Ujerumani ina mpango wa kuwarudisha kwao wahamiaji waliotoka nchi za Kiislamu

Usituunganishe humo ndugu. Tusio mshadadia mzungu wqla mwarabu tupo wwngi wa kunwaga. Nikukumbushe kuwa na matumizi mazuri ya neno "wenu."
We ni mwarabu?? Au kujikuta mmascut saaana
 
Ufaransa wameshituka yaani mwanafunzi ukivaa kiushungi kichwani hutimbi darasani
 
Iyo ni cheap politics hawatoweza kufanya ivyo Mbona walishaambiwa kuwa wakitaka wakimbizi wasije kwenye nchi zao waache kuchochea vita middle east wengi walikuwa wanajiuliza kwanini wakimbizi wengi wanakimbilia ulaya jibu..ni kuwa karibu nchi zote wakimbizi wanazokimbilia zipo NATO na wao ndio wanasababisha vita karibu middle east yote..tena wamshukuru sana Turkey kwa kufunga mipaka yake nje na apo ulaya yote wangeisoma namba..
 
Ufaransa wameshituka yaani mwanafunzi ukivaa kiushungi kichwani hutimbi darasani
ufaransa kumruhusu ngamia aingize kichwa kwe kibanda chao ngamia akaingiza mwili mzima kibanda kikapata kasheshe. Too late, kule scandinavia wachukue tahadhari walishaoneshwa taa ya njano wakipuuza wanakula nyekundu.
 
Bora na wao waondoke nchi za kiarabu na za kislamu wanatuibia sana

Wakristo wengi wanaishi nchi za kiarabu kuliko warabu wanavyo ishi kwao

Hawa akitokea mfalme wa kiarabu kama King Faisal ndio wangejua warabu hawana haja nao.

Wazee wa kutwist habari,wakristo hao wanaishi vipi nchi ambazo hata ukionwa una biblia adhabu yake kifo.
 
MK254 Kuna wito wako huku ..

Mimi nikianza kukutag kwa maukatili ya hao miungu wenu waarabu mbona utakimbia....
Suala sio mzungu kutupenda, maana sio lazima tupendwe, ila kufanyiwa ukatili wa kinyama unaofanywa hadi leo hii na hao miarabu.
 
Usituunganishe humo ndugu. Tusio mshadadia mzungu wqla mwarabu tupo wwngi wa kunwaga. Nikukumbushe kuwa na matumizi mazuri ya neno "wenu."

Aha wapi nyie mpaka kujifunza kiarabu kwa kujiaminisha ndio lugha ya binguni, hao makatili sielewi walianzishaje dini na kuaminika na uchafu wao huo

 
Aha wapi nyie mpaka kujifunza kiarabu kwa kujiaminisha ndio lugha ya binguni, hao makatili sielewi walianzishaje dini na kuaminika na uchafu wao huo


Uislamu na ukristo siyo dini pekee duniani ndugu. Kudhania ni Suala na ukristo au uislamu Kila mahali ni ufinyu wako wa mawazo.
 
The bitter truth, unafikri kwa nini Political Islamist, hata nchi za kiislam zinawaogopa, Misri,turkey, Pakistan, Malaysia,?
Islamists/fundamentalist, ni mfumo mbaya Sana, kuruhusu plotical social institution, ziendeshwe kwa misingi ya kiislam, ni balaa tupu, mkiwakaribisha wakimbizi kutoka nchi za kiislam, wanakuja mikono nyuma, wakishapewa uraia, wanazaliana, wakiwa wengi kwenye kitongoji, watataka zitumike Sharia kwenye nchi za kikristo!
 
Waziri Mkuu wa Uingereza mwenyewe ni Mdosi.
 
Waziri Mkuu wa Scotland Hamza Yusuf amependekeza kuwahamishia Wapalestina wa Gaza ili wakaishi Uingereza.

Halafu ninyi Wabantu wa Buza roho ziwaume, nendeni mkaloge.
 
Migogoro ya sasa ya Mashariki ya kati ilianza baada ya mazishi ya mtume wao.
 
Bora na wao waondoke nchi za kiarabu na za kislamu wanatuibia sana

Wakristo wengi wanaishi nchi za kiarabu kuliko warabu wanavyo ishi kwao

Hawa akitokea mfalme wa kiarabu kama King Faisal ndio wangejua warabu hawana haja nao.
Wakimbizi wa Iraq na Iraq hukimbilia Turkey hili waende Ulaya, lakini huwa hawapendi Qatar, UAE au Saudia,
 

Mimi sio mtabiri ila huyo aliyeandika hiyo tweet atakua mhindu jamaa wanachuki sana na waislam wale sijui waliwafanya nini
 
Kama Waislam walicopy story za Wayahudi kuhusu Mussa na Wakristo kuhusu Yesu, bado wakaamua kufundishana kuwa zimeshushwa, na hili tu, anaweza kuua ukihoji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…