo

screenshot_20220731-204338-2-jpg.2310321

Uislamu na ukristo siyo dini pekee duniani ndugu. Kudhania ni Suala na ukristo au uislamu Kila mahali ni ufinyu wako wa mawazo.
 
Ujerumani inampango wa kuanza kuwarudisha kwao wahamiaji waliotoka nchi za kiislamu nchini kwao

haya yamejili baada ya channellor wa ujerumani kutembelea nchi ya Israel na kushuhudia mauji ya raia wa Israel waliouliwa na magaidi wa kundi la HAMAS linalopewa support na Palestina pamoja na wafuasi wa dini ya kiislam

"The Chancellor of Germany returned home after a visit to Israel, where he saw what Hamas did to civilians. In response to seeing "migrants" openly supporting Hamas, the Chancellor said: 'It's time to start large-scale deportations.' "

"It's time to start large-scale deportations.' "

Naona nchi nyingi za ulaya zimeanza kuamka sasa kwa kukaribisha wahamiaji wanaosupport ugaidi ngoja tuone huu mchezo unavyoenda.

=========

Scholz says that Germany needs to expand deportations of rejected asylum-seekers​


ERLIN (AP) — Chancellor Olaf Scholz says Germany needs to start deporting “on a large scale” migrants who don't have the right to stay in the country, adding to increasingly tough talk on migration since his coalition performed badly in two state elections earlier this month.
Scholz's comments in an interview with weekly Der Spiegel were published Friday, as a leading German opposition figure called for the center-left chancellor to dump his quarrelsome coalition partners and instead form a government with conservatives to deal with migration issues.

Scholz has signaled an increased desire to take personal charge of migration over the past two weeks, following a pair of regional elections in which voters punished his three-party coalition, which has squabbled publicly on a wide range of subjects. Mainstream conservatives won both votes and the far-right Alternative for Germany made significant gains.

Last week, Scholz announced legislation to ease deportations of unsuccessful asylum-seekers. He met with opposition leader Friedrich Merz and two leading state governors to discuss ways of tackling migration — a subject on which his opponents have assailed the government relentlessly. On Monday, the government notified the European Commission of temporary border controls at the Polish, Czech and Swiss frontiers.

Shelters for migrants and refugees have been filling up in recent months as significant numbers of asylum-seekers add to more than 1 million Ukrainians who have arrived since the start of Russia's war in their homeland.

In Friday's interview, Scholz reiterated that “too many are coming.”

“We must finally deport on a large scale those who have no right to stay in Germany,” he was quoted as saying, adding that “we must deport more and faster.”

One of the opposition's top figures, Bavarian governor Markus Soeder, earlier Friday suggested that Scholz “dismiss” his junior coalition partners — the environmentalist Greens and the pro-business Free Democrats — and form a “government of national common sense” with his conservative Union bloc, German news agency dpa reported. He argued that there needs to be a “fundamental turnaround in migration policy.”

Asked what the chancellor thought of that idea, Scholz spokesperson Steffen Hebestreit replied: “Nothing.”

AP
The bitter truth, unafikri kwa nini Political Islamist, hata nchi za kiislam zinawaogopa, Misri,turkey, Pakistan, Malaysia,?
Islamists/fundamentalist, ni mfumo mbaya Sana, kuruhusu plotical social institution, ziendeshwe kwa misingi ya kiislam, ni balaa tupu, mkiwakaribisha wakimbizi kutoka nchi za kiislam, wanakuja mikono nyuma, wakishapewa uraia, wanazaliana, wakiwa wengi kwenye kitongoji, watataka zitumike Sharia kwenye nchi za kikristo!
 
Waziri Mkuu wa Uingereza mwenyewe ni Mdosi.
 
Waziri Mkuu wa Scotland Hamza Yusuf amependekeza kuwahamishia Wapalestina wa Gaza ili wakaishi Uingereza.

Halafu ninyi Wabantu wa Buza roho ziwaume, nendeni mkaloge.
 
FaizaFoxy njoo upokee manyangau yako yanafukuzwa huko ulaya. waislamu ni watu wa vurugu na fujo hata ukiwakaribisha wanaleta umwamba ugenini what a bunch of idiots.

Na ndio maana hawakaribishani, kamwe hakuna nchi ya kiislamu itakaribisha wakimbizi wa kiislamu huku kinafiki wakiitana "muslim brotherhood" niambie sehemu wapo waislamu na hakuna vurugu.

View attachment 2790185 !!
Migogoro ya sasa ya Mashariki ya kati ilianza baada ya mazishi ya mtume wao.
 
Bora na wao waondoke nchi za kiarabu na za kislamu wanatuibia sana

Wakristo wengi wanaishi nchi za kiarabu kuliko warabu wanavyo ishi kwao

Hawa akitokea mfalme wa kiarabu kama King Faisal ndio wangejua warabu hawana haja nao.
Wakimbizi wa Iraq na Iraq hukimbilia Turkey hili waende Ulaya, lakini huwa hawapendi Qatar, UAE au Saudia,
 
FaizaFoxy njoo upokee manyangau yako yanafukuzwa huko ulaya. waislamu ni watu wa vurugu na fujo hata ukiwakaribisha wanaleta umwamba ugenini what a bunch of idiots.

Na ndio maana hawakaribishani, kamwe hakuna nchi ya kiislamu itakaribisha wakimbizi wa kiislamu huku kinafiki wakiitana "muslim brotherhood" niambie sehemu wapo waislamu na hakuna vurugu.

View attachment 2790185 !!

Mimi sio mtabiri ila huyo aliyeandika hiyo tweet atakua mhindu jamaa wanachuki sana na waislam wale sijui waliwafanya nini
 
Kama Waislam walicopy story za Wayahudi kuhusu Mussa na Wakristo kuhusu Yesu, bado wakaamua kufundishana kuwa zimeshushwa, na hili tu, anaweza kuua ukihoji
 
Back
Top Bottom