Ujerumani kutumia dola bilioni 4.3 kununulia mfumo wa ulinzi wa anga aina ya Arrow 3 kutoka nchini Israel.

Ujerumani kutumia dola bilioni 4.3 kununulia mfumo wa ulinzi wa anga aina ya Arrow 3 kutoka nchini Israel.

Mkuu permanides , ukweli ni kwamba machuma chuma ya Marekani na NATO yamefia Ukraine.

Nikuulize kitu, mkuu? Hivi hizi military packages zisizoisha za Joe Biden kila juma hazikushtui?
Hoja yako ni dhaifu sana. Urusi anatengeneza silaha za kila aina huku akinunua nyingine kwa waziwazi na nyingine kwa magendo, Ukraine kwa sasa hana kiwanda cha silaha kinschofanya kazi na wala hakuwa na silaha za maana kupigana hii vita.
Ulipaswa utoe pongezi kwa namna silaha chache za msaada zimeweza kuizuia Urusi mpaka sasa.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Hoja yako ni dhaifu sana. Urusi anatengeneza silaha za kila aina huku akinunua nyingine kwa waziwazi na nyingine kwa magendo, Ukraine kwa sasa hana kiwanda cha silaha kinschofanya kazi na wala hakuwa na silaha za maana kupigana hii vita.
Ulipaswa utoe pongezi kwa namna silaha chache za msaada zimeweza kuizuia Urusi mpaka sasa.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Heshima kwako, mkuu! Najua tunatofautiana kimtazamo kuhusu vita vya Ukraine. Lakini kudai kwamba Ukraine ina visilaha vichache, huo ni uongo wa mchana. ^Hiyyyo ni uongo buana!^

Mind you, 51.2 billion USD (=118 trillion TZS -- almost 3 times ya bajeti yetu 2022-2023) zimeshaliwa in a space of less than 18 months' war!
 
Heshima kwako, mkuu! Najua tunatofautiana kimtazamo kuhusu vita vya Ukraine. Lakini kudai kwamba Ukraine ina visilaha vichache, huo ni uongo wa mchana. ^Hiyyyo ni uongo buana!^

Mind you, 51.2 billion USD (=118 trillion TZS -- almost 3 times ya bajeti yetu 2022-2023) zimeshaliwa in a space of less than 18 months' war!
Kupambana na Russia siyo sawa na Zimbabwe. Hebu tupe tathmini ya gharama Mrusi alizotumia ili tuweke kwenye mizania nzuri.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom