Ujerumani ina mpango wa kuwarudisha kwao wahamiaji waliotoka nchi za Kiislamu

Ujerumani ina mpango wa kuwarudisha kwao wahamiaji waliotoka nchi za Kiislamu

Wazungu wanavuna walichopanda, kwa wao kupokea hayo mazombi isiyokua na fadhila ndicho kinachowaponza.
Mjifunze kwa Wahindi na Wachina ambao wakiingia kwenye nchi yoyote wao huwafanya mambo yao kimya kimya bila chokochoko zozote.

Hivi mkuu mzungu wa magharibi Kuna jambo anaweza fanya ukamkosoa kweli? Ka mfano kadogo kangependeza kukaona.
 
Bora na wao waondoke nchi za kiarabu na za kislamu wanatuibia sana

Wakristo wengi wanaishi nchi za kiarabu kuliko warabu wanavyo ishi kwao

Hawa akitokea mfalme wa kiarabu kama King Faisal ndio wangejua warabu hawana haja nao.
umeropoka au upo serious?
 
All asylum seekers = Muslims ???
All Muslims = Asylum Seekers ????

Huyo Chancellor hakuna sehemu ametaja Muslims, ametaja Asylum Seekers/Migrants
 
Ujerumani inampango wa kuanza kuwarudisha kwao wahamiaji waliotoka nchi za kiislamu nchini kwao

haya yamejili baada ya channellor wa ujerumani kutembelea nchi ya Israel na kushuhudia mauji ya raia wa Israel waliouliwa na magaidi wa kundi la HAMAS linalopewa support na Palestina pamoja na wafuasi wa dini ya kiislam

"The Chancellor of Germany returned home after a visit to Israel, where he saw what Hamas did to civilians. In response to seeing "migrants" openly supporting Hamas, the Chancellor said: 'It's time to start large-scale deportations.' "

"It's time to start large-scale deportations.' "

Naona nchi nyingi za ulaya zimeanza kuamka sasa kwa kukaribisha wahamiaji wanaosupport ugaidi ngoja tuone huu mchezo unavyoenda.

=========

Scholz says that Germany needs to expand deportations of rejected asylum-seekers​


ERLIN (AP) — Chancellor Olaf Scholz says Germany needs to start deporting “on a large scale” migrants who don't have the right to stay in the country, adding to increasingly tough talk on migration since his coalition performed badly in two state elections earlier this month.
Scholz's comments in an interview with weekly Der Spiegel were published Friday, as a leading German opposition figure called for the center-left chancellor to dump his quarrelsome coalition partners and instead form a government with conservatives to deal with migration issues.

Scholz has signaled an increased desire to take personal charge of migration over the past two weeks, following a pair of regional elections in which voters punished his three-party coalition, which has squabbled publicly on a wide range of subjects. Mainstream conservatives won both votes and the far-right Alternative for Germany made significant gains.

Last week, Scholz announced legislation to ease deportations of unsuccessful asylum-seekers. He met with opposition leader Friedrich Merz and two leading state governors to discuss ways of tackling migration — a subject on which his opponents have assailed the government relentlessly. On Monday, the government notified the European Commission of temporary border controls at the Polish, Czech and Swiss frontiers.

Shelters for migrants and refugees have been filling up in recent months as significant numbers of asylum-seekers add to more than 1 million Ukrainians who have arrived since the start of Russia's war in their homeland.

In Friday's interview, Scholz reiterated that “too many are coming.”

“We must finally deport on a large scale those who have no right to stay in Germany,” he was quoted as saying, adding that “we must deport more and faster.”

One of the opposition's top figures, Bavarian governor Markus Soeder, earlier Friday suggested that Scholz “dismiss” his junior coalition partners — the environmentalist Greens and the pro-business Free Democrats — and form a “government of national common sense” with his conservative Union bloc, German news agency dpa reported. He argued that there needs to be a “fundamental turnaround in migration policy.”

Asked what the chancellor thought of that idea, Scholz spokesperson Steffen Hebestreit replied: “Nothing.”

AP
Bora ili wajerumani waneze ushoga maana waislam ndio wakiwapinga. Wakiristo nafasi hizo
 
Ujerumani inampango wa kuanza kuwarudisha kwao wahamiaji waliotoka nchi za kiislamu nchini kwao

haya yamejili baada ya channellor wa ujerumani kutembelea nchi ya Israel na kushuhudia mauji ya raia wa Israel waliouliwa na magaidi wa kundi la HAMAS linalopewa support na Palestina pamoja na wafuasi wa dini ya kiislam

"The Chancellor of Germany returned home after a visit to Israel, where he saw what Hamas did to civilians. In response to seeing "migrants" openly supporting Hamas, the Chancellor said: 'It's time to start large-scale deportations.' "

"It's time to start large-scale deportations.' "

Naona nchi nyingi za ulaya zimeanza kuamka sasa kwa kukaribisha wahamiaji wanaosupport ugaidi ngoja tuone huu mchezo unavyoenda.

=========

Scholz says that Germany needs to expand deportations of rejected asylum-seekers​


ERLIN (AP) — Chancellor Olaf Scholz says Germany needs to start deporting “on a large scale” migrants who don't have the right to stay in the country, adding to increasingly tough talk on migration since his coalition performed badly in two state elections earlier this month.
Scholz's comments in an interview with weekly Der Spiegel were published Friday, as a leading German opposition figure called for the center-left chancellor to dump his quarrelsome coalition partners and instead form a government with conservatives to deal with migration issues.

Scholz has signaled an increased desire to take personal charge of migration over the past two weeks, following a pair of regional elections in which voters punished his three-party coalition, which has squabbled publicly on a wide range of subjects. Mainstream conservatives won both votes and the far-right Alternative for Germany made significant gains.

Last week, Scholz announced legislation to ease deportations of unsuccessful asylum-seekers. He met with opposition leader Friedrich Merz and two leading state governors to discuss ways of tackling migration — a subject on which his opponents have assailed the government relentlessly. On Monday, the government notified the European Commission of temporary border controls at the Polish, Czech and Swiss frontiers.

Shelters for migrants and refugees have been filling up in recent months as significant numbers of asylum-seekers add to more than 1 million Ukrainians who have arrived since the start of Russia's war in their homeland.

In Friday's interview, Scholz reiterated that “too many are coming.”

“We must finally deport on a large scale those who have no right to stay in Germany,” he was quoted as saying, adding that “we must deport more and faster.”

One of the opposition's top figures, Bavarian governor Markus Soeder, earlier Friday suggested that Scholz “dismiss” his junior coalition partners — the environmentalist Greens and the pro-business Free Democrats — and form a “government of national common sense” with his conservative Union bloc, German news agency dpa reported. He argued that there needs to be a “fundamental turnaround in migration policy.”

Asked what the chancellor thought of that idea, Scholz spokesperson Steffen Hebestreit replied: “Nothing.”

AP

Iwarudishe tu, maana hao ni watu wa hovyo. Kazi kuzaana tu. Wee kitoto kina miaka 16 mimba hiyo.
 
Ujerumani inampango wa kuanza kuwarudisha kwao wahamiaji waliotoka nchi za kiislamu nchini kwao

haya yamejili baada ya channellor wa ujerumani kutembelea nchi ya Israel na kushuhudia mauji ya raia wa Israel waliouliwa na magaidi wa kundi la HAMAS linalopewa support na Palestina pamoja na wafuasi wa dini ya kiislam

"The Chancellor of Germany returned home after a visit to Israel, where he saw what Hamas did to civilians. In response to seeing "migrants" openly supporting Hamas, the Chancellor said: 'It's time to start large-scale deportations.' "

"It's time to start large-scale deportations.' "

Naona nchi nyingi za ulaya zimeanza kuamka sasa kwa kukaribisha wahamiaji wanaosupport ugaidi ngoja tuone huu mchezo unavyoenda.

=========

Scholz says that Germany needs to expand deportations of rejected asylum-seekers​


ERLIN (AP) — Chancellor Olaf Scholz says Germany needs to start deporting “on a large scale” migrants who don't have the right to stay in the country, adding to increasingly tough talk on migration since his coalition performed badly in two state elections earlier this month.
Scholz's comments in an interview with weekly Der Spiegel were published Friday, as a leading German opposition figure called for the center-left chancellor to dump his quarrelsome coalition partners and instead form a government with conservatives to deal with migration issues.

Scholz has signaled an increased desire to take personal charge of migration over the past two weeks, following a pair of regional elections in which voters punished his three-party coalition, which has squabbled publicly on a wide range of subjects. Mainstream conservatives won both votes and the far-right Alternative for Germany made significant gains.

Last week, Scholz announced legislation to ease deportations of unsuccessful asylum-seekers. He met with opposition leader Friedrich Merz and two leading state governors to discuss ways of tackling migration — a subject on which his opponents have assailed the government relentlessly. On Monday, the government notified the European Commission of temporary border controls at the Polish, Czech and Swiss frontiers.

Shelters for migrants and refugees have been filling up in recent months as significant numbers of asylum-seekers add to more than 1 million Ukrainians who have arrived since the start of Russia's war in their homeland.

In Friday's interview, Scholz reiterated that “too many are coming.”

“We must finally deport on a large scale those who have no right to stay in Germany,” he was quoted as saying, adding that “we must deport more and faster.”

One of the opposition's top figures, Bavarian governor Markus Soeder, earlier Friday suggested that Scholz “dismiss” his junior coalition partners — the environmentalist Greens and the pro-business Free Democrats — and form a “government of national common sense” with his conservative Union bloc, German news agency dpa reported. He argued that there needs to be a “fundamental turnaround in migration policy.”

Asked what the chancellor thought of that idea, Scholz spokesperson Steffen Hebestreit replied: “Nothing.”

AP
Bora!
 
Hivi mkuu mzungu wa magharibi Kuna jambo anaweza fanya ukamkosoa kweli? Ka mfano kadogo kangependeza kukaona.

Isingekua kwa wazungu tungekua tunaishi maisha ya hovyo sana, kaa utafakari hilo, wazungu hunikera tu kwa ushoga lakini mengine huwa nawaombea sana maana dunia hii tungekua chini ya utawala wa hao waarabu wenu mbona tungekoma kwa yalivyo na roho za kishetani licha ya nyie kuwaabudu.
 
Isingekua kwa wazungu tungekua tunaishi maisha ya hovyo sana, kaa utafakari hilo, wazungu hunikera tu kwa ushoga lakini mengine huwa nawaombea sana maana dunia hii tungekua chini ya utawala wa hao waarabu wenu mbona tungekoma kwa yalivyo na roho za kishetani licha ya nyie kuwaabudu.

Taabu yako ni kudhani kumpiga dongo mzungu ni lazima uwe swahiba was race nyingine. Huwezi kuwa wewe ndugu?

Kumbe ni ushoga tu wenye taabu nao? Ubaguzi wao wa rangi hukuwahi kuusikia au huo kwako ni sawa?
 
Too late, imechelewa, walitakiwa wawe na sheria kali kuwa ukiingia ujerumani itikadi za kiislam uziache kwenu ulikotoka. Wamejenga mamisikiti mengi utawaambia nine wakuelewe. Ufaransa inakipata cha moto, wana fujo wamefanya ufaransa ndio kwao wakati ni wahamiaji tu wasiokuwa na adabu na nchi za watu. Ulaya nzima inatakiwa iwe na sheria moja kali hakuna kuingia huko na itikadi za kiislam. Wanahamia kwenye nchi za watu halafu wanakosa adabu na kuleta fuja bila kujali kama ni wahamiaji
endeleeni kuota ndoto za mchana. Kwani hao ufaransa si ndiyo wa kwanza kwenda kutawala kwenye hizo nchi zao na kuwafanyia vurugu na kuwaibia rasilmali zao. Leo hii wache walipe kile walichoiba huko kwenye nchi zao.
 
Halafu hizo chuki mnazo nyie watu weusi ila wenyewe bado wanawahitaji na hawana chuki hizo , cheki top three ya green card ya marekani wote waarabu hao , acheni chuki za kijinga waarabu na waislamu wataendelea kuishi popote na hatutokuwa mabubu kwenye kuisemea haki popote
Kwanini wanakimbilia nchi za makafiri kwanini wasikimbilie kuwait

Sent from my Pixel 5 using JamiiForums mobile app
 
Taabu yako ni kudhani kumpiga dongo mzungu ni lazima uwe swahiba was race nyingine. Huwezi kuwa wewe ndugu?

Kumbe ni ushoga tu wenye taabu nao? Ubaguzi wao wa rangi hukuwahi kuusikia au huo kwako ni sawa?

Ubaguzi upo kwa wazungu lakini hauwezi kufikia hata robo ya maukatili ya hao waarabu wenu, jameni Waafrika huteswa sana na Waarabu, ni watu wa ajabu sana kiasi cha mimi kutoelewa ilitokeaje wakaanzisha dini, ni majitu yenye ushetwani mwingi sana yale.
 
Watakuja kutuchukuwa sisi wakristo wenzao wa Africa tunaowapenda na wao wanatupenda sana .. tukajenge makanisa mapya ya Ufunuo.

Kujipendekeza tu hakuna mzungu anaempenda Mu Afrika! Kila cku tunalia ubaguz wa rangi lkn bdo kujipendekeza kwao
 
Ubaguzi upo kwa wazungu lakini hauwezi kufikia hata robo ya maukatili ya hao waarabu wenu, jameni Waafrika huteswa sana na Waarabu, ni watu wa ajabu sana kiasi cha mimi kutoelewa ilitokeaje wakaanzisha dini, ni majitu yenye ushetwani mwingi sana yale.

Usituunganishe humo ndugu. Tusio mshadadia mzungu wqla mwarabu tupo wwngi wa kunwaga. Nikukumbushe kuwa na matumizi mazuri ya neno "wenu."
 
endeleeni kuota ndoto za mchana. Kwani hao ufaransa si ndiyo wa kwanza kwenda kutawala kwenye hizo nchi zao na kuwafanyia vurugu na kuwaibia rasilmali zao. Leo hii wache walipe kile walichoiba huko kwenye nchi zao.
mbona wengine kutoka makoloni ya ujerumani/uingereza hawaleti fujo kwenye hizo nchi zilizokuwa wakokoni wao? Umewahi kusikia wacongo wanaleta vurugu ubelgiji? Waislam ndio wana vurugu kwenye nchi wanazokaribishwa hupenda sana maandamano na ghasia zingine kwa kujiona dunia yote ni yao. Unachanganya mambo hao wahamiaji wa kiislam hawakuhamia kwenye hizo nchi eti kwa kuwa zilikuwa mkoloni wao na ziliwanyonya. Wamekimbilia huko kukimbia sharia za kiislam nchini mwao, sasa wanahifadhiwa halafu wanaleta za kuleta kwenye nchi za watu. Hima hizo nchi zitunge sheria kuzuia itikadi za kiislam, ukitaka kuingia nchini mwao sharti uachane na uislam. Trump anawajua walivyo wakorofi ndio maana aliwapiga pin wasiingie nchini mwake wakamuona ni mbaguzi
 
FaizaFoxy njoo upokee manyangau yako yanafukuzwa huko ulaya. waislamu ni watu wa vurugu na fujo hata ukiwakaribisha wanaleta umwamba ugenini what a bunch of idiots.

Na ndio maana hawakaribishani, kamwe hakuna nchi ya kiislamu itakaribisha wakimbizi wa kiislamu huku kinafiki wakiitana "muslim brotherhood" niambie sehemu wapo waislamu na hakuna vurugu.

View attachment 2790185 !!
Wanapenda sana ngumi akina shehe mwaipopo na visomo uchwara
 
Back
Top Bottom