Ujerumani ina mpango wa kuwarudisha kwao wahamiaji waliotoka nchi za Kiislamu

Wazungu wanavuna walichopanda, kwa wao kupokea hayo mazombi isiyokua na fadhila ndicho kinachowaponza.
Mjifunze kwa Wahindi na Wachina ambao wakiingia kwenye nchi yoyote wao huwafanya mambo yao kimya kimya bila chokochoko zozote.

Hivi mkuu mzungu wa magharibi Kuna jambo anaweza fanya ukamkosoa kweli? Ka mfano kadogo kangependeza kukaona.
 
Bora na wao waondoke nchi za kiarabu na za kislamu wanatuibia sana

Wakristo wengi wanaishi nchi za kiarabu kuliko warabu wanavyo ishi kwao

Hawa akitokea mfalme wa kiarabu kama King Faisal ndio wangejua warabu hawana haja nao.
umeropoka au upo serious?
 
All asylum seekers = Muslims ???
All Muslims = Asylum Seekers ????

Huyo Chancellor hakuna sehemu ametaja Muslims, ametaja Asylum Seekers/Migrants
 
Bora ili wajerumani waneze ushoga maana waislam ndio wakiwapinga. Wakiristo nafasi hizo
 

Iwarudishe tu, maana hao ni watu wa hovyo. Kazi kuzaana tu. Wee kitoto kina miaka 16 mimba hiyo.
 
All asylum seekers = Muslims ???
All Muslims = Asylum Seekers ????

Huyo Chancellor hakuna sehemu ametaja Muslims, ametaja Asylum Seekers/Migrants

99.99% ya asylum wanatokea maeneo yenye imani gani?
 
Bora!
 
Hivi mkuu mzungu wa magharibi Kuna jambo anaweza fanya ukamkosoa kweli? Ka mfano kadogo kangependeza kukaona.

Isingekua kwa wazungu tungekua tunaishi maisha ya hovyo sana, kaa utafakari hilo, wazungu hunikera tu kwa ushoga lakini mengine huwa nawaombea sana maana dunia hii tungekua chini ya utawala wa hao waarabu wenu mbona tungekoma kwa yalivyo na roho za kishetani licha ya nyie kuwaabudu.
 

Taabu yako ni kudhani kumpiga dongo mzungu ni lazima uwe swahiba was race nyingine. Huwezi kuwa wewe ndugu?

Kumbe ni ushoga tu wenye taabu nao? Ubaguzi wao wa rangi hukuwahi kuusikia au huo kwako ni sawa?
 
endeleeni kuota ndoto za mchana. Kwani hao ufaransa si ndiyo wa kwanza kwenda kutawala kwenye hizo nchi zao na kuwafanyia vurugu na kuwaibia rasilmali zao. Leo hii wache walipe kile walichoiba huko kwenye nchi zao.
 
Kwanini wanakimbilia nchi za makafiri kwanini wasikimbilie kuwait

Sent from my Pixel 5 using JamiiForums mobile app
 
Taabu yako ni kudhani kumpiga dongo mzungu ni lazima uwe swahiba was race nyingine. Huwezi kuwa wewe ndugu?

Kumbe ni ushoga tu wenye taabu nao? Ubaguzi wao wa rangi hukuwahi kuusikia au huo kwako ni sawa?

Ubaguzi upo kwa wazungu lakini hauwezi kufikia hata robo ya maukatili ya hao waarabu wenu, jameni Waafrika huteswa sana na Waarabu, ni watu wa ajabu sana kiasi cha mimi kutoelewa ilitokeaje wakaanzisha dini, ni majitu yenye ushetwani mwingi sana yale.
 
Watakuja kutuchukuwa sisi wakristo wenzao wa Africa tunaowapenda na wao wanatupenda sana .. tukajenge makanisa mapya ya Ufunuo.

Kujipendekeza tu hakuna mzungu anaempenda Mu Afrika! Kila cku tunalia ubaguz wa rangi lkn bdo kujipendekeza kwao
 

Usituunganishe humo ndugu. Tusio mshadadia mzungu wqla mwarabu tupo wwngi wa kunwaga. Nikukumbushe kuwa na matumizi mazuri ya neno "wenu."
 
endeleeni kuota ndoto za mchana. Kwani hao ufaransa si ndiyo wa kwanza kwenda kutawala kwenye hizo nchi zao na kuwafanyia vurugu na kuwaibia rasilmali zao. Leo hii wache walipe kile walichoiba huko kwenye nchi zao.
mbona wengine kutoka makoloni ya ujerumani/uingereza hawaleti fujo kwenye hizo nchi zilizokuwa wakokoni wao? Umewahi kusikia wacongo wanaleta vurugu ubelgiji? Waislam ndio wana vurugu kwenye nchi wanazokaribishwa hupenda sana maandamano na ghasia zingine kwa kujiona dunia yote ni yao. Unachanganya mambo hao wahamiaji wa kiislam hawakuhamia kwenye hizo nchi eti kwa kuwa zilikuwa mkoloni wao na ziliwanyonya. Wamekimbilia huko kukimbia sharia za kiislam nchini mwao, sasa wanahifadhiwa halafu wanaleta za kuleta kwenye nchi za watu. Hima hizo nchi zitunge sheria kuzuia itikadi za kiislam, ukitaka kuingia nchini mwao sharti uachane na uislam. Trump anawajua walivyo wakorofi ndio maana aliwapiga pin wasiingie nchini mwake wakamuona ni mbaguzi
 
Wanapenda sana ngumi akina shehe mwaipopo na visomo uchwara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…