Ujerumani kutumia dola bilioni 4.3 kununulia mfumo wa ulinzi wa anga aina ya Arrow 3 kutoka nchini Israel.

Ujerumani kutumia dola bilioni 4.3 kununulia mfumo wa ulinzi wa anga aina ya Arrow 3 kutoka nchini Israel.

Wenzako waliacha kuongea huu ujinga mwaka jana kwenye ule uzi wenu pendwa baada ya kupewa nyundo za kutosha kuonyeshwa jinsi walivyo vilaza.
Tech pekee ya Marekani ni kuchapisha zile karatasi mnazozihusudu na kuziita dola
 
Humu watu munavyoongea utazaa wanajeshi wastaafu ambao washawahi kutumia hiyo mifumo yote kumba mpaka hivi tunaongea haupo hata mfumo mmoja bara zima sio nchini Tanzania tu bali bara zima hakuna
Wachambuzi wengi wa Mambo ya kijeshi sio Wanajeshi na hawachagui ukubwa au uwezo wa silaha.
 
Hilo ni swali la msingi kwa nchi washamba kama Warusi, yani Warusi hawawezi nunua kitu cha rafiki yao hata kiwe superior kwa cha kwao. Air defense inatumia concept ya integration. Hautumii system ya aina moja au manufacturer mmoja, hata China ina air defense systems nyingi za kwake ila bado inazo S-400 za Urusi.

Marekani inazo za kutosha ila bado ilinunua za Israel. Israel inazo za kwake nyingi ila bado ilinunua Patriot na systems nyingine za Marekani. Bado Marekani hiyo hiyo imewekeza na kutoa technical support kwa Israel kutengeneza systems kama Iron Dome. Ukiachana na support hiyo ya teknolojia bado Marekani inatoa fungu kwa mwaka zaidi ya $3 billion kusaidia jeshi la Israel na baadhi ya hela inaenda kwa R&D ya hizo silaha.

Arrow 3 kuna US tech hapo. Na uzuri wa hiyo system ni hit to kill, sio yenye close proximity na fragmentations nyingi kama za Warusi ambazo hulazimika ziwe na warhead kubwa ndio zifanye interception. Arrow 3 na Patriot version mpya hazina warhead au zina ndogo sana, na zimepunguza ukubwa wa missile na kuongeza range sababu ya teknolojia kubwa kama seeker, manoeuvrability na uwezo wa kompyuta.
Lakini urusi amekua akinunua silaha nyingi tu kama Drones na makombora kutoka hiran na China
 
Hilo ni swali la msingi kwa nchi washamba kama Warusi, yani Warusi hawawezi nunua kitu cha rafiki yao hata kiwe superior kwa cha kwao. Air defense inatumia concept ya integration. Hautumii system ya aina moja au manufacturer mmoja, hata China ina air defense systems nyingi za kwake ila bado inazo S-400 za Urusi.
We jamaa chuki inakupotezea weledi kwenye uchambuzi wa baadhi ya mambo. Hivi Urusi analazimika vp kununua system ambazo ni inferior kwa alizonazo? Hivi ukanunua AD systems za Mchina wakati mchina mwenyewe anategemea ujuzi wako kutengeneza baadhi ya siraha zake under license? Mbona Urusi wananunua Shaheeds za Iran ila pia juzi kati hapa si jeshi la Akhmat ya wa Chechniya si wamenunua ShaanXi Tiger 4×4 za wachina. Au kwako hadi inunuliwe AD ndo unaelewa?
 
Lakini urusi amekua akinunua silaha nyingi tu kama Drones na makombora kutoka hiran na China
We jamaa chuki inakupotezea weledi kwenye uchambuzi wa baadhi ya mambo. Hivi Urusi analazimika vp kununua system ambazo ni inferior kwa alizonazo? Hivi ukanunua AD systems za Mchina wakati mchina mwenyewe anategemea ujuzi wako kutengeneza baadhi ya siraha zake under license? Mbona Urusi wananunua Shaheeds za Iran ila pia juzi kati hapa si jeshi la Akhmat ya wa Chechniya si wamenunua ShaanXi Tiger 4×4 za wachina. Au kwako hadi inunuliwe AD ndo unaelewa?
Urusi ananunua maji yakifika shingoni, sio kwa mahitaji ila kwa kulazimika. Yani badala ya kinga yeye anatafuta tiba.

Hizo Tiger 4×4 wamenunua sababu ni cheap na widely available, production ya factories za Urusi haifikii demand waliyonayo kipindi hiki.
Shaheed walinunua sababu hawakuwa na suicide drones za uhakika na hawakuwa na mass production, ilikuwa concept mpya kwao wakati kwa Iran ni concept ya miaka mingi. Mpaka baadae Urusi ilivyoendeleza na kutoa drones kama Lancent.

Hao kina Ujerumani, Israel, Marekani wananunua kipindi hawana vita. Wanafanya assesment wanaona silaha gani ina performance nzuri wananunua, hawasubiri zao zifeli au production isifike mahitaji ndio wachukue chochote kinachopatikana kwa allies.

China ina uwezo wa kutengeneza meli kuizidi Urusi, makombora, smart munitions ndio usiseme, drones kuanzia za kiraia hao DJI na za kijeshi, microchips na vitu vingi ambavyo Russia anasuasua.
Kwenye radars Wachina wana hatua nzuri sana, kwenye hypersonic wako mbali, kwenye stealth technology mbali. Kitu kimoja muhimu ambacho bado wako nyuma kwa Mrusi ni turbofan engines za jet fighters.

China ina hela, ikiona superior product inaagiza mkigoma kuuza hilo ni jambo lingine. Iko radhi inunue teknolojia ya civilian version ya kifaa cha kijeshi kama hizo European heavy trucks au ifanye licence production.
Urusi hajui kitu kwenye civilian technology ambayo ndio iko wazi, alafu kuna watu wanaamini anajua sana kwenye military tech ambayo ni ngumu zaidi. Kompyuta, simu, magari, kamera, TV sets, ndege za kiraia na tech products nyingine Urusi inategemea mataifa ya nje na hiyo China kwa wingi. Ghafla kwenye jeshi ndio eti Urusi inajua kila kitu mpaka maji yafike shingoni ndio iwafikirie Iran na China.
 
Urusi ananunua maji yakifika shingoni, sio kwa mahitaji ila kwa kulazimika. Yani badala ya kinga yeye anatafuta tiba.

Hizo Tiger 4×4 wamenunua sababu ni cheap na widely available, production ya factories za Urusi haifikii demand waliyonayo kipindi hiki.
Shaheed walinunua sababu hawakuwa na suicide drones za uhakika na hawakuwa na mass production, ilikuwa concept mpya kwao wakati kwa Iran ni concept ya miaka mingi. Mpaka baadae Urusi ilivyoendeleza na kutoa drones kama Lancent.

Hao kina Ujerumani, Israel, Marekani wananunua kipindi hawana vita. Wanafanya assesment wanaona silaha gani ina performance nzuri wananunua, hawasubiri zao zifeli au production isifike mahitaji ndio wachukue chochote kinachopatikana kwa allies.

China ina uwezo wa kutengeneza meli kuizidi Urusi, makombora, smart munitions ndio usiseme, drones kuanzia za kiraia hao DJI na za kijeshi, microchips na vitu vingi ambavyo Russia anasuasua.
Kwenye radars Wachina wana hatua nzuri sana, kwenye hypersonic wako mbali, kwenye stealth technology mbali. Kitu kimoja muhimu ambacho bado wako nyuma kwa Mrusi ni turbofan engines za jet fighters.

China ina hela, ikiona superior product inaagiza mkigoma kuuza hilo ni jambo lingine. Iko radhi inunue teknolojia ya civilian version ya kifaa cha kijeshi kama hizo European heavy trucks au ifanye licence production.
Urusi hajui kitu kwenye civilian technology ambayo ndio iko wazi, alafu kuna watu wanaamini anajua sana kwenye military tech ambayo ni ngumu zaidi. Kompyuta, simu, magari, kamera, TV sets, ndege za kiraia na tech products nyingine Urusi inategemea mataifa ya nje na hiyo China kwa wingi. Ghafla kwenye jeshi ndio eti Urusi inajua kila kitu mpaka maji yafike shingoni ndio iwafikirie Iran na China.
Wakati Russia anaagiza Mistrals kutoka France alikuwa kwenye vita gani?
 
Wakati Russia anaagiza Mistrals kutoka France alikuwa kwenye vita gani?
Unarudi palepale, maji yakifika shingoni ndio anakumbuka shuka kumekucha. Meli kubwa karibia zote za Urusi ni za miaka ya 1970s na 80s, kaja kuweka order ya Mistral apate tech transfer prior na kuivamia Crimea.
Tangu anyimwe hizo Mistral hajaunda meli kubwa anaishia kwenye corvettes.
 
Unarudi palepale, maji yakifika shingoni ndio anakumbuka shuka kumekucha. Meli kubwa karibia zote za Urusi ni za miaka ya 1970s na 80s, kaja kuweka order ya Mistral apate tech transfer prior na kuivamia Crimea.
Tangu anyimwe hizo Mistral hajaunda meli kubwa anaishia kwenye corvettes.
Hueleweki unasimamia nini
 
Israel ni balaa, kwenye teknolojia hawagusiki, eneo dogo, idadi Yao pia ndogo daahh kweli akili mtu wangu, ndo utajiuliza Kuna watu vichwa vyao ni Mali wengine vichwa vyao ni mizigo kama ilivyo mizigo wa nyanya.
 
Patriot, HIMARS, Javelin...and the list goes on. S 400 za Urusi tulizoambiwa ni latest zimekufa kifo cha mende hapo Ukraine.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Mkuu permanides , ukweli ni kwamba machuma chuma ya Marekani na NATO yamefia Ukraine.

Nikuulize kitu, mkuu? Hivi hizi military packages zisizoisha za Joe Biden kila juma hazikushtui?
 
Back
Top Bottom